Asalaam Alaikum brother Issa I do hope this mail finds you in great health. I want to congratulate you on your Blog which I am a current visitor and each day I get to read the current news. I am a hiv positive muslim woman who would like to take this opportunity to thank you for your dedication in your work and for giving people a chance to find love in your blog and know whats happening around them politically,socially,economiallay you name it.
I know by me coming forward and you granting me the opportunity by posting my post I your fellow sister would inshaallah meet somone who is going through the same calamity as I am. Thanks in Adavance.
I am a hiv positive muslim Tanzanian African woman of 35 years of age residing in Dar es Salaam who was diagonised with HIV in 2007. I believe my life trails and challenges have made me a better person. I am religious,passionate,polite,good listener,charming,decent, down to earth,reserved and fun to be with.
I have a great sense of humour and have alot of love to give. I value all of life's experiences and I am not bitter that bad things happen to good people like you and me. My life goes on,so does my heart.
I am healthy very tall 6 feet blessed with a few extra pounds who dresses according to the occasion. I am a single parent blessed with one Son.
I seek a HIV positive muslim man who is healthy,genuine,charming,romantic man for marriage preferrably in his 40s to 60s,single (never married or widowed) A man who has done that been there a really wants to settle down. He must be religious, healthy,independent,intelligent a good muslim man who also has to be upfront and real about whatever situation maybe.
I am 6ft so please be about that height too. As it has bbeen said am man should be judged by the content of his character a man who knows that a relationship has more to it than Sex and who truely knows what it means to Respect a woman.
We all deserve happiness and to all those HIV positive people out there theres life after being affected with Aids lets have hope and make this world a better place.
Kindly get intouch through my emails: latifah.ahmed@yahoo.com or latifah_31@hotmail.com.
Inshallah, Mwenyezi Mungu atakujaalia umpate miongoni mwa Mu'minin
ReplyDeleteHongera Bi Latifah kwa kujitambua na kujitangaza bila ya woga.
ReplyDeleteNaona umeamua kabisa, nakutakia kila la kheri katika kutafuta huko.
Ukimpata huyo ukae utulie naye.
Alaykum Salaam,
ReplyDeleteOur beloved Sister,
May Allah bestow you with patient following the demise that touched your personality,
Inshallah!
mtumeeeeeee! haya makubwa sasa. Madogo lakini yana nafuu
ReplyDeleteOmbi zuri kabisa. Ila kwa kutaka mwanamume ambaye naye si HIV positive huoni kuwa unajinyanyapaa mwenyewe. Ungetangaza kuwa wewe ni positive na unahitaji mwenza. Pia sharti la umri na kuwa awe hajawahi kuoa halitekelezeki, huwezi kupata mtanzania wa umri huo ambaye hajawahi kuoa. Kama yupo ana kasoro. Asilimia kubwa ya watanzania ni wa kimo na ankali sasa huyo wa futi 6 utampata wapi?
ReplyDeleteNakushauri ondoa masharti yote na uweke picha hapa pamoja na CV pia utangaze uwezo wako wa kiuchumi halafu utaona maombi yakavyomiminika.
pray with you sister....Be bless and strong in Jesus name.Amen!
ReplyDeleteNingeomba au ingependeza zaidi kama ungeiandika kiswahili ili ujaaliwe kupata mwenzako inshaallah.Kwasababu sio wote wanaongea lugha ya kigeni.
ReplyDeleteGood Luck
Mdau hapo juu,umesema kuwa huyu dada anatafuta mtu ambaye sio positive,,mbona kaandika anatafuta mwenza positive Man!Ila tu kusema kuwa mwanaume ambae hajawahi kuoa au kufiwa na mke,hiyo naona kweli kakosea,maana umri huwo wa 40s to 60s lazima awe kaoa na kama ni positive huwenda alishafiwa na mke!
ReplyDeleteNa kusema aweke CV yake hapo kwani anaapply kazi,si anatafuta Mwenza?Na kutoa picha yake kwani ni nini si ndo mtamnya nyapaa kabisa?,,,
Natumaini kwa Qudra zake Mola wetu Bi Latifah utapata Mwenza soon Insha'Allah!BarakAllahu,,,
Ya'arabi Akuongoze,na akufanyie uwepesi kwa hili jambo la Kheri,
Naona kama hukupata katika post hii ya kingereza,jaribu tena kwa kiswahili.
Na urefu pia jaribu kuomba hata mwenye kuwa na chini kidogo ya 6ft
Dada nimekupendaje!Muumwaa Ubalikiwe sana!
...Ahlam,,,UK
Anon wa Wed Feb 01, 02:09:00 PM 2012, husomi vizuri? amesema anatafuta ambae nae ni HIV positive hajasema kuwa aawe negative,
ReplyDeleteNakuombea InshaALLAh ujaa'liwe umpate mwenzio ambae mtapendakwa ajili ya ALLAh.
Ankal michuzi sijasikia kama ameoa ila sidhani kama ni positive, hapo itakuwa shughuli kidogo! Ankal muonee hurma umuoe huyu Bibie utajaaliwa Janna maana sijawahi kumuona Mrs.
Aamen Amen Amen jina la bwana lihimidiwe.
ReplyDeleteLet me see if I can align your requirements correctly:
ReplyDeleteYou are looking for:
1. Muslim man
2. HIV Positive
3. Single/Widow (never been married)
4. 6ft tall
5. Religious, Charming, Good listener and blah blah....
And you are:
1. HIV Positive
2. 6ft tall with few pounds
3. Single mom
what you have to offer? Don't you think you're asking for too much?
Anoni wa 02:56 01Feb 2010 nafikiri hukuelewa lugha au watu wengine ni lazima mponde huyu dada amesema anatafuta HIV mwenzake na hajasema asiye HIV.Hivyo basi hajajinyanyapaa kama unavyosema.
ReplyDeleteanonymous 5 soma vizuri ombi la dada anahitaji mtu aliye HIV positive kama yeye...dada Latifah i wish Mungu akujalie sawasawa ombi lako...!
ReplyDeleteHE HAS TO BE AT LEAST 40 YRS AND NEVER BEEN MARRIED? U KIDDING! GOOD LUCK WITH THAT
ReplyDeletedada vvu ina vijidudu tofauti nadhani vya aina mbili sasa kwa mfano weye una vidudu X ukalala na mwenye vidudu Y basi unajiharibia maisha yako yakatike haraka yaani imagine X&Y ndani ya mwili havitaendana na dawa zitakuwa tabu kukutibu hivyo utajiletea kifo haraka
ReplyDeleteuliza madaktari wajuao haya vizuri, ndio maana hata kama unapata mwenye ukimwi basi watu bado wanajikinga sababu ya vijidudu vya aina mbili
hii ni kitu important sana ambayo watu wengi hawafahamu na ukatisha maisha yao haraka hata kama avr inawasaidia shuti one day inaacha kuwasaidia tena sababu wamejiingizia balaa lingine ndani ya miili yao.
Naomba ufuatilie sana na njia gani mtakuwa mnapeana raha etc
mie sio daktari ningekueleza mengi bali ndio hivyo. nilisumuliwa hivi na rafiki yangu daktari tulipongeleage topic hii miaka iliyopita.
Ubarikiwe
Inshallah, utabaarikiwa na mwenza utampata na ndoa itakuwa tamu na utasahau yote yaliyokukuta
ReplyDeleteWe pray for you sister
ReplyDeleteHongera dada yangu..ingawa nina angalizo kwako ni hatari kutafuta HIV mume kwa kuwa unaongeza kitu wanaita viral load.. Pia ni rahisi kupata pia aina nyingine za hiv virus,
ReplyDeleteUjumbe umefika Michuzi!
ReplyDelete*Atafutae hupata!
Sioni kwa nini anatafuta mwenzie awe HIV+ tu, kwani upendo wa mtu ndio muhimu. Angesema tu yeye ni HIV+ anatafuta mwenzie basi, wanaume wenyewe wangeamua kama wanataka kuwa naye au hapana, kwa vile wana upendo wa kweli. Vile vile dada naona ana masharti mengi, kwa mfano dini, kwani hapo anaacha wengi ambao labda wana upendo kweli. Na jamaa anayesema sijui dada akijichnganya na mtu mwingine mwenye virusi eti kwa sababu sijui viko tofouti X+Y(sielewi,aache kutishia watu, wote tunakufa na hatujui lini. Unaweza kufa sasa au baadaye ni sehemu ya kuendeleza maisha. Tuwachee kuwanyanyapaa wenzetu.
ReplyDeleteNADHANI HUYU DADA MPAKA KUJITANGAZA HAPA KADAMNASI KWA MICHUZI,,AMEISHA PITIA MADAKTARI LUKUKI,KWA HIYO ANAJUWA ATASTAREHE VIPI NA PIA KUSEMA ANATAFUTA MWENZA POSITIVE,BASI HATAKI KUWAPA SHIDA WA NEGATIVE,,NAHISI WAO WAATHIRIKA WANAJUWA ZAIDI KULIKO ASOATHIRIKA,,,,
ReplyDeleteHATA HIVYO DADA KIFO NI KWA KILA MTU AIDHA UNAUMWA AU UMZIMA,,WAKATI WOWOTE TUNATEMBEA NA UMAUTI SISI BINADAMU,,,NA HUYU DADA KUCHAGUA WA DINI YAKE NAHISI NI JAMBO BORA SANA HAPA DUNIANI KUOLEWA AU KUOA MTU WA DINI MOJA,,ILI MUWE MNAOMBA KWA MWENYEZI MUNGU KWA IMANI MOJA!
INSHA'ALLAH UTAPATA TU NIKO NA IMANI HIYO,,NA UKIPATA DADA TUJULISHE BASI TUJUE DUAH ZETU KAMA ZIMEPOKELEWA,,TUNAKUOMBEA SANA,MIMI NA WADAU WENGI WALIOTOA COMMENTS
AHLAM UK
Nahisi huyu dada ana maana HIV negative,ila labda kasahau au kachanganya lugha.
ReplyDeleteLabda huenda anatafsiri POSITIVE ni kitu safiiiii,hivyo ana maana kuwa ASIYE na HIV!
Ni maoni yangu tu
wewe dada usikate tamaa omba mungu utapona, mimi nimeomba mungu na nimepona omba kwa imani usikate tamaaa, hiv ni nini mbele ya mungu?
ReplyDeleteMi nashauri aweke condition ya mwanaume awe tayari kupima HIV, Baada ya matokeo mwanaume aamue ata akiwa +ve or -ve. LOVE is the most important thing. I support her in some restrictions eg. Age, height etc are very important. Suala la DINI lisiwe kikwazo, je kwa yule ambaye atakua tayari kubadili dini je?
ReplyDeleteASSALAM ALAYKUM!
ReplyDeleteDada Latifah Pole sana!
Suala lingine, kulingana na maoni ya Wadau kadhaaa hapa nafikiri kwa vile mtoto umeshapata na kuwa kuendelea na mwenendo wa KUJAMIIANA itaharakisha kazi ya athari ya virusi unavyoishi navyo kwa sasa,,,nakushauri PIGA MOYO KONDE, UACHE MATARAJIO YA KUTAFUTA MUME KWA VILE PATAKUWA NA ULAZIMA WA JIMAI (KUJAMIINA)NA ZAIDI UDUMISHE IBADA!
Amina anon wa thu feb 02,04:01:00 am 2012.
ReplyDeleteDada, POLE SANA!
ReplyDeleteAchana na utafutaji Mwanaume kwa vile utaashiria wewe kuwa na mwenendo wa KUJAMIIANA ambao kwako kwa sasa kulingana na yaliyokufika ni hatarishi zaidi,,,Mtoto umeshapata Alhamdullilah, ILI UISHI MAISHA YA RAHA YALIYOBAKI, HUKU UKISUBIRI AHADI YA ALLAH,,,KILICHOBAKI NI KUISHI KATIKA USEJA NA KUENDELEZA IBADA!
Alaykum Salaaam,
ReplyDeleteDada yetu Mpendwa, Pole na matatizo!.
Ma Ustaadh wetu wenyewe tunawajua,huyo unayemtafuta akikuoa na ulivyo jaaliwa uzuri itakuwa ni majambozzzz tu bila breki kitu ambacho kita kuchosha na kuongeza kasi ya athari za VVU vilivyo tayari mwilini mwako!
Kwa matatizo uliyoyapata huku ukiwa tayari umesha jaaliwa kupata mtoto achana na mawazo ya MUME na KITANDA (itabidi uukabili mtihani huu mgumu wa useja) kilichobaki kwako ni MKEKA na SWALA!
AAWW,
ReplyDeletePole dada Latifah,
Ni vema ukaendeleza masuala ya kiibada kama hisani mfano:
1-Kazi za Misikitini za kujitolea.
2-Kama unayo elimu ya Dini fundisha Madrassa.
3-Mume ndio ni muhimu isipokuwa inawezekana upakata mume mwenye GUBU akakuzidishia KARAHA badala ya FARAHA.!
''SUALA LA UTULIVU WA KISAIKOLOJIA NI MUHIMU SANA KWA WATU WENYE MATATIZO KAMA HILI''
HUSTAHILI KUKARIBISHA MAZINGIRA YATAKAYO ASHIRIA KUSONONEKA UNATAKIWA MATUMAINI NA FARAJA ZAIDI!
Ndugu pole sana!
ReplyDeleteHuyo Ustaadh atakae patikana atalitumia tangazo lako kama Katiba ndani ya nyumba kumuhakikishia ''Unyumba'' atakuwa hana lingine la ziada!
Kama Ujuavyo Ma Ustaadhi na Masheikh wetu wengi hawanywi (pombe) wala kuvuta sigara!,,,sasa mtu wa namna hiyo anaeleweka kuwa anajaza vipi hapo hilo pengo?,,,wenyewe Wadau ninyi ni watu wazima mnajua hili!
Ni wazi ata mchokesha zaidi dada yetu kwa ''mabunduki'' yake na akifanya ndio kama Ibada!
mamdogo kamiss chakula ya usiku na hataki kumuua mtanzania mwenzake. Anaonekana ana roho ya huruma. Mungu amuadhibu ambaye hakumuonea dada huyu huruma na kumpa tatizo hili. Tatizo ambalo yeye hataki kuligawa kama alivyogawiwa.
ReplyDeleteJAMANI ndio maana anataka mtu mwenye tatizo kama lake kwa sababu wote wawili wanajua ilani za tendo la ndoa ni kwamba hawafanyi mara kwa mara sana sana ni mara moja tu kwa mwezi na kwa kutumia kinga sio bila condom.
ReplyDeletenilivyomsoma mie ni kwamba anahitaji zaidi mtu wa kukaa nae na kubadilishana mawazo na kuliwazana kuwa na mume katika hali hii haina maana kuwa anahitaji tendo la kujamiina kivile nop! nyie wengi mnaobisha na kuona ajabu ni wale ambao mmejaliwa kupima afya zenu na kujikuta mko safi lakini kwa watu kama mie naelewa haswa kitu ambacho huyu dada anazungumzia.
Dada yetu,
ReplyDeletePole,,,nakushauri shika Tasibihi mkononi na zingatia Swala zaidi,,, Ustaadh yeye mwenyewe atakuwa ameumia pia (Ameathirika) hakuna jingine atakuchanganya na atazidi kukubomoa Kiafya kwa Mtalimbo!
Dada yetu, Pole kwa masahibu yaliyokufika!
ReplyDeleteSio rahisi kumdhibiti Mwanaume katika suala la Unyumba eti, tutakuwa tunakula chakula kwa mwezi mara moja!
Asalaleee, Ustaadh wa namna hiyo labda apatikane Shariff kweli kweli lakini wengi wao ''Ma ustaadh Vibandiko'' hawa mara kwa mara hatakubali Matalimbo wake ulale dorooo!!!
Pole sana dada yatu,
ReplyDeleteShariti la chakula cha usiku mara moja kwa mwezi, eti kuzingatia Ushauri Nasaha wa Angaza?
Itakuwa ni vigumu Ustaadh ameoa kwa halali kulala mwezi mzima kitandani amekumbatia mto eti chakula cha usiku kwa Mgawo?
dada yangu pole sana...haya ni maisha. nakubaliana na mdau mmoja aliyesema kuwa mpaka dada ameamua kuweka ombi lake humu hadharani ina maana ameshapata ushauri sana tu wa suala hili kutoka kwa wataalamu, hivyo anajau anachokitafuta...lakin angeegeza baadhi ya masharti kidogo kama umri angeanza nagalau na mtu wa umri wake au hata akiwa amemzidi kidogo..na urefu pia angeshuka kidogo hata futi 5 sio mbaya..mengine ya dini, ucheshi n.k nakubaliana nae..awe hajaoa au sio mjane ni sharti ambalo kwangu naliona ni gumu kuliko yote mpaka nikapata mawazo kuwa huyu dada anatania watu ktk mtandao au anafanya utafiti fulani hivi..maana si rahisi kumpata..lakn je yeye kwani si mjane au hajawahi kuolewa pia?...
ReplyDeleteanyway, i believe most of the people who put their comments here, like me are praying for you to get one inshaallah...God luck my sis in islam..loptz@yahoo.co.uk
ni mtazamo tu
ahsante
hsm