Home
Unlabelled
Biashara ya Kuku mjini Songea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hivi mtu unajuaje ni kuku? maana hata paja za paka zinauzwa kama ni kuku?
ReplyDeleteNo food hygine hapo salmonela njenje!
ReplyDeleteWenye bar mlie tu, watu ni creative kama hivyo. Nyie mnapandisha nyama choma na kuku wamachinga wanatuuzia bei poa. Ila mmh sitanunua ng'o hata kama njaa inataka kunizimisha.
ReplyDeletehalafu niondoke Bongo! niende wapi?
ReplyDeleteHii kitu tamu nyinyi. Msidanganyike na mambo sijui ya Kempinsk, au serena. Hawa kuku wanchinjwa leo, jioni wote wameisha. Kempinsk kuku takaa kwenye fridge mwezi mzima test itatoka wapi? Nitakula mpaka siku nife ndio basi
ReplyDeleteHeri yenu mnayekula kuku aliyechinjwa jana yake,wenzenu huku Europe kuku wamekaa kwenye freezer zaidi mwaka bado tunawakamata,better home bongo.
ReplyDelete