
SABABU YA KIFO CHAKE ITAPATIKANA BAADAE BAADA YA UCHUNGUZI WA MADAKTARI.
MIPANGO YA MAZISHI TAYARI INAFANYWA JUMUIYA INAWATAKA WATANZANIA KUJITOKEZA KWA WINGI NA KUJITOLEA ZAIDI KATIKA MICHANGO ILI TUWEZE KUUSAFIRISHA MWILI WA MAREHEMU NYUMBANI.
MAREHEMU NI MWENYEJI WA TANGA BARABARA 15.NA HAPA ITALY ALIKUWA AKIISHI MJINI MODENA.
MATAWI YOTE YA JUMUIYA YA WATANZANIA ITALIA NA JUMUIYA ZOTE ZINAOMBWA KUKUTANA MARA MOJA ILI KUKUSANYA MICHANGO. KWA MAWASILIANO WASILIANA NA KATIBU N° +39 329 4149 712
TUNAUNGANA NA WATANZANIA WOTE WANAOMFAHAMU , NDUGU NA WAZAZI KATIKA WAKATI HUU MGUMU WA MAOMBOLEZO. MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA! AMIN!
poleni sana
ReplyDeletepoleni sana ndugu na marafiki,ni uchungu mkubwa sana mimi nilikua Italy Christmas iliyopita he was ok.
ReplyDeletevery sad, very sad such a churming Guy
mungu ailaze roho yake peponi. AMEN
Mungu ailaze roho yake peponi.Amen
ReplyDeleteni pengo kubwa kwa jamaa na marafiki poleni sana.
MC pales
INNALILAHI WAINAILAYHI RAJIUNNN... POLENI WAFIWA, HII NI SAFARI YA KILA MTU, TUNAMUOMBA ALLAH AMUEPUSHIE ADHABU YA KABURI NA AMPE KITABU CHAKE KWA MKONO WA KULIA INSHALLAH
ReplyDeletekaka mboga Zote, tutakukumbuka daima.
ReplyDeletemarehemu alikua mpenzi sana wa Khadija Kopa na hata Kopa alipokuja marehemu alikuwa beneti sana.
dah ni noma,
dah mboga kaka umetutoka!mungu akuweke mahala pema pepon aamin! na wewe kaka miaka 30 hujatia timu nyumbni tz duh!hiyo kali sasa jamaa watakujua kweli!jamani tuwe tunawakumbuka ndugu nyumbanihata kama tupo majuu kimaisha
ReplyDeleteJamani tunapotoa maoni tuwe waangalifu na kile tunacho comment, kwani dini inatuamrisha tuwazungumzie Marehumu mema yao na sio maovu yao, na tuache kusimanga maiti. Ndugu yetu "Mboga Zote" (Kaka Twahiri) ni mwingi wa vichekesho na mkarimu. Mwenyezi mungu akumjaalia kurudi nyumbani maana marejeo ni majaaliwa sio kumsimanga. "Inna Lillah Wa-inna-Illaih Rajiuun" Mdau Mbegu
ReplyDelete