Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiwaaga kwa  kuwapungia wananchi wa Mji Mdogo wa Maganzo baada ya kuwahutubia  akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 23, 2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama joko banifu kwenye jiko la shule ya sekondari ya Kishapu akiwa katika ziara ya mkoa wa Februari 23, 2012
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akiwaaga kwa  kuwapungia wananchi wa Mji Mdogo wa Maganzo baada ya kuwahutubia  akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 23, 2012.
 Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Kishapu wakicheza ngoma wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipofungua jengo la Halmashauri  ya Wilaya  ya Kishapu akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari  23,  2012
Askari wa Jeshi la Jadi yaani Sungusungu wa mji  mdogo wa Maganzo wakicheza ngoma yao wakati Waziri Mkuu Mizengo  Pinda alipohutubia mkutano wa hadhara katika  mji huo mdogo akiwa katika ziara ya mkoa wa Shinyanga Februari 23,2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Huu utamaduni safi sana. Nguo za taifa zitokana na rangi hizo za kitamaduni sio rangi ya bendera.

    ReplyDelete
  2. Naona mtoto wa mkulima umevishwa hirizi nyeupe..sijui kazi yake ni nini hiyo sasa..isijekuwa ina vitu vya ndugu zetu wanaochinjwa huko kulikotokea maandamano juzi

    ReplyDelete
  3. haya BongoFlava tumieni creativity ku-incorporate hizi dancing style katika video zenu. Sio kila siku kucopy and kupaste dancing style za kimarekani, kisauzi, kizaire.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...