Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Injinia Stella Manyanya akisalimiana na Mzee Kayanza Pinda wakati alipowatembelea jana kuwajulia hali. Kushoto ni Mama Kayanza Pinda ambao ni Baba na Mama wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa akiwa katika picha ya pamoja na Mzee na Bibi Kayanza Pinda ambao ni wazazi wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nyumbani kwao Kibaoni Wilayani Mpanda Mkoani Rukwa. Mkuu wa Mkoa alikuwa Wilayani hapo kumuwakilisha Waziri Mkuu kwenye mahafali ya Kidato cha sita Shule ya Sekondari Usevya.
HATA KAMA NI MTOTO WA MKULIMA JAMANI, JARIBU KUBORESHA NYUMBA YA WAZAZI WAKO. WEKA TILES, MAKOCHI HIVYO VITI VINATIA AIBU, NDIO WALIOKUSOMESHA KWA TAABU, NI MUDA WAO WA KUONA MATUNDA PLEASE.
ReplyDeleteKATIKA WAKATI HUU WA KARNE YA 21 SIKUTEGEMEA KAMA BADO TUNA VIONGOZI WANAO TAMBUA UONGOZI NI KAZI YA WITO NA YA KUWATUMIKIA WANANCHI ILI UWE KIONGOZI WA MFANO WA NDUGU PINDA LAZIMA UMTANGULIZE MUNGU MBELE, UMUOGOPE MUNGU NA KUFANYA YALE ANAYOTAKA TUFANYE.KIONGOZI KAMA HUYU ATAPATA WAPI MAMILIONI YA KUCHANGIA KANISA. 1YOHANA3:3-8
ReplyDeletekama wa kwetu tu nilijuwa wapo tofauti
ReplyDeleteNimeona mahala wanapoishi wazazi wake Waziri Mkuu,
ReplyDeleteThanks Engineer! that is how leaders should behave to fellow leaders' families in our community.Stay blessed with your family too.
ReplyDeleteyaani hamkosi ya kusema jameni lawama tu watz hata kama lingekuwa bangaloo la kufahari mgesema sana. Hataki maskendo baba wa watu labda akishastaafu ndio atafanya vitu vyake huko kijijini. Hat hivyo watz wengi husahau sana kujenga nyumba bora vijijini mwao wanajenga mjini majumba ya kifahari msimseme mwacheni!
ReplyDeleteDuu! very CHOKEST!
ReplyDeleteJAMANI ANGEWAJENGEA BONGE LA JUMBA SI MGE SEMA KAIBA PESA ZA SEREKALI ANY WAY YEYE MWENYEWE ANAJUA NINI ANAFANYA MWENYEWE
ReplyDeleteWala tusingesema sana kama angekuwa na nyumba ya kawaida ya uhalali. Sijui kama Kutoikarabati nyumba ya wazazi waliokusomesha ndio kuonyesha ukulima jamani, hapana Kwa mshahara wake halali na kipato chake tangu alipoanza kazi nyumba ingekuwa bora zaidi na isiyo na gharama kubwa
ReplyDeleteNi maoni yangu tu
kwa walioishi kijijini wataelewa kwanini waziri mkuu pinda ajaweka hizo tiles zenu na hizo nyumba zenu za kulala na haja ndani
ReplyDeleteunajua mimi mwenyewe nikimleta mama au baba yangu dar wanakaa siku 2 au 3 wanasema wanataka kurudi na mara nyingi nilikua naongea nao wanasema haa sasa tutakaa mwezi basi so baadae wanasema tunataka kuku wetu na vitu vingine awapendi kabisa maisha ya kupikiwa mafuta na pia nimewajengea nyumba km hii mzuri ya mjini awakai kabisa badala yake unakuta ni ya wageni hii ndio life style yao wazee wa zamani awapendi mambo ya kifahari km ya kisasa wanaona tabu na wamezoea na ni maisha mazuri sana ndio maana unawaona hapo na ukiuliza umri wao utashangaa so hongera sana mh pinda kwa hili acha waishi wapendavyo bila tabu
Huko sumbawanga ni full ushirikina no wonder PM anaogopa kuwajengea wazazi wake maana ukiwa na maendeleo tu wanakuua kwa uchawi. Anyway anaesema PM ni bahili sana mbona mtoto wake wa kike tunasoma nae hapa Arkansas, USA? Michuzi muogope Mungu usibane hii
ReplyDeleteJamani Waziri Mkuu amewekeza kwenye Guest House hapo kijijini kwake kwanza, nyumba ya wazazi atairekebisha tu karibuni.
ReplyDeleteusanii tu huu,, waetuonyesha banda la mahindi lililosafishwa maalumu kutudanganya sisi wadanganyika...
ReplyDeletehii nimeikataa hata aje nani. ndio nakubaliana na mchangiaji aliyesema wazee wteu hawapendi mabo safi ya vijna wa kileo na mabo ya ushirikina na nin lakn si kwa kiwango hiki.
ni mtizamo tu
ahsante
hsm