By: Ian Mansfield | 3rd Jan 2012
Cameroon is set to gain its third mobile network later this month, when Set'Mobile launches its services.
The network, founded by local footballer, Samuel Eto'o and named after his initials, started selling SIM cards last week and has already sold out with 50,000 cards distributed.
The network will be activated on January 21, which is also the opening day of the 2012 Africa Cup of Nations.
The country currently has two mobile networks, MTN and Orange. According to figures from the Mobile World, the country ended last year with an estimated 9.4 million customers, representing a population penetration level of just 47%.
Aaah jamaa BILIONARE wa ukweli bana sio hawa wa kwetu uchwara tu,go ETO go,waoneshe njia hawa wenzetu kuwekeza KUNYUMBA ndo mpango mzima.
ReplyDeleteKumbe TZ tuna network nyingi!!
ReplyDeleteBongo ntwk nyng lkn hamna yny
ReplyDeleteMmiliki wa mzawa hata moja.
kwetu ziko nyingi lakini zote zinamilikiwa na watu wa nje na viongozi wetu kwa siri mtu mwingine hata siku moja huwezi pewa hiyo ruhusa ya kuw anayo haswa ukiwa ni mmbong wa kawaida no way hawakupi.
ReplyDeleteSafi sana Eto, we need more africans like you.
ReplyDeleteKama hatuelewi mambo afadhari kukaa kimya. Hapa TZ, 1. Airtel serikali ina shares 40% 2. TTCL ni ya serilali 3. Zantel kuna serikali ya Zanzibar na watz binafsi 4. Sixtelecoms ni ya watz 5. Kuna makampuni ya internet kibao ya watz
ReplyDelete