

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hivi hawa wachina wanafanya nini bongo?????
ReplyDeleteraia wa kigeni wamechoka namna hiyo hiyo hela ya kulipia kibali wanaipata wapi - hao ni lazima wanaishi kinyemela huko kwenye magodown na laiti wangalimuona mpiga picture wangezaa naye , huo ni mtaji wa uhamiaji kila mwezi wanaenda kuchota fungu hapo - jamani !
ReplyDeleteInsurance scam hiyo!
ReplyDeleteLakini kutokana na inflation lazima viwanda vingi viungue kwani wanaogopa hasara na wanavichoma moto wenyewe ili walipwe na Insurance bila kujua wanaongeza tatizo la inflation. Tatizo makachero wa bima wakienda nao wana fungu lao ili watengeneze ripoti nzuri ya kumfever mwenye godown/kiwanda kushawishi alipwe. Hii "nji" bwana! sijui tutaponea wapi manake madhara ya inflation yanaangamiza watu wa tabaka la kati na chini tu huku wasababishaji wakubwa wakiendelea kupeta!
ReplyDeleteDah! Kweli hawa Wachina wamechoka. Sitashangaa nikiambiwa kwao walikuwa ombaomba, lakini Bongo wanaitwa wawekezaji.
ReplyDeleteWA-TANZANIA SIE WATU WA AJABU MSHAANZA RAIA GANI WAMECHOKA SABABU WACHINA HAO WANAPIGA KAZI HIYO, NYIE ENDELEENI KUZARAU NA KUCHAGUA KAZI KWA KUZARAU NDIO NYIE MNAONA WAZUNGU WAKIENDA MAMA NTILIE NI KITU CHA AJABU NA USHAMBA WENU, UKIJA KAMA MTALII NCHINI VIZURI WAKALA MITAANI KULIKO NYOTA TANO HOTELINI,WENZETU WANAHANGAIKA NA BOX SIO KUKAA KWENYE MAGOGO VIVU AU KIJIWE NAKUKOROMA MCHANA MTAANI JITU ZIMA NA WA KWANZA MTU KULALAMIKIA SERIKALI. Kitwana
ReplyDeleteKaka Michuzi habari zilizo nifikia sasa hivi ni kwamba huo moto umemua msichana anaitwa Mariam.Alikuwa kibarua kwenye hicho kiwanda. Kaka mtu kaja kumulizia leo asubuhi baada ya kutorudi nyumbani jana basi kutoa tarifa ndo wakatafuta kumbe kafia kule juu kaungua uso wote. Nadhani moshi ulimzinda akashindwa kushuka kwa haraka. Leo asubuhi police wa changombe wameitwa kuchukua maiti yake. So sad!
ReplyDeleteWachina wanapiga kazi tu, wanalala godown na kuamkia kazini. Baada ya mwaka mmoja wanafungua ofisi na kuendelea kupiga kazi! Wabongo starehe, pombe, chuki, wikvu na maneno meeengi, utafikiri wapenzi wa Simba!
ReplyDeletewabongo bwana kazi kusema wenzao eti wahamiaji sijui wachina wamechoka
ReplyDeletehivi sisi tuliokuwa tumejaa huku ughaibuni mbona hatusemwi au raha kujaa kwa wenzenu na wenzenu kuja kwenu ni dhambi?
bongo tunaongoza kwa ubaguzi mtake msitake hata huko china wabongo wamejaa.
MWENYEZI AMLAZE. MAHALI PEMA PEPONI! HAPO ICHUNGUZWE KAMA MDAU JUU KASEMA HIZI SCAM ZINAUMIZA WASIO HUSIKA MARA NGAPI NCHINI HAPA INATOKEA ALAFU TUNAONA WANAFUNGUA BADAE KIWANDA KIKUBWA ZAIDI MFANO KLABU MAWINGU. KITWANA
ReplyDeletekumbe magari yenyewe ya zima moto bado ni yale ya enzi za mkoloni yaani hata lift tu hayana. mbaya zaidi yanatumia maji badala chemical, kaazi kweli kweli. lazima kila kila kitu kiteketee kwa mtindo huu...
ReplyDeletehuyo wamemtoa kafara
ReplyDelete