Meneja wa Bia ya Kilimanjaro,George Kavishe akizungumwa wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja kwa wanamuziki walioingia kwenye kinyang'anyiro cha Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2012 inayofanyika kwenye ukumbi wa JB Belmont,Benjamini Mkapa Tower,jijini Dar es Salaam.
 Mratibu wa Tuzo za BASATA,Angelo Luhala akifafanua jambo kwa wanamuziki walioingia kwenye kinyang'anyiro cha Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2012 wakati wa semina ya siku moja inayofanyika kwenye ukumbi wa JB Belmont,Benjamini Mkapa Tower,jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Kamati Elekezi ya Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards,Innocent Nganyagwa a.k.a Ras Inno akitoa maelekezo ya Tuzo hizo kwa wanamuziki walioingia kwenye kinyang'anyiro cha tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2012 wakati wa semina ya siku moja inayofanyika kwenye ukumbi wa JB Belmont,Benjamini Mkapa Tower,jijini Dar es Salaam.
 Muendeshaji wa Semina hiyo,Taji Liundi awajibika mchana huu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. huyu George Kavishe ana undugu na Kobe Bryant?

    ReplyDelete
  2. Hizi sunglasses huwa zinavaliwa mpaka ndani ya ukumbi wa mkutano, au mimi ndiyo mshamba na out of date?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...