Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa akizungumza na wanafunzi waislamu waliofanya maandamano ya amani na kukusanyika katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam leo kupinga Uongozi wa Shule ya Sekondari Ndanda kuwafukuza wanafunzi 20 wa kiislamu waliokuwa wakisoma katika shule hiyo.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa akiwasili katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam leo kuzungumza na wanafunzi wa kiislam waliokuwa wameandamana leo kupinga Uongozi wa Shule ya Sekondari Ndanda kuwafukuza wanafunzi 20 wa kiislamu waliokuwa wakisoma katika shule hiyo.
Rais wa Wanafunzi wa kiislamui, Jafari Mneto akizungumza katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es salaam baada ya Wanafunzi wa Kiislamu kufanya maandamano ya amani.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Suleima Kova akiagana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa mara baada ya kuzungumza na wanafunzi wa Kiislamu.(Picha na Francis Dande)
Jamani, japo na mimi ni mmoja wenu, ila sijaelewa kanisa katoliki linahusika vipi hapa. Twende shuleni na tuelimike, yatupasa kuzungumza jambo muafaka katika wakati muafaka na sio kuchanganya habari. Sasa hapa tutaonekana punguwani kidogo namna hii.
ReplyDeleteMansoor, UK.
Kizazi hiki ni hatari sana, ndicho kinachoamua kesho itakuwaje. Sio Rais wala viongozi wa dini. Kuna maneno wanatumia ambayo ni ishara ya kesho yenyewe...wenye busara wanasoma alama hizi. Hali hii inapaswa kukemewa na elimu inapaswa kutolewa kuondosha tofauti hizi.
ReplyDeleteWale wengine hawatumii maneno ya namna hii kamwe, ila wanapoona wenzao wana uelewa huu na kiburi cha namna hii nao wataanza kuyatumia. Matokeo yake tuwaulize wenzetu kule Nigeria na Sudan.
Hivi Tanzania hatuna jumuia ya dini mbali mbali? Kama tunayo mambo haya yangeanza hushughulikiwa huko kuliko kuleta meseji za namna hii kwa kadamnasi...namna hii ni kupika chuki ya kidini na matokeo yake ni balaa.
Mdau wa Z'bar.
hivi waislamu wananyanyaswaje na wakristo,au ndiyo munaanza taratibu mwisho wake mnakuwa kama nigeria,kwa hiyo tunatakiwa tuwe macho na kauli za kuchokonoachonoa amani iliyopo
ReplyDeleteUNCLE NI "KUFUKUZWA " SIO KUSUKUZWA
ReplyDeleteTatizo mtu huwezi amini kuwa Kikwete na Mwinyi ni wakatoliki. Ni kweli tutaongozwa na wakatoliki hadi lini? Na kwa nini Tanzania hatuna udini wala ukabila? Ndiko tunakokwenda sasa. Tutajitambulisha kwa dini na makabila.
ReplyDeletebango limeandikwa ati tutaongozwa na wakatoliki mpaka lini?
ReplyDeletehajui uislamu ni branch ya ukatoliki
yess uislamu uliazishwa na ukatoliki kisiri
Naona akina Ras Makunja na magitaa na microphone zao wakiwa tayari tayari kwa kuchezesha muziki wa bongo tambarare,te!te!te! kaka Ras makunja hapo ukianza muziki hao jamaa lazima wakusomee dua za kugeuka bubu
ReplyDeletehiiiii!!! akina ras makunja naona wameshawasili kwa muziki
ReplyDeletehii picha ya juu kabisa huyu si yule kikamda ketu? ras makunja,kamendeza na microphone yake kiunoni,ah jamani JK kawapa pamba kali sana ngoma africa band,sasa hapo ni muziki tu akuna msalie mtume
ReplyDeleteOh! akina ras makunja leo kazi wanayo,kitaa zenu azilii mbela ya maustaadhi hawa
ReplyDeleteMaalim Ali Nassor aliwahi kuniambia: "iwapo unahitaji kuona tongotongo ktk jicho la mpinzani wako, hata Nile haitatosha kuusafisha uso wake". Swala hili ladini ni la hatari saaana hasa likichanganyika na umasikini wetu. Mie naomba amani tu. Blackmpingo
ReplyDeleteEbu tukumbushe hao waafunzi walifukuzwa kwa sababu gani? Serikali ijaribu kupunguza migogoro isiyo ya lazima.
ReplyDeleteIi ´picha ya chini kabisa mbona naona watu ambao wala dalili ya uanafunzi hawana. Izi siasa chafu acheni kutumia watoto washule kwa minajiri ya siasa wanaofaidika hata Mungu hawamuabudu. Unajua huku kwenye nchi za miwatu ambao hawaamini chochote Waislamu na Wakristo tunaungana kumtetea Mungu manake madini ya mashetani ipo njenje. sasa Tanzania tumepata neema ya kumjua Mungu wanasiasa wanaanza kututoa kwenye kumuabudu Mungu wanatugombanisha. Tusipochezesha akili itakula kwetu.
ReplyDeleteDalili za mvua ni mawingu!
ReplyDeleteNi vitu gani hivi serikali inaendekeza. Huu ni ujinga uliopitiliza. Hawa wanabembelezwa hawapigwi mabomu. Ndio ujumbe gani serikali inataka kuupa umma wa watanzania. Tuwe makini na hii hali maana yaelekea tukokwenda ni pabaya.
ReplyDeleteEnzi za Mwalim, Waislamu walinyanyaswa sana katika elimu. Kuna wengine ilibidi wabadili majina na kuchukua majina ya ki-kikristo ili wafaulu darasa la saba. Waislamu waliopata elimu ni wale waliokuwa vibaraka wa Mwalimu au wazee wao ni wafanyabiashara.
ReplyDeleteHivi kweli bongo tunakazi kweli.
ReplyDeleteBado watu wako kizani.
Wenzetu ulaya na uarabuni wanaandamana kwa mambo mazito ya maana kupinga ufisadi, udikteta, rushwa, kupinga ukoloni mambo leo, sisi wasomi wetu ni maandamano ya mambo ya ajabuajabu tu kila siku.
Halafu hivi kila dini wanafunzi wakiwa na marais sijui eti mwenyekiti nk TUTAFIKA KWELI NAMNA HII?
Kaka michuzi ungetudokeza japo kidogo kisa cha kufukuzwa hao 20 tusijeanza kulalamika bure..maana mambo ya dini ndio kama unavyoyajua ni mazito...ngumu kutoa mitazamo yetu biJa kupendelea upande unaotuhusu..
ReplyDeletekufukuzwa kwa wanafunzi 20 wakiislamu katika hii shule ya sekondari mimi bila ya kujua kiini cha kufukuzwa kwao siwezi kutoa maoni yangu kwa ufasaha kwa sababu sipendelei kutia jazba za dini kwa vile kuna neno 'uislamu' kati kati ya sakata hili kuna uwezekano walistahiki kufukuzwa au hawakustahiki kufukuzwa kutokana na kosa ambalo halihusiki au linahusika na dini ya waliofukuzwa sasa hili likifafanuliwa kwanza ndio nitaweza kuchangia vema.
ReplyDeleteLeo ningependa kutoa wazo tu kuhusu hii migongano ya kidini inayofumbiwa macho hapa kwetu Tanzania imekuwa desturi hivi sasa iliyozoeleka karibu itakuwa ndio utamaduni wetu kuzitumia dini zetu mbili kubwa ukristo na uislamu kuwa ndio visingizio au vigezo vya kutafuta haki sisemi hiki ndio kisa katika mkasa huu wa wanafunzi 20 siongelei hilo kabisa nina mifano tele ya nyuma inayoendelea kujitokeza hapa nchini kwa pande zote mbili watu kutumia makanisa kudai haki na wengine kutumia misikiti kudai haki nilichokuwa nasubiri kuona ni lini hawa jamaa zetu wa kibohora watatumia majamati yao nao kudai haki naelewa wao ni werevu na wachache na hujihesabu kama wao ni wahamiaji tu japokuwa wamezaliana hapa na ni raia.
onyo langu tuangalie wenzetu Nigeria walipo katika masuala haya ya dini walianza na maandamano ya amani sasa wanachomana moto misikitini na makanisani wakati bado upo kuyazungumza haya na kuyakemea na kuyapatia suluhu bila kuanza kutumia lugha za kashfa dhidi ya dini ya mwenzio kama yanavyosea baadhi ya mabango waliyobeba,kule India waumini wa dini ya hindu ni wengi kuliko waislamu na wale masingasinga hata uwachanganye pamoja na ilifika wakati masinga singa walikerwa na kuanzisha balaa ikawa hapakaliki mpaka leo serikali ya india haifanyi mchezo katika kuwatenganisha waumini wao kwani walikiona kiama hapa ninachozungumzia wingi huwa hautoshi inapoanguka balaa damu humwagika kwa wingi pande zote utafikiri walihesabiwa kwanza na kuingia katika vita wakiwa idadi sawa hilo ndio onyo langu kwa nchi hii tusingojee ushahidi wa kimakonde ndio tukajirekebisha kwa wale wasioujua ushahidi wa kimakonde nitawafahamisha,
mmakonde alimfumania mkewe na mwanamume nyumbani kwake alipowaona wamekaa kitandani wanaongea huku wakishikana shikana mapaja mmakonde hakufanya kitu alikaa kimya chini ya mlango huku akichungulia katika tundu ya ufunguo na panga mkononi baada ya kuona kazi imeanza yule bwana tayari yuko juu ya mkewe uchi akawapa dakika kadhaa ili yule bwana akojowe kabisa baada ya kusikia ukelele wa utamu ukitoka kwa mkewe na yule bwana kwa vile anaujua ukelele huo yeye pia huupiga akimaliza ndio akavunja mlango na kumpiga panga yule bwana na mkewe na kuwauwa wote na kupeleka ushahidi polisi.
hilo ndio ninalo hofia tunangojea hapa tanzania.
asanteni.
mwenye uchungu na nchi hii.
mbagala.
Mimi sijaelewa vizuri,kuhusu hiyo shule,ni ya machanyiko au ni waislam tu?,,Kama ni Waislam tu basi pengine kuna kosa wamefanya mpaka wakasimamishwa,Ila kama hiyo shule ni mchanganyiko na walifukuzwa ni waislam tu,Kuna mawili labda hiyo shule ni mali ya kanisa,na wanataka wanafunzi wote wawe ni wakristo,,lakini kwa utaratibu mzuri wangehamisha hao watoto katika shule zingine,,,na kama ni ubaguzi wa dini!hapo nitashindwa kujua huwo uongozi ulifikiria nini,kwa ubaguzi wa namna hiyo.Naona wameona Amani imezidi wanataka tu vita ya Waislam na Wakristo,,jambo ambalo Tanzania hulikwepa kama ukoma.,,,Waulizwe vizuri huenda wanasababu za msingi!!!Hapa UK ni nchi ya Kikristo lakini katika mashuleni wanaruhusiwa wanafunzi kujifunza dini ya aina yoyote,labda mzazi wa mtoto akatae kwa hilo,,,,,Kama wamefukuzwa kwa ubaguzi tu kwa kuwa ni Waislam hata mimi litaniuma mno,,,Ahlam...UK
ReplyDeleteWaisilamu Jengeni Shule Zenu Wenyewe. Tuahieni shule zetu. Ukiiona vyaelea........
ReplyDeleteNo comment!
ReplyDeleteHili bado linatokea katika nchi isiyoamini katika dini yoyote? Au kauli ya Muasisi ilikuwa kiini macho cha ukila na kipofu usimshike mkono?
ReplyDeletebro michuzi unajishusha hadhi kama journalist. sasa unapoweka picha kama hizi bila story sisi wa mbali zitatusaidia nini?? picha kama hizi zinahitaji story tafadhani...
ReplyDeleteKikwete Mkatoliki, Bilal Mkatoliki, Shein Mkatoliki, Seif Shariff Mkatoliki, Mkulo Mkatoliki, Ghasia Mkatoliki, Maghembe Mkatoliki, Mbarawa Mkatoliki, Mpanda Mkatoliki, Kawambwa Mkatoliki, Mwinyi Mkatoliki, Nahodha Mkatoliki hata Simba Mkatoliki. Waislamu tuna haki hadi lini tutaendelea kuongozwa na wakatoliki? Acheni kuwa limbukeni. Maandamano kama haya hayana maana. Michuzi nawakilisha. Naomba usibanie hoja yangu ili waislamu wenzangu wafunguke macho na waache maandamano yasinyo na kichwa wala miguu!
ReplyDeleteMie hapa sioni wanafunzi bali wakaanga chipsi tu hawa.
ReplyDeleteHalafu sababu ya kufukuzwa ni nini?
manake isije ikawa walikuwa wanaukejeli ukristo kwenye shule ya kikristo?
Au unaweza kuta kuwa wamefukuzwa kwa sababu walikuwa wezi wa kuku za shule, au ukiwa muisilamu ukitenda kosa huadhibiwi?
Nona taratibu wajinga wajinga wanaanza kuiga ya nigeria.
Nasikia bondo siku hizi vijana wengi wanaenda kupigana somalia wanaisaidia al shababu hivi ukiwauliza al shababu inawasaidia nini wanajua kweli?
There is something wrong about this ..... hii ni sawa na mtu kwenda UK ahalafu unaanza kuwachukia kwa sababu ni wakristo, kwa nini usiende kuishi syria au libya tu? ambako ndio kwa waisilamu
haya ni majungu tu,watanzania tumekuwa wajinga sana,kama hiyo shule ni ya kikatoliki labda hao wanafunzu hawakutaka kufuata sheri, ni sawa kama mimi nilienda kwenye shule yakiislam tulikuwa ni lazima tuvae ijabu,na tulifwata sheria ya shule.sasa wewe kama ni mwiislamu na hutaki kufwata sheria basi tafuta shule yakiislam.
ReplyDeletetatizo huko ndanda wanafunzi wakiislamu wanataka uongozi wa mseto, sio wakristo tu ndio wawe viongozi au waislamu, pili wanata sehemu ya kuabudia, sasa wizara ya ilimu ilipeleka ntu kule na maazimio ni kwamba uongozi wa mseto haiwezekani ntu atachaguliwa kwa kura za wengi wape, la sehemu ya kuabudia nalo lilikataliwa kwani katika uislamu kuna madhehebu mengi kama sunni na shia, na je kwa wakristo itakuwaje? maana kuna wakatoliki, walutheri, anglikana, mwingira, kakobe na mengineyo, wale vijana wakasema mbona hawa katoliki wana kanisa pale, wakaambiwa lile kanisa lipo nje ya mpaka wa shule na ikijulikana kihistoria hiyo shule ilikuwa ya kanisa, wakaambiwa kama kuswali kuna msikiti hapo kijijini wanaweza kwenda. sasa wizara ya ilimu imegundua kwamba pale kijijini kuna watu wanawaharibu hawa vijana kwa kuwaambia hayo maneno, bahati mbaya mwl mkuu ni mkristo, hivyo wanadai anapendelea wakristo. sasa hiyo ndio hadithi ya nchi yetu inapo elekea.
ReplyDeleteHili ndio tatizo la kukosa ajira. Hao vijana na wazee picha ya chini wangekuwa na ajira zao mchana wa jua kali wasingekalisha hapo kusikiliza upuuzi uliopikwa na wanasiasa. Vijana someni mtengeneze uchumi mtamaliza shule mtasali mpaka misikiti mtaikimbia wenyewe. Hii ni serekale misiyo na dini.
ReplyDeletehaya maandamano yalitakiwa yapigwe marufuku ,serikali imelala usingizini jamani,aagh??????......nchi ikiendelea hivi Tanzania itakuwa kama Nigeria ,Somalia na Sudan ........kesho utaskia Bokoharam na Al Shabab Tanzania hali hii ikiachiwa endeleee,na ile mihadhara ya kutukana dini nyingine ipigwe marufuku......tukumbuke serikali haina dini!!!
ReplyDeletewanafunzi wa secondary ya ndanda wamefukuzwa shule sababu ya kutaka kuwekwa msikiti pale shuleni ili waweze kusali wakati wa nyakati za sala sasa secondary ya ndanda amabayo ilikuwa ya kikisto hapo zamani imekataa kuwekwa msikiti hapo nadhani hili ndo tatizo
ReplyDeleteNdugu zangu waislamu, kuna mengi tunaweza kusema,ila Kama vijana wasomi tena wa Kiislamu, naona tunakosa jambo moja kubwa...nalo ni kujua historia ya jambo kabla. Shule Kama Ndanda sekondari, Kabla ya Kulalama na kupanda jazba hatuna budi kuelewa kuwa ilikuwa ni shule ya Kanisa Katoliki...hivi kuwepo kwa Kanisa, si jambo la kutufanya tuhamaki Kama vile lipo katika Shule ya kata Leo hii...Kabla ya kulalamika naona tungesema asante kwa muasisi wa Nchi hii na hata kwa Kanisa Katoliki, maana upendo walio nao kwetu ni mkubwa...fikiri tunavyoweza kusoma katika shule zao tena zenye kiwango cha juu bila ubaguzi...je, sisi tungethubutu na kuwaruhusu katika kusoma katika shule zetu...angalia wanapokuwa na shule Kama Marian Girls, Kibosho Girls, St. Maria Gorreti, Mazinde Juu, St. Anthony, St. Francis, St. Joseph's Millenium schools na hata Chuo vikuu vyao Kama SAUT...na nyingi za hao Wakatoliki, hivi kweli kwa kiwango kile, sisi tungekubali wao wasome kwetu...myonge mnyongeni ila haki yake mpeni...Leo hii kuruhusu wasomi wetu kubeba mabango ya kulaumu Wakristo tena Wakatoliki...naona ni kukosa shukrani na kutaka kutumiwa na watu wasiolitakia mema taifa letu...ila mbaya zaidi ni ishara kubwa ya vijana na watoto wetu wa umma wa Muhammad kushindwa kujua historian ya nchi na taifa hili...Mwalimu Nyerere alipotaifisha shule na mengineyo...Kama kuna Dini iliyoathirika ilikuwa ni Kanisa Katoliki...na ikumbukwe na Umma we Muhammad kuwa Mwalimu Nyerere hakuwa Muislamu...hivi Kama mantiki ni kupendelea Dini na dhehebu lake la Kikatoliki...sidhani Kama angethubutu kufanya Hilo...ni Nani anataka kututumia ili tusikae kwa Amani na wenzetu, Walio kaka na dada zetu...Angalia walivyo na mahospitali na hata miradi mingi inavyotunufaisha sote mijini na vijijini...Jamani wafuasi wenzangu wa Muhammad...katika hili ni vema tukawa japo na shukrani...
ReplyDeleteKutuma vijana wetu shule na kuwaruhusu kujiingiza katika siasa za mtindo huu...ni hatari na hata upotezaji wa muda kwao na sisi wazazi...
Kuacha chokochoko ambazo daima hazisaidii chochote...vijana hawa wajue Kanisa pale Ndanda, ni kwa sababu ilikuwa shule ya Kanisa...kutaka nao wajengewe msikiti...ni vema wakahoji Mbona wanafunzi wa madhehebu mengine ya Kikristo pia wangeweza nao kutoa Madai Kama Yao...ila kufanya hivyo...kunaleta mashaka Kama ni vijana wetu kweli Kama wanaelewa historia ya nchi na taifa hili...
Kama wanataka kujua Haki ya watu wa dini nyingine Leo hii..hebu waende huko Tanzania Visiwani Waone jinsi Wakristo wanavyotendewa na sisi Waislamu...huko Pemba na Unguja...je kweli wakristo wangekuwa Kama sisi uma wa Muhammad...ingekuwaje...nadhani hata Muungano huu...Mwalimu Nyerere angekuwa wa kwanza na Wakatoliki wenzake kuupiga vita...
Ni Haki ya kila raia Kuandamana kwa lengo na sababu ya kweli na haki...na si kwa Lengo la kuleta chuki na hisia zisizokuwepo...
Raisi wa sasa ni muislamu, hivi kudai kuongozwa na Wakatoliki ni kuwa ndumi la kuwili na kuonesha kuwa sisi waislamu hatujui historia ya taifa hili na hata kukosa kwa watu we shukrani...nashawishika hata kuwaaambia Wakristo hasa Wakatoliki wasitupokee katika shule na vyuo vyao...ili tukasome huko ambako daima pembeni kuna Misikiti na spika kubwa...ila Mimi kwa hilo naomba kutofautina nanyi ndugu zangu kwani nitabaki kuwapeleka watoto wangu pale ninapoamani watapata elimu na malezi stahiki.
hii inasikitisha sana kweli dalili ya mvua ni mawingu.. hii ni dhambi mbaya sana dini ni amani si maandamano kwanza tujue serikali haina dini. tunaelekea wapi watanzania hatujifunzi tu hali ya Nigeria ilivyo sasa.
ReplyDeleteKATIKA PICHA YA CHINI, HUYO MWENYE KIPARA KAVAA FULANA YA KIJANI YENYE MISTARI, NDO KWANZA KAMALIZA FORM TWO, ANJIANDAA KUINGIA FOR THREE. KUDADADADADADDEKI!
ReplyDeleteMimi nataka kujua je mkuu wa kamati ya nidhamu ya shule hii ya kiisilam ni padri wa katoliki au nini hiki anachosema huyu mtoto na bango lake?hingu
ReplyDeletehey whats up at home i dont think that can happpen but i know our goverment will listern to u guys. islam is religion of peace and love.
ReplyDeletehawa walitaka kujengewa msikiti shuleni kwa ajiri ya kusalia, kwa shule hiyo ingekuwa ngumu kwani ni shule ya mchanganyiko, je kama msikiti ingejengwa na wakristo nao wangetaka kujenga makanisa tena kila mtu kwa dhehebu lake ingekuwaje? na pia walifanya fujo sana. jamani someni magazeti ila, na hao waliofukuzwa ndio walikuwa vinara wa fujo.... mimi ni mwislamu wa swala tano walikosea wanatakiwa kuomba msamaha si kila jambo wazazi tunawaunga mkono jamani tuepuke ya sudan, niger na nchi nyingine zenye mgogogo wakidini. GOD BLESS TANZANIA!!!!!
ReplyDeleteKuna shule ambazo ni za serikali ambazo zina misikiti lakin hakuna kanisa,mbona sijasikia hii fujo? Fikirieni vitu kabla ya kukurupuka. Mfano Bagamoyo sec,tabora boys etc. Tuache upuuzi
ReplyDeleteEnzi ya mkoloni shule ya ndanda ilikuwa shule ya wakatoliki(seminari)ambapo ndani ya viunga vyake kuna Kanisa.Linalo tumiwa mpaka kesho na wanafunzi na majirani, kilio chetu waisilamu na sisi tujengewe msikiti ndani ya shule!
ReplyDeleteIkiwezekana ijengwe misikiti mingi ndani ya shule kufuatana na madhehebu,lijengwe la wa-SUNI,AHMADIYA,ANSWAR,KOJA,ISMAILIA,ect
Na kwa wakilisto hapa shuleni wajenge la KKKT,ANGLIKANA,KAKOBE(WALOKOLE)au vipi waisilamu wenzangu...wabillah tawfiq!
Kwanza hii habari naona ina mapungufu kwani sababu ya kufukuzwa wanafunzi hao haieleweki, hivyo hata mchangiaji anpatwa kigugumizi. Inaonyesha hata mtu aliyeituma katika blogu hii hakufanya utafiti wa kina. Ni vyema angewasiliana na Mwalimu Mkuu wa hiyo shule ambayo wanafunzi waislamu wamefukuzwa akajua kulikoni. Pili hawa wanafunzi wameandika mabango yao bila kuelewa nini walichoandika - ...TUTAONGOZWA NA WAKRISTO MPAKA LINI?" Nafikiri kutokana na utandawazi sasa hivi jina halimaanishi dini. Inawezekana ukamkuta Ali, Jakaya, Ghalib n.k. ni wakristo na pia usishangae ukamkuta Peter, Anthony, Cecilia n.k. ni waislamu. Hawa wanafunzi wanatumiwa na watu wachache wenye ajenda iliyofichika. "SERIKALI LIANGALIENI KWA KINA HILO MSILIPUUZIE".Isije ikawa ule usemi wa "MDHARAU MWIBA MGUU HUOTA TENDE". Migogoro ya kidini ikiingia katika nchi ni hatari sana. Watanzania wa dini zote tumeishi kwa amani takriban kwa miongo mitano. Sasa baadhi yetu inaonekana hawataki amani tena. Wale ambao wanaona amani imekinai waende wakaishi Somalia ili wajue umuhimu wa amani. Ninavyoelewa maandamano huwa ni hatua ya mwisho baada ya jitihada nyingine kugonga mwamba. Lakini sasa hivi imkuwa ni mtindo wa maisha kitu ambacho ni hatari. Pia mbona waandamanaji wengine hawaonyeshi hata dalili ya kuwa wanafunzi. Mfano yule mwenye fulana ya kijani (karibu na fulana nyekundu)ina mistari ya kulala rangi nyekundu, njano na nyeusi anasoma shule gani. Au ndiyo wale wakiona maandamano mradi wanasema ya dini yake anaingia bila kujua sababu. Tukio hili ni sawa na lile ambapo serikali ilikataza maandamano kwa sababu ya tishio la shambulio la kighaidi kutoka kundi la Al-Shabab na mmoja wa viongozi wa Bakwata akatoa tamko kali kutetea magaidi wa Al-Shabab eti waislamu wanatetea haki yao na kuikemea serikali kuwa ilitoa tamko hilo sababu ya Marekani. Ipo haja ya watu kuelimishwa kwa kuwa wanafunzi hawa wamebebwa na kuambiwa kuna maandamano ya kupinga wanafunzi waislamu kufukuzwa. Tusipoangalia mambo kama hili yatatufikisha pabaya.
ReplyDeletemhhh mimi hata lakusema sina maana wanawachukia wakatoliki au wanachukia kubaguliwa?kama alivyosema mdau hapo juu hata mimi nitawapeleka watoto wangu shule ambayo itawapatia elimu nzuri na ya maana sio huu upumbavu wa kufikiri ni bora wangesema garama za katoliki ni kubwa fees zao ni kabambe ningewaelewa ili kusudi watuopunguzie tuweze kuwasomesha watoto wetu huko lakini sio upuuzi huuu
ReplyDeleteAnkal, hii inanikumbusha enzi zile nikiwa shule. Kuna siku wanafunzi wakiume walimfata mwalimu wa darasa kushtaki wasichana ambao hawakuja katika kazi.
ReplyDeleteWanafunzi: Mwalimu wasichana wametegea hawajaja kufanya kazi ya darasa!
Mwalimu: Mbona mnaleta fikra za kibaguzi...je, wanaume wote wamekuja?
Nilitegemea mkija mseme kuna wanafunzi hawajaja kwenye..(Basi aliwafukuza...mambo yakaishia hapo)
Moral of the story: Shida ya hilo tukio ni kwamba, kusema waislamu 20 wamefukuzwa ni kujidharau, kujitenga, na kuleta fikra za kibaguzi...hoja ni kwamba kuna wanafunzi ishirini wamefukuzwa! Kuna watu wanapandikiza chuki ambazo hazina maana...sisi ni ndugu...waislamu wameoa kwa wakristo, kuna familia ziko mchanganyiko wa dini...hatupaswi tutofautiane na kijiona si wamoja kwa sababu ya dini zetu....Hatuwezi kugombana, tutaendelea kupendana daima. Wanataka kutugombanishe washindwe kabisa kwa JINA LA YESU!
Naomba kuwakilisha.
hawa jamaa kweli wengi wao hawana kazi waendelee kupandikiza vizazi vyao chuki juu ya wakristo kwani mwisho wa siku watajikuta wao ni omba omba waislamu walijindanganya hawataki elimu mfano mzuri angalia mikoa yote ambao chimbuko ni waislamu hakuna maendeleo Tanga,bagamoyo,mkoa wapwani,zanzibar, waislamu mtaishia kusindikiza tu mbaya zaidi mkikaa na wakubwa zenu wa dini mnadanyana chuki juu ya wakristo hamtatupata tutazidi songa mbele daima pelekeni watoto shule au kama vip gomeni kusoma
ReplyDeleteJAMATU ACHENI UMASKINI WA FIKRA. TUMIENI AKILI. WEWE UMEFUATA DINI SHULENI AU UMEENDA KUSOMA? HATA KAMA HIYO SHULE ISINGEKUA YA KIKATOLIKI MNADHANI TUNGEKUA NA NYUMBA ZA KUABUDIA NGAPI? MANAKE KUNA WASABATO, WAKATOLIKI, WALITHERI, WAPENTEKOSTE, WA-SDA, E.T.C. MADHEHEBU SIKUHIZI NI MENGI SANA. KAMA HILO KANISA LILIKUWEPO TOKA ZAMANI, BASI LIACHWE LIENDELEE KUWEPO. MAJENGO YA SHULE YENYEWE NI ADIMU PAMOJA NA VIFAA VYA KUFUNDISHIA. KAMA NI SUALA LA DINI, KILA MTU AKASALI AKIWA NYUMBANI KWAKE. KWANI USIPOSALI UKIWA SHULENI MUNGU ATAKUADHIBU? JAMANI TUWE WAELEWA. TUSIKUBALI KUVURUGWA NA SIASA ZISIZO NA FUTURE KATIKA ELIMU YETU
ReplyDeleteJAMANI KUMBUKENI KUJENGA JAMII BORA NI KUZIBA MIANYA YOYOTE YA CHUKI, NA AMANI WAKATI UMEFICHA UPANGA NYUMA SIO AMANI, HAWA VIJANA WAMEJITOKEZA WAZI KUTOA LILILO MOYONI, SERIKALI IMETUMA WAZIRI AMEONGEA NAO, MLITAKA WATOKE NA MAPANGA, MI NAONA TUWAHESHIMU HAWA WATU, MANA NCHI NYINGINE WANAKIMBILIA MSITUNI NA KUJILIPUA. HONGERA SELIKALI YANGU.
ReplyDeleteInasikitisha sana kuona ndugu zangu waislaam hasa ninyi wasomi mkiendeleza marumbano eti kuwa tunaonewa. Hawa Wakatoliki tunao walaaumu si wapumbafu pale mtu hundani nayale unayo elekezwa hata tungelikuwa ni sisi waislaamu tungeli kufukuzeni. acheni jaziba na siasa za udini na kupandikiza mbegu za chuki kati ya watanzania tunao pendana na kuishi kwa amani na mshikamano.Hebu tumwogope Mungu sisi tunao hamasisha wenzetu kutishiana amani. Someni ndugu zangu huku mkifuata sheria mahalia bila kulazimisha sheria za dini furani zikafanye kazi kwenye dini nyingine ambapo wewe umekwenda kwa hiari yako mwenyewe. Hebu tuweni wastaarabu.
ReplyDeleteHaya ndio matokeo ya kutanguliza mbele USHABIK wa kidini na kuacha UZALENDO WA nchi yetu!
ReplyDeleteWatu wakumbuke kua TZA ni ya WAKRISTO na WAISLAMU. kwa hivyo, kama kuna MTANZANIA anaedhani kwamba anauwezo wa kudharau, kufuta ama kutawala kundi moja kwa maslahi ya wengine basi ajue anajidanganya.
Mimi naamini uongozi wa shule husika ungetumia busara yaliyopo mbele yetu yasingetokea
ISSUE zinazohusu dini mbili hizi katka nchi yetu ni sensitive, watu walio ktk kada za uongozi lazima wajue hivyo..sasa unaona matokeo yake, watu wa kundi fulani wanaona wanaonewa. mambo yametokea NJOMBE sasa limekua la KITAIFA.
Ili kuepuka ushabik wa namna hii serikali lazima ifanye mambo yafuatayo;
1)Wanafunzi wote waliosoma ktk shule za kidini wasiruhusiwe kuingia ktk kada za uongozi hata kama watafaulu vipi,waachwe wamtumikie Mungu.
2)Serkali ianzisha somo maalum la uzalendo ambalo litahusisha'understanding' ya dini mbili hizi kwa viongozi wa umma.
3)Serikali iwe makini na viongozi wote wa dini kutoka nje pamoja wageni wanaotaka kuishi humu nchini wasihamishe mambo ya huko kwao na kutiletea kwetu.
Mambo ya namna hii yanachangiwa kwa kiasi kikubwa na baadhi ya mitandao ya kijamii na baadae kupigiwa debe na baadhi ya vituo vya tredio za kidini.
ReplyDeleteKwa mfano, kuna mtandao mmoja hapa nchini kila ukifungua utakuta mijadala inayohusisha: elimu, ajira, uwezo wa kifedha, wingi wa watu na imani fulani.
Kinyume chake umaskini, maradhi, vifo, ujinga na uchache wa watu na imani nyingine.
Hebu watanzania tujiulize, hivi kweli hapa kwetu kuna kundi lililofikia mafanilkio kiasi cha kuweza kudharau kundi lingine?
Na kama ni hivyo basi mimi nadhani ni jambo la kumshkuru Mungu. na sio kuanza kuprovoke watu wengine waanze kulalama au waingie kwenye mashindano ya kuzaa ili wawe wengi.
jamani naomba tuangalie haya mambo kwa makini katika umma wa mohamed, tusiwe watu wenyekuinga haya mambo,tuna amani mnacho tafuta msiangalie mbali bali somalia al shabab na nigeria bokoharam. Unapo mpa huyo mtoto wa taifa la kesho bango atafanya nini kesho kama si kubaguana na maovu. naomba haya mambo ya angaliwe kwa makini kesho ni kuuwana.
ReplyDeletekama dalili ya mvua ni mawingu basi mjuwe mfumo wa uruhusu wa ubaguzi wa kidni ndo umesababisha haya mawingu. ninyi mlifikiri nini kwamba hawa ni vipofu.
ReplyDeletendiyo serikali haina dini, lakini mbona utekelezaji wa kidini unaonekana? waislamu mashuleni imekuwa kama si shule za serikali.
mkuu wa shule akiwa mkatoliki au mlokole wanafunzi wa kiislamu watapelekwa roho jujuu mpaka mitihani yao inaathirika.
msioona mateso kwa wanafunzi wa kiislamu kwenye shule zenye wakuu wa shule wakatoliki au walokole basi mnatetea uonevu au ninyi ni vipofu.
ReplyDeletekama ni wapenda haki mgeliona hili. na upofu wenu na denial haiisaidii bali inafanya hali kuwa mbaya zaidi.
mfumo kanisa upo serikalini.
tunataka tz iwe sekyula kikweli siyo kujitapa sekyula halafu mabosi wakristo wanatumia hisia zao za kidini kubagua na kukandamiza waislamu.
ReplyDeletenyiye teteeni ni ubaguzi uendelee kukuwa, utawadhuru ninyi au vizazi vyenu.
no bad deed unpanished.
korani inasema waislamu hawatakubalika kamwe kwa watu wengine mpaka....
ReplyDeletenaona komenti za juu hapo zinathibitisha ukweli wa aya hii.
SITEGEMEI MKOSEFU AKIRI KOSA, WOOTE HUKATAA.
ReplyDeletendiyo comment hizo juu zilivyo.
Mdau wa 03:13 pm, umeongea jambo la maana sana, ndugu zangu waislam embu tusome tuelumike tuachane na malumbano yasiyo ya msingi, mbona sijawai sikia wenzetu wakristo wakiwa na mslalamiko ya ajabuajabu Kama sisi, embu tubadilike jamani haya mambo ya sisi waislamu na wao wakristo yatatuletea balaa jamani,.sasa
ReplyDeletekuchoka kuongozwa na wakatoliki ndo inamaanisha nini? Au Kikwete ni mkatoliki? Embu tujadili mambo ya muhimu kama vile jinsi ya kutatua matatizo yanayoikabili nchi yetu hasa kiuchumi sio huu ujinga.,.
Hawa wanafunzi wa kiislamu naona hawajui hoja yao. Swala lilikuwa maandamano ya kupinga kufukuzwa wanafunzi waislamu. Sasa imekuwaje waseme "TUTAONGOZWA NA KANISA KATOLIKI MPAKA LINI". Hoja yao ya msingi na Kanisa Katoliki vinahusiana vipi?
ReplyDeleteHawa wanafunzi wa kiislamu naona hawajui hoja yao. Swala lilikuwa maandamano ya kupinga kufukuzwa wanafunzi waislamu. Sasa imekuwaje waseme "TUTAONGOZWA NA KANISA KATOLIKI MPAKA LINI". Hoja yao ya msingi na Kanisa Katoliki vinahusiana vipi?
ReplyDeleteMwenye kusikia na asikie.
ReplyDeleteWewe uliyeandika hii habari, je unajua kuwa Mwl. Nyerere alitaifisha shule zote, zikiwemo za Mission, ili watu wote (hasa Waislamu) waweze kwenda shule? Labda si kosa lako, haya ni matokeo ya kutofundishwa kwa historia vizuri.
ReplyDelete"Enzi za Mwalim, Waislamu walinyanyaswa sana katika elimu. Kuna wengine ilibidi wabadili majina na kuchukua majina ya ki-kikristo ili wafaulu darasa la saba. Waislamu waliopata elimu ni wale waliokuwa vibaraka wa Mwalimu au wazee wao ni wafanyabiashara."
WADAU, KWA NINI MNAPENDA KUIMBA NYIMBO MBAYA ZA VITA VYA KIDINI KWA KUFANANISHA NA NIGERIA NA LIBYA? KWA NINI KUNA WADAU WAYATAFSIRI MAANDAMANO KUWA YAMESABABISHWA NA FACT KWAMBA HAWA VIJANA NI MBUMBUMBU WASIO NA UPEO? SIONI BUSARA YA KUSHUTUMU KWANZA KABLA YA KUELEWA NI NINI WANACHODAI. HAWA SI WENDAWAZIMU, NA HILO LIMATHIBITISHWA NA UKWELI KUWA MAANDAMANO YAO YALIKUWA YA AMANI. SIDHANI KAMA WALIKURUPUKA KWA NIA YA KUVUNJA AMANI, AND THAT WAS THEIR AIM, BADALA YA KUANDAMANA WANGEKWENDA KUWAFANYIA FUJO WANAOWALALAMIKIA. KUMEKUWA NA KATABIA KA MAKUSUDI WATU WANAPORUSHA HEWANI MADAI YAO HUSINGIZIWA WANAPENDA NIA YA KUCHAFUA AMANI. HIYO SI HAKI WALA SI DEMOKRASI. HAPA UK CHAMA CHA EDL CHENYE MALENGO WAZI YA KUPINGA WAGENI HAKINYIMWI HAKI YA KUANDAMANA. SI HIVYO TU, HATA MADAI YAO HUJIBIWA KWA HOJA SI VITISHO. NA IKIWA VIJANA WAANDAMANAJI KWELI WANADAI WAPATIWE MSIKITI SHULENI, KUNA MANTIKI GANI YA KULIKATAA HILO? IKIWA WANA MADAI YA MSINGI YALIYO NDANI YA HAKI ZAO ZA KUTEKELEZA IMANI YA DINI YAO, JE KUNA UGUMU GANI KUTEKELEZEKA? KWA NINI SHULE ISIUNDE KAMATI YENYE UWAKILISHI WA PANDE ZOTE KUYAPATIA UFUMBUZI MADAI HAYO KWA BUSARA? MIMI NAFANYAKAZI SHULENI HAPA UK, SHULE NI YA SERIKALI LAKINI WANAFUNZI WAISLAMU WANAPATIWA CHAKULA CHA KIISLAMU NA KUPATA NAFASI YA KUSALI JAPO UK NI NCHI YA KANISA. UNAPOWANYIMA WATU HAKI ZA MSINGI SANA UNATARAJI NINI? AMANI HULINDWA NA HAKI BILA KISINGIZIO ETI SHULE HUKO NYUMA ILIKUWA YA KIKATOLIKI. SO WHAT? MNATAKA KUTWAMBIA KUWA UKATOLIKI NI UDIKTETA? JE BIBLIA INAYOWAONGOZA WAKATOLIKI IMEKATAZA KUTOA HAKI ZA IBADA KWA WASIO WAKATOLIKI? KAMA MNATAKA TZ IEPUKE MACHAFUKO BASI VIONGOZI WABINAFSI WABAINISHWE NA KUENGULIWA. MAMBO YA UBAGUZI WA KIDINI YA KIZAMANI MUACHANE NAYO,OTHERWISE MTAKUJA KUTAKA KULAUMU REACTION ZA WALIOSHINDWA KUVUMILIA ACTIONS ZENU. UTAWALA WA AWAMU YA KWANZA ULIWEZA KUBURUZA WATU KWA SABABU TULIKUWA GIZANI, NO ACCESS YA HABARI, SIASA YA CHAMA KIMOJA, HAKUNA PASPOTI, HAKUNA MAGAZETI. HII NI GENERATION NYINGINE SO HAIWEZEKANI KUBURUZA WATU KWA VISINGIZIO. KILA MMOJA APEWE HAKI NDIPO AMANI ITADUMU. KUBANIA NI ISHARA YA MACHAFUKO. TAKBEER! Mndengereko, Ukerewe
ReplyDeletewewe unae sema hatuji funzi mbona marekani haijifunzi toka iark na afghanistani bada yake ikalianzisha tena libya?
ReplyDeletepiche ya mwisho mwenye tisheti ya kijani mwanafunzi au boko haram bongo branch,waislam amkeni wakristo wameivest kwenye education siku nyingi na baba zenu wamesoma huko nyie kaani na madrasa zenu halafu mnataka kazi nzuri
ReplyDeleteHAISHANGAZI KUONA WASLA WENGI ELIMU DUNI NA TUPO NYUMA KIMAENDELEO. AJABU RAI NAYE KAKAA KIMYA KWA VIJIMAANDAMANO VISIVYO NA KICHWA WALA MIGUU.
ReplyDeleteWATU WANATAFUTA UMAARUFU WA NGUVU KUPITIA DINI. SI MKAIMBE KASWIDA MUUZE KASETI KAMA AKINA NANIHII.
95% YA WALIOANDAMANA UKITAZAMA MAENDELEO YAO SHULE NI AIBU. MNACHODAI NINI? JE WAISLAM WAISHIO UGHAIBUNI WANAOAMBIWA KABISA NCHI FULANI NI YA KIKRISTO(DAVID CAMERON AMETOA TAMKO HILO KWENYE HOTUBA YA KRISMAS) WANAJISIKIAJE?
BONGO HKUNA MAMBO YA UDINI. HAYA MAMBO YA KUIGA HAYANA MPANGO NA NI AIBU KWA VIONGOZI WA DINI. DINI INATAKIWA KUONGOZWA NA WASOMI WA LUGHA ZOTE; L'AKHERA NA ELIMU DUNIYA.
Yaani kwa jinsi watu wengi walivyochangia hii post inaonyesha kwa jinsi gani watanzania tulivyokuwa wadini.
ReplyDeleteWATUWENGI WANASHINDWA KUJUA KIINI NA UKWELI WAUONEVU WA WAISLAM TANZANIA.
ReplyDeleteNIJAMBO LINALO FANYIKA KWAMUDA MREFU WAISLAM WAMELAZIMISHWA HATA KUFAGIA KTK MABANDA YA NGURUWE KTK MASHULE.
HUU UONEVU UPO TANGU WAKATI WA MWALIMU NYERERE TANGU KTK MASHULE NA MAOFISI.
KANISA KATOLIKI NDIO LINALO TOA MAAMUZI KAMA VILE WAIZRAIL MAREKANI.
KAMA HAKUTAFANYIKA MAREKEBISHO HUKO TUNAKO KWENDA HALIITAKUWA MBAYA KWANI WATU WASHACHOKA SASA.
Katika waislam 100 utakaokutana nao, wenye akili za kibinadamu hawazidi watano! Yaani wenzao wanajiendeleza kujenga shule, wenyewe wanagoma kwa kukosa msikiti sehemu ya shule. Namshukuru Mungu kwa kutozaliwa muislam! Amkeni ndugu zangu, acheni kulia lia!
ReplyDeleteNchi ina Dini nyingi na Madhehemu mengi:
ReplyDelete1.Wakristo:
Katoliki,Anglikana,Lutheri,Pentekoste,Sabato,na Makanisa mengine kibao ya Kisasa.
2.Waislamu:
Sunni,Shia,Bohora,Ismailiyya,Ahmadiyya,Answar Sunna,
3.Mapagani:
Rastafari,Waasilia na Wengine wasio na Dini kabisaaa.
Sasa ni AJABU YA MUSA KATOLIKI KAMA DHEHEBU TU, LA DINI YA KIKRISTO KUPANDA KICHWA NA KUPEWA MAMLAKA KUTAKA KUJIFANYA INA UTAWALA NA MAAMUZI BINAFSI WAKATI NCHI NI YA DINI NYINGI.
UKOMA HUU WA KIBURI CHA WAKATOLIKI KUPEWA HADHI YA MAMLAKA NA KUWA NA UBALOZI NCHINI NDIO UNAWAPA KICHWA KUFANYA KAMA WALIVYOWAFANYIA WANAFUNZI WA KIISLAMU KATIKA SHULE YA SEKONDARI NDANDA WANAYOIMILIKI WAKATOLIKI!
Wewe Anonymous wa Sat Jan 21: 03:25:00 PA 2012
ReplyDelete....Namshukuru Mungu kwa kutozaliwa,,,,! Amkeni ndugu zangu, acheni kulia lia!
Ninyi WAKRISTO MNABEBWA SANA HAPA NCHINI NA DUNIA NZIMA KWA MSAADA WA HAO MA BOSI WENU WA VITA MAREKANI, UINGEREZA NA ITALIA,,,HAMNA LOLOTE!
TATIZO KUBWA HAPA NI KUTOKAMILIKA KWA HII HABARI KUHUSIANA NA PICHA.
ReplyDeleteWANAFUNZI HAWA WAMEANDAMANA KWA MENGI YAKWEMO:
-WENGINE WANALAZIMISHWA KUSAFISHA MABANDA YA NGURUWE.
-WANAKATAZWA KWENDA KUSALI IJUMAA NA HATA KUVAA KOFIA WAKATI SIO WA MASOMO.
-WANAFUKUZWA SHULE BILA SABABU YA MSINGI KISA WASIDAI HAKI ZAO.
-WANADHARAULIWA NA KUITWA WAPENDA TAARAB
-WANALAZIMISHWA KUITIKIA HALELUYA NA KUIMBIWA KWAYA YA KIKRISTO KTK ASSEMBLY YA ASUBUHI.
-MWANAFUNZI WA CHUO ALIMDHALILISHA MTUME MUHAMMAD(SAW) KWA KUCHORA NA KUANDIKA MAANDISHI YA KASHFA DHIDI YA MTUME WETU.
-WALIONDA KUSHITAKI KUHUSU KUTUKANIWA KWA MTUME WETU HATIMAE WALISIMAMISHWA SHULE NA MKOSA ALIBAKIA NA MASOMO.
WANAINGILIWA KTK SEHEMU ZA IBADA NA VIATU NA KUFUKUZWA NDANI HUMO WASIENDELEE NA IBADA.
HIZI NI SHULE ZA SERIKALI NA WALA SIO ZA KIDINI LABDA TUSEME NI CHAGUO LAO WENYEWE.
KWAKWELI SIWEZI KUYAANDIKA YOTE ILIMURADI TU NI MKUSANYIKO WA MAMBO MENGI NA YASIKU NYINGI.HAWAKUKURUPUKA TU NA MKAWAONA WAJINGA HAPANA NI MUHIMU KUWAFAHAMISHA WANANCHI NINI KINACHOENDELEA ILI MSG ITUFIKIE WOTE KWA WAISILAMU NA WASIO WAISILAMU.NADHANI NI JAMBO LA KULIKATAA KWA WOTE NA SIO WAISILAMU TU.KWANI MAOVU YANAWEZA KUTOKEA KWA MUISILAMU NA KUMTENDEA SIO HAKI KWA MKRISTO HIVO ANAPASWA AADHIBIWE.IKIWA NCHI YETU NA KATIBA YETU INASEMA HAINA DINI NA IMANI ZIBAKIE KWA WANANCHI BASI INABIDI KUHESHIMIANA NA SIO KUNYANYASANA.
Huu ndio mwanzo wa vita vya kidini tz watu wanashindwakutambua ndanda ilikuwa shule ya nani hivi mpaka waislamu wanaandamana inahashiria nn ktk maisha n bora ucheze na vitu vyote ila c imani ya mtu hiyo inaweza zua machafuko ktk nchi we mwanafunzi unabeba bango unaandika tumechoka kuendeshwa na kanisa katoliki wakati hapo kaka yako au baba yako mzazi alisoma sekondari shule ya kikristo hadi chuo leo unadanganywa na wapumbavu wanaotaka kuharibu aman ya nchi hii kwa kubeba mabango yacyo na maana hebu ndugu zangu waislam tuandamane na tuandike kwenye mabango vitu vya msingi kufukuzwa kwa wanafunzi tusiingize masuala ya udini kunakokwenda nchi hii itazunka crusades war if we dont b carefull
ReplyDeleteKwanza nyie WAISLAM acheni tabia za udini , mnaleta matabaka na dosari katika nchi tuliopewa na mwenyenzi MUNGU.Nendeni shule acheni chuki. Nendeni mkapate maadili ya kuishii katika jamii mseto. ACHENI HIZO BWANA.
ReplyDeleteMarehemu Gadafi badaa ya kusaidia waisilamu kujenga Mshule na vyuo alikuwa anajenga misikiti tu!
ReplyDeletePetrol station ya "nanihii' ina msikiti kila mahali ilipo. Lakini Petrol Station hii haisaidii kujenga mashule.
Mbona sisi wakristo hatulalamiki. Pale ikulu sisi wakristo hatuna kanisa (chumba cha maombi) mbona hatulalamiki?
Wamissionari wa kikristo walikuwa busy kujenga mashule na vyuo.
"WAISILAMU WANATAKA WAJENGEWE MSIKITINI KATIKA SHULE ZA KIKRISTO".
Shule za Kidini kazi yake ni kuendeleza dini husika siyo dini pinzani.
Bakresa saidia waisilamu wajengee shule
KATOLIKI kinachowapa KICHWA ni VATIKANI ,Mamlaka ambayo uwepo wake nchini upo nje ya Katiba ya Nchi!
ReplyDeleteHii Vatican ilitakiwa ipewe amri ya kufungasha virago na kurudi kwao Vatican City, hata hivyo wamejibaraguza sana ilitakiwa waondoke kitambo kiuefu nyuma tokea enzi za Awamu ya Kwanza ya Nyerere.
Kama kweli hapa Tanzania tunaheshimiana kwa misingi ya Dini ilitakiwa Ubalozi wa Vatican nchini upigwe NYUNDO uvunjwe na hao wawakilishi Wazungu warudishwe kwao na huyo Kadinali Mtanzania aliyepo huko Vatikani anaeiwakilisha Tanzania arudi mara moja Tanzania!
Tanzania kama nchi yenye Dini nyingi na Madhehebu mengi hatuwezi lipatia Mamlaka ya Kiserikali Dhehebu moja la Dini ya Kikristo yaani Katoliki!
Ujanja wanaotumia ni kuwa wanasema Vatican ilikuwepo tokea kabla ya Uhuru na kuwa Katiba ya Tanganyika Huru ambayo sasa ni Tanzania imekuja/imeasisiwa ikiikuta Vatican Authority ikiwepo nchini!
Wewe Mkristo ohhh,,,, Katika Waislam 100 utakaokutana nao,,,
ReplyDeleteNinyi Makristo ndio hamna akili za kibinaadam ndio maana Nigeria kwa Wajanja Boko Haram wanawafanyia kweli!
Ninyi Wakristo ndio Majinga makubwa kwa kutaka Dini yenu ipendelewe pekee Dunia nzima na pia hapa nchini Tanzania!
Juzi mtu mmoja alitoa mada nzuri ya KILIMO kwanza..comment hazizidi Ishirini..Udini comment Kibao..Kweli kama alivyosema mdau hapo juu,sisi ni wadini.
ReplyDeleteMnao lalamika kunyanyaswa kwenye shule za wakristo jengeni za kwenu muhamie huko. Ukikaribishwa kuishi kwenye nyumba unafuata namna anavyoishi mwenyeji wako.
ReplyDeletenawashauri msome shule zisizo na masharti hayo kwani shule nyingi za kidini ni kuwaandaa vijana kumjua Mungu kupitia dini yao sasa kudai msikiti ujengwe kwenye eneo la kanisa ni ajabu sana mimi nadhani hata kabla ya makanisa na msikiti wote tuliabudu na Mungu akasikia kwa nini leo iwe hivi? Ni waislaam wangapi wamesoma Ndanda bila msikiti na ni wacha Mungu. Huyo pepo wa udini ashindwe katika majina yote yenye heri
ReplyDeleteKwa hiyo mfumo-kristo na mfumo-islam haufai Tanzania, hivyo mfumo-sekula (secular) utafaa.
ReplyDeleteNini Mfumo-sekula (secular)? Mfumo-sekula ni mfumo usioegamia dini yoyote hivyo mambo mengi ambayo yanafuatwa na mifumo-kristo/mifumo-islam haitapewa nafasi.
Mfumo-sekula utaleta umoja zaidi kwa kukataza mifumo kongwe kama mifumo-islam ai mifumo-kristo kujiweka mbele kuwa mifumi yao, taratibu zao, tamaduni zao ni bora zaidi ya nyingine.
Tanzania ifuate mfumo=sekula na kukataza watu kuvaa misalaba shingoni au hijab hadharani ili dini kongwe za kikristo/kiislam zisilete mogongano ktk jamii ya ki-Tanzania.
Mdau
Mfumo-sekula
WE ANON WA 03:25:00PM UNAONGEA NINI. KUFAGIA MABANDA YA MAVI YA NGURUWE SI KULA NGURUWE. AS LONGER UNAJIZUIA AU KUJIKINGA MWILI IPASAVYO, HILO HAKUNA SHIDA.
ReplyDeleteKUSHIKA AU KUGUSWA NA NGURUWE, MBWA NI SAWA NA KUGUSWA NA HADATH KAMA VILE MKOJO, MAVI AU SHAHAWA. HATA MWANAMKE AKIKUGUSA KWA MWIKO WA DINI, NI HADATH NA LAZIMA UKATIE UDHU KABLA YA KULAMBA MSALA.
DINI MNAGEUZA NGUMU NA KUWEKA MASHARTI YASIYO NA KICHWA WALA MIGUU.
HUU NI WAKATI MGUMU WA KUTAFUTA MAISHA NA KUJIFUNZA JINSI YA KUISHI KWENYE MAZINGIRA MAGUMU.
KUSAFISHA MABANDA YA NGURUWE KWENYE SKULI ZA JUMUIYA SI LAZIMA. LA MSINGI NI MWANAFUNZI NA MZAZI KUTAFUTA SHULE ISIYO NA NGURUWE NA KUPATA ANACHOTAFUTA;ELIMU.
MIE NIMESOMA SHULE YA BWENI ILIYOKUWA NA MIFUGO LAKINI HATUKUWA NA NGURUWE, BALI NG'OMBE. HATUKUWA NA WAHINDI WANAOABUDU NG'OMBE KAMA MUNGU WAO. SO AGA KHAN ZOTE HAZIFUGI NG'OMBE KWANI KUFANYA HIVYO KUNGEWAKOSESHA WAHINDI KUTOJIUNGA NA SHULE ZAO.
KWA HIYO TUSIAFUTE SABABU ZISIZO NA MSINGI ETI WAISLAM HAWAPATI HAKI SAWA.
JE WAISLAMU WAISHIO UK, HOLLAND, GERMANY, BELGIUM, SWISS, RUSSIA AMBAKO SIKUKUU YA EID HAITAMBULIKI KAMA DIWALI, NEW CHINESE YEAR AMBAZO VIONGOZI WA SERIKALI HUWA WANAHUDHURIA? GOOD EXAMPLE; D CAMERON ALIANDAA DIWALI PARTY AT DOWNING STREET. TUWE NA MADAI YA KWELI NA YENYE POINT/POINTS SIYO HUU UPUMBAVU.
KIKWETE SHOULD COME OUT AND TELL THOSE WHO WANT TO USE RELIGIONS TO DEVIDE OUR LONG LOVED UNITY FOR THE NAME OF ISLAM.
LOOK AT NIGERIA WHAT BOKO HARAM ARE DOING? IS THAT WHAT IT'S HAS BEEN SAID IN QUR'AN L'KARIM?
sheikh ubwabwa bin pilau bin biryan wa nyama mknononi, ughaibuni.
Anony wa Sat Jan 21, 02:13:00 AM 2012 umeongea yote waislamu hata siku moja hawaruhusu wakristu kwenye shule zao lakini wao wapo kibao kwenye shule za wakristu kaeni chini mfikirie kabla hamjaanza kuandamana.
ReplyDeletenchi moja Tanzania marais watano waislam, Kikwete, Shein, Bilali, Maalim Seif, Balozi Seif Ali Idd 'jina la mwisho cna uhakika'. Then watu wanaandka mabange eti tunaongozwa na wakatoliki, elimikeni bwana mnaboa sometime
ReplyDeleteMtaongozwa na kanisa katoliki mpaka mtakapopata akili kwamba hamuongozwi nalo..
ReplyDeletehe he heee! Maajabu kweli kweli....! Kweli tena tanzania ni zaidi ya uijuavyo.
ReplyDeleteNilitegemea chanzo cha maandamano ya hawa wanafunzi/wasomi wajao kuwa ni suala muhmu la kisomi kumbe upumbav tu... Hamna wasomi hapa, ma-mbumbu tu. Akili zao hazina akili
mim siwezi kutoa maoni kwa hili ILA naomba msiwaharibu vijana hawa ambao bado wamefungwa macho. huu udini mm ulinikumba miaka ya 90 lakini sikuvunika moyo na wala sikuona kikwazo kwenye maisha yangu. Kwani kama utasoma dini hata wakati wa Mtume ulikuwepo kama ukisoma sira na kwa wanaoishi nchi za magharibi wanajuwa sio kikwazo as long as unauwezo kupita wao. Ukiangalia katika bodi ya wizara ya elimu tangu enzi za nyerere kuna viongozi wao hadi leo.na position zile zile za maeneo ya penalty. ILA NAWAOMBA WAISLAM MOYO HAVUNJIKI KWA HAYA ILA YANA MWISHO WAKE.
ReplyDeleteKatika nchi ambayo imeshaweka wazi kwamba si ya kidini ni vigumu sana kumridhisha kila binadamu kwa imani zake,suala la kubaguana lipo na ni tabia ya binadamu,mfano ndugu wa tumbo moja wanaweza wakajitenga wa kiume peke yao na wa kike peke yao huku wa kiume wakiona kua wao wanastahili kulithi mali za wazee wao na si wa kike kwa kua wao wanaolewa na kutumia majina ya waume zao, huo ni ubaguzi, kwa wapenzi wa mpira Tunisia ilipocheza na England watuwaliipongeza sana kwa kuibana England sababu kubwa ni kwamba Tunisia ni ya Africahapa tuliibagua England kwa kua ni ya Ulaya, lakini ilipokua Misri inacheza na Ivory Coast wengi waliumia sababu Ivory Coast ilifungwa na Misri sababu wao ni wa afrika wenye asili ya Waarabu na Ivory Coast ni wa afrika weusi hii ni aina flani ya ubaguzi. Nachotaka kusema kwamba tusiuendekeze huu ubaguzi ikafika wakati ukatugawa na kusababisha chuki na kuanza kuuana kwa sababu ya chuki za kidini. Kila mtu anaamini lengo la dini ni kutukumbusha kufanya matendo mema ili siku tutakapokufa tuende peponi alipo Mungu, sas ni nani aliyewaambia kwamba ukiwa muislamu tu tayari peponi unaenda? Ni nani aliyewaambia ukiwa mkristo tu pekee basi ushaenda peponi? Kama hakuna je ni kwa nini ujione bora kuliko mwingine ati kwa kua we ni mkrito au muislamu? Sikatai hiyo inawezekana kama vile wewe unapokwenda kijijini kwenu na kujiona we ni bora na umejanjaruka kuliko wale uliowakuta pale kijijini (aina nyingine ya ubaguzi) jambo la msingi la kuzingatia hapa ni kwa upande mmoja kuacha kujiona wao ni watu duni na wanadharaulika bali ni kwa kuvumiliana na kudai haki zako kiungwana kwa kua tupo kwenye nchi ya kiungwana, kwani kwa kua hakuna anayependa matatizo ya kidini nchi hii basi wewe utakaye dai haki zako kwa namna ya kuamsha chuki kwa wengine kama hayo mabango yanavyosema ni wazi unastahili kuzibitiwa maana unataka kusambasa kansa mbaya ya chukina tiba rahisi ya kansa kama imekutokea kwenye viungo mfano mguu,au mkono dawa yake wengi mnaijua....
ReplyDeletePamoja tuijenge Tanzania yetu bila kujenga chuki kwani madhara ya chuki ni kama mafuriko hayachagui kwa kupiga
Hii yote imetokana na negligence ya kudhibiti wale maadui watatu Umasikini, Ujinga na Maradhi.
ReplyDeleteMaandamano ya amani mwengine mmekasirika, Mlitaka wapigwe mabomu na risasi za moto ili mfurahi.
ReplyDeleteWanafunzi wengine igeni mfano huu
Ujumbe umefika.
Kuwa na Waislamu kwenye nchi ni mzigo usioepukika. Waislamu ni walalamishi kwenye kila nchi. Kama unabisha angalia nchi za Waislamu watupu utaona kinachotokea. Ngoja nizitaje: Misri, Algeria, Morocco, Tunisia, Sudan, Indonesia, Pakistan, Bangladesh, Iraq, Iran, Syria, Bahrain, Oman, Yemen, Lebanon, Kuwait, Qatar, Turkey........kote huko Waislamu wanalalamika kwamba wanaonewa, sembuse hapa Tanzania ambako kumejaa umaskini, ujinga na maradhi?
ReplyDeleteMimi nashauri, tuwaelewe wenzetu na tuwasaidie. Uthibitisho wa ulalamishi wa Waislamu ni jinsi wanavyomlaumu Nyerere wakati kama si yeye Waislamu wa Tanzania wangekuwa mbumbumbu kama wa Kenya. Leo hii wanamlaumu, tena mpaka watu walioponea mfumo wa Nyerere wa kutaifisha shule za Wakristo ili Waislamu wasome. Huu ni ushahidi tosha.
Pili, angalia, watu wote watano wenye majina ya vyeo vyenye jina "rais" ni Waislamu lakini wanalalamika wao: Rais wa Zanzibar, Makamu wa Rais wa Kwanza Zanzibar, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Rais wa Muungano na Makamu wa Rais wa Muungano.
Sasa wanataka nini? Wizara zote muhimu wako wao, angalia Ulinzi, Mambo ya Ndani, Fedha, Elimu, Utumishi, na bado hata hiyo ya Mambo ya Nje alianza Muislamu kwanza wakati wa Kikwete na Naibu wake leo ni kilaza lakini yupo tu. Mnataka nini?
Usalama wa Taifa, Polisi, Naibu Waziri Mambo ya Ndani na Katibu Mkuu wake na Naibu Katibu Mkuu pia wote Waislamu, Mnadhimu Mkuu wa Jeshi kilaza wa kutupwa lakini muislamu, angalia wakuu wa mikoa mpaka Luteni ambaye hakupanda hata cheo kimoja jeshini leo ni RC Tanga, Pwani, Tabora, Ruvuma, Kigoma, Mbeya, Dar es Salaam, na mingine kibao. Makatibu wakuu wamejaa kama Maulidi, Mabalozi hivyo hivyo, sasa mnataka nini?
Waislamu hawataacha kulalamika, hata viongozi wote na watumishi wote wakiwa Waislamu, bado watalalamika kwamba Wakristo wanakaa kwenye nyumba nzuri, wanavaa vizuri, wana magari mazuri. Ndivyo Waislamu walivyo duniani pote. Ni walalamishi na hawafanyi lolote kwa ajili yao.
Mimi siamini katika dini yoyote lakini nahisi kwamba siku nikiamua kuingia kwenye dini, basi Uislamu sitaupa nafasi kutokana na tabia hizi.
Mtanzania Mzalendo Msemakweli.
NINYI MNAOSEMA VATICAN KUWA NA UBALOZI TANZANIA, JE HAMUONI IRAN ISLAMIC PIA HAITAKIWI KUWA NA UBALOZI WAKE HAPA TANZANIA. NA PIA SAUDI ARABIA KWA SABABU ZINAWAKILISHA UPANDE MMOJA WA DINI YA KIISLAMU. WEWE MICHUZI UNAWEKA POST LAKINI HUTOI MAELEZO YA KUTOSHA HIVYO UNAWAACHA WANANCHI HEWANI NA KUWAFANYA WATU WAPOTEZE MUDA WAO KWA MAMBO YASIYO YA MAANA. BE SPECIFIC BROTHER MICHUZI.
ReplyDeleteIf the Arabs and the Europeans had never set foot in Africa, I wonder what religion would have prevailed today!!
ReplyDeleteHomer
Shukrani kwako ankal hii ni kansa ambayo madaktari bingwa wanaiogopa kuitibu lakini wewe umethubutu kuwaachia wadau wafunguke na kuudhihirishia umma kwamba kuna tatizo kubwa la kutokua na shukrani. Jamani jifunzeni kushukuru na kuheshimu dini za wenzenu.
ReplyDeletetuanze kuwa natabia ya kupambana na maamuzi au matendo ya mtu na sio kundi analohusika nalo, mafano pengine kosa ni la mwalimu mkuu, ukianza kuchukilia ukristo wake, utarudi mapaka kabila lake, mahali anakotokea na mwisho wake hutapata ufumbuzi. naamini wale wanafunzi 20 waliofukuzwa walikuwa namambo ya msingi, lakini pengine uongozi ulitumia njia au maneno yasiyo faa kupambana na madai yako, naelewe na matakubaliana na mimi mara nyingi watu wenye mamlaka au madaraka huwa na ugonjwa wakuchelewa kutoa maamuzi na wakati mwingine kutumia lugha mbaya, mifano tunayo, kauli ya mramba na ndege ya raisi, kauli ya magufuli na nauli za kivuko cha magogoni, na hata kauli ya kikwete na uli mkutano wawazee wa dar es salaam. baadhi ya kauli zinaleta jazba hata kama mdai haki hana haki na anacho kidai. nini cha kufanya, kwenye mambo ya msingi kama haya ya dini; taasisi zetu za kidini ziwe zinafuatilia kwa ukatibu sana madai waumini wao na kutafutia ufumbuzi, na inapotokea waumuni wao wanafanya mambo yatakayo hatarisha amani wawaonye na kutenganisha madai ya mtu mmoja na kuwa madai ya jumuia nzima, kwa swala hili naamini kuwa BAKWATA ni chombo chenye viongozi mahili kama mzee Simba (Shee Mkuu), fuatilieni na kuona ukweli upo wapi na kutoa maelekezo nini cha kufanya. tatizo nchi yetu haina miongozo nini uwafanyie watu wadini nyingine au nini imani ya dini nyingine inataka, kwa hiyo atakuta kiongozi anafanya kwa kuangalia mafunzo binafsi anayo yaamini huku akiwakwaza wengine
ReplyDeletenchi ni yakwetu pamoja, tuijenge pamoja.
Tatizo la waislamu complain nyingi jengeni shule zenu,mbona wakristo wakisoma shule zenu wanafuata utaratibu wa kuvaa hijabu awasemi lijengwe kanisa ingawa msikiti hupo,acheni mambo yenu kama unaenda kusoma elewa shule unayoenda kusoma utaratibu wake unaujuwa,shule zenu tumekaa kimya bado mmeona aitoshi mnataka tuweke na msikiti,atuwezi kumkaribisha shetani
ReplyDelete