Kaka michuzi naomba unipostie haka kagari ka rafiki yangu. Muda wake wa kukaa nchini umekwisha kwahiyo analiuza. Lipo kwenye hali nzuri sana ambayo huwezi kuamini. Lina alarm system,comprehensive insurance,leather seats,halijawahi kugongwa. Bei ni Ths 16,500,000/= tuu
Kwa wanunuzi ambao ni serious wapige simu 0784800899


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. FATHER UNAPAKI GARI MAKABURINI NINI? ANYWAY,MCHUMA UMETULIA

    ReplyDelete
  2. Tuwasubiri waosha vinywa waanze kumwaga pumba.

    ReplyDelete
  3. Na muuzaji kama yuko serious basi ajue kuuza gari kunahitaji seriuos data, kilometa, mwaka, engine size, mafuta inatumia, service rekofi na bei, sasa yeye kaweka la mwisho!

    ReplyDelete
  4. weka size ya engine mafuta inatumia diesel petrol gas au maji?

    mwaka wake na tuwekee picha za ndani tuone kama imetulia mpaka ndani....automatic au kawaida?

    unasafiri unaelekea nchi gani kama ughaibuni pande za ulaya nikupe adres ukaniwekee hiyo gari nyumbani kwangu mihela yako utaikuta huku ukifika

    njia rahisi kama unahitaji mihela ya huku au ya madafu uwamuzi ni wako.

    ReplyDelete
  5. waosha vinywa lazima ikiwa maelezo ya muuzaji hayajakamilika

    hiyo gari ipo wapi mkoa gani?

    ReplyDelete
  6. Nadhani kwakua muuzaji ameweka namba yake ya simu, basi muhitaji wa kweli atamtafuta na chochote ambacho mnunuzi anataka kukijua kuhusiana na hili gari ataambiwa na wataanzia hapo...

    ReplyDelete
  7. Nzuri kweli kwa "wawindaji"Ukiwa nayo porini hii lazima wanyama waifuate.Utakula nyama kila siku hadi utachoka!!!

    David V

    ReplyDelete
  8. sindomana mkaambiwa alokuwa serious apige sim, piga sim utapata maelezo yote hayo unayohitaji,

    ReplyDelete
  9. Waosha vinywa oyeee!

    ReplyDelete
  10. oyeeeeeeeeeeeeeeeeee

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...