Balozi wa Tanzania nchini Zimbabwe,Mhe. Balozi Adadi Rajab akishereheka na watanzania wakati sherehe ya kuukaribisha mwaka mpya Usiku wa kuamkia tarehe 1 Januari 2012, Jumuiya ya Watanzania, maafisa wa Ubalozi pamoja na waalikwa kutoka Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki pamoja na Balozi wa Malawi na Balozi wa Ethiopia nchini Zimbabwe walihudhuria hafla hiyo ya kukaribisha mwaka mpya.
Mhe. Balozi Adadi (kushoto) akiteta jambo na wageni wake ambao ni Balozi wa Malawi na Balozi wa Ethiopia.
Watanzania na waalikwa wengine wakipata chakula sambamba na kuukaribisha mwaka mpya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Jamaaa kapewa kiduchu nini?

    ReplyDelete
  2. picha ya mwisho ustaadhi anauliza hii kuku ni halali au

    ReplyDelete
  3. duuh Harold lyimo jamani?

    ReplyDelete
  4. Duhh Zimbabwe!

    Namna gani huko bado US$ 1 ni sawa na gunia mbili za NOTI?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...