Rais wa Zazibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,akikata utepe kama ishara ya uzinduzi wa Jengo jipya la Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Pemba katika kijiji cha Weni, Wilaya ya Wete Pemba,katika shamra shamra za miaka 48 ya Mpinduzi matukufu ya Zanzibar.
Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi,Mussa Aboud Jumbe,akimueleza Rais wa Zazibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein,Malengo na madhumuni ,katika sherehe za uzinduzi wa Jengo la Makao Makuu a Wizara ya Mifugo na Uvuvi Pemba,katika kijiji cha Weni,Wilaya ya Wete Mkoa wa Kasakazini Pemba,baada ya kulizindua rasmi sambamba na maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais wa Zazibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed 
Shein,akiwapungia mkono wananchi wakati alipowasili katika viwanja vya Jengo la Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi  Weni Pemba, kulizindua rasmi jengo hilo, lililojengwa kwa msaada wa Benki ya Dunia ,ikiwa ni katika shamara shamra za maadhimisho ya miaka 48 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Noana Zenji wanaanza kuwaelewa CHADEMA maana hata kimavazi naona wanaelekea huko huko. Karibu kwenye chama makini.

    ReplyDelete
  2. Shein kapiga GWANDAZ!!! LOL

    ReplyDelete
  3. cha kushangaza jengo pengine hela kibao hata rangi zimepigwa kihuni huni basi hakuna hata bustani? au hakuna wajuzi huko jamani?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...