Mazishi ya Marehemu Amani Mroki Majengo (66) aliyefariki mapema wiki hii katika Hospitali ya KCMC mjini Moshi yanataraji kufanyika kesho (jumamosi) kijijini kwake Ugweno Msangani, wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.

Amani Mroki alizaliwa Msangeni ugweno mwaka 1946 na kufariki 2012 anataraji kuzika jirani na kaburi la babayake Majengo T. Nathan.

Nyote mnakaribishwa katika tafrija hii ya kumhifadhi ndugu yetu, jamaa yetu, baba yetu, kaka yetu, katika nyumba yake hadi pale atakapokuja kunyakuliwa arudipo Bwana Yesu.
Taarifa zaidi:
Loyd Atenaka: 078434482
Zakaria Ernest 0754382583

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Mungu akupumzishe peponi tulikupenda sana ila kazi ya Mungu haina makosa

    ReplyDelete
  2. Mungu akulaze mahali pema mzee...KARIBUNI KATIKA TAFRIJA....DU USOMI UKIZIDI BWANA!!

    BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...