Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mabalozi wapya walioteluliwa na kuapishwa na Rais Jakaya Kikwete hivi Karibuni. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwake jijini Dar es salaam leo. Kushoto kwake ni Dkt. Batilda Burian-Kenya na Ali Saleh-Oman. Kulia kwake ni Philip Marmo-China, Dkt. Ladislaus Komba- Uganda, Shamim Nyanduga- Msumbiji na Grace Mujuma- Zambia.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na mabalozi wapya walioteuliwa na kuapishwa na Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni baada ya kuzungumza nao, ofisini kwake jijini Dar es salam leo. Kutoka kulia ni Dkt. Batild Burian- Kenya, Philip Marmo- China, Shamim Nyanduga- Msumbiji, Dkt. Ladislaus Komba - Uganda, Mohamed Hamza - Misri, Grace Mujuma, Zambia na Ali Saleh - Oman. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Congrats grace mujuma,

    ReplyDelete
  2. Hongera Grace Mujuma, na pole kwa kifo cha Baba yako Dr. Maro. Mungu awape familia yote nguvu kwa kipindi hiki kigumo. Pole sana Mama Violet Maro.

    ReplyDelete
  3. Mbona Mindi Kasiga hatumuoni hapo au ameishakwenda America maana sherehe yake ya kumuga ilifana sana

    ReplyDelete
  4. Huyo anaekwenda Misri Mh. Rais kampatia kweli utadhani ni mmoja wao,mie mweusi tiii sjui atanipeleka nchi gani?

    ReplyDelete
  5. hongereni waheshimiwa mabalozi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...