Waziri wa Nishati na Madini Mhe. William Ngeleja (wa nne kulia) akizungumza na ujumbe kutoka Sweden uliomtembelea kwenye ofisi za Wizara ya Nishati na Madini mapema mchana leo. Ujumbe huo uliongozwa na Waziri wa Biashara wa Sweden Dkt. Ewa Bjȍrling na Balozi wa Sweden – Tanzania, Bw. Lennarth Hjelmaker. Nia ya ujumbe huo ni kuangalia fursa za uwekezaji nchini hususan katika nishati jadidifu (renewable energy), mawasiliano ya simu na mitambo.
Balozi wa Sweden Nchini Bw. Lennarth Hjelmaker (wa tano kushoto) akisisitiza jambo mara ujumbe wa Sweden ulipofanya kikao na Waziri wa Nishati na Madini Mhe. William Ngeleja (Mb.) kwenye ofisi za Wizara mapema leo mchana.
Home
Unlabelled
WAZIRI WA BIASHARA WA SWEDEN AKUTANA NA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI NCHINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
SWEDEN:
ReplyDeleteMzigo mkubwa abebeshwe Mnyamwezi, hawa Wa sweden ndio wa kupewa na kusaini nao mikataba ya miradi ya Umeme na sio Wahindi!
HAPA UMENENA, ACHANA NA WAHINDI, WAMALAYSIA NA MAKABURU, HAWANA MAADILI HAWA. FANYA KAZI NA WASEWDE, WANORWEY, WAFINN. HAWA MAADILI YAKO KWENYE DAMU.
ReplyDelete