Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. yote tisa haya mavyakula yetu ya kiswahili kwa gesi ni hatari 100%fat

    sasa swali la kizushi mbona huyo mzee yusufu anafanywa kama bwana harusi kwenye huo mnuso utasema mnuso wa harusi nayeye mzee yusufu ndio bwana harusi

    haya mambo ya pwani hayo.

    ReplyDelete
  2. mmmmmmh! hiyo ilikuwa mnuso wa ukweli palipikwajeee halafu vinaonyesha vitamuuuuu

    ReplyDelete
  3. duh mijimama kama bongo, sharti ananawishwa na kufutwa kama bongo, bwana anakula kombe na manyama nyama, ndio maana marekani na uk maugomvi na kuchukuliana waume akwishi ni mitaa ya taarab, si mchezo baba ake.

    ReplyDelete
  4. mnajisahau kwa fadhila za mungu...astaghfirullah..salma.....tubu ila Allah

    ReplyDelete
  5. Hawa ndiyo watu wanaofaa kualikwa majumbani sio watu wa fleva. Nyie watu wa majuu mjitahidi msiwe mnaleta watu wa fleva huko kwani hata sie tumewachoka. Time is up for them!

    ReplyDelete
  6. yaani waswahili hapo mtu anaweza kuoa kisa hayo mahanjumati ,maanjumati hayaji bila pesa

    ReplyDelete
  7. Hii kitu imekaa kiswahili mpaka nimechoka kabisa lol!

    ReplyDelete
  8. kama wewe ni mzungu waache watu na uswahili wao.

    ReplyDelete
  9. popobawa mzee wa majunguFebruary 17, 2012

    mswahili ni nani? we mwenyewe mswahili. mbona umeandika kiswahili?? huu mtindo wa kusema ati sjui " kiswahili" unaniudhi mimi huuu. mijitu inamawazo ya kitwana twanaa.. kwani kuwa mswahili ni dhambi?huu ndio utamaduni wetu na lazima tuuendeleze. Lione!.. nitakuja kumramba mtu kibao skumoja! ila kusema kweli hako kamnuso kalipendeza..sipati picha hiyo miarufu ya udi ubani hapo..tobaaa!

    ReplyDelete
  10. Ndio maana waswahili hawaishi kuumwa chembe cha moyo, mivyakula yote hiyo mhhh!

    ReplyDelete
  11. Kwa mtandao huu mzee yusuph lazima arudi kuoa. Shurti kwa kufutwa baada ya kunawa, eti na mdomoni?

    ReplyDelete
  12. Mzee Yusuf asije akahamia, jamani na kufutwa mdomo khaa!

    ReplyDelete
  13. Mzee Yusuf akihamia Marekani inakuwa poa zaidi ,si ndio mtaji wenyewe kwa sisi Watanzania atatutangaza zaidi, yeye ATAPATA LADHA MPYA HUKO ni vile atawalambisha hadi Wazungu!

    ReplyDelete
  14. Itakua shwari kabisa Mzee Yusuf atakuwa amewapata wapya wabichiii wa kuwalambisha hao Wamarekani tena itafaa sana Wamarekani Weupe!

    ReplyDelete
  15. Ebo!,,, mwacheni Mzee Yusuf naye ajinafasi Marekani!

    Ninyi hamuoni nae apate nafasi ya kula maisha kwa raha zake huku kama hivyo akizungukwa na mauwa, tena ingefaa hadi Wazungu wa huko USA, kwani nini?, anayo ya nafasi ya kupata wake zaidi sio mke!

    Sasa ninyi mlitaka abaki Bongo endelee kusubiri hela ya mlangoni na kutunzwa Jukwaani DDC-Kariakoo na TRAVELTINE-Magomeni?

    Acheni hizo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...