Kocha wa timu ya Zamalek ya Misri, Hassan Shehata (kushoto) akiwapa wachezaji wake mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo jioni.Timu hizo kesho zitaumana kwenye Uwanja wa Taifa katika mechi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambako zitarudiana baada ya wiki mbili huko Cairo Misri.Picha na Francis Dande.JPG)
Home
Unlabelled
Zamalek wajifua kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar tayari kuumana na Yanga hapo kesho
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kesho yanga lazima wakalie hawana nyimbo
ReplyDeletemimi nina wasi wasi na aliyepost hizi picha kuwa ni mmisri. nawashauri yanga wasiogope majina wala mapost kama haya, dk ni 90 zile zile, wachezaji ni 11 wale wale, uwanja ni mmoja, lakini yanga wanawazidi hawa kitu kimoja, mashabiki walio wengi ni wetu.
ReplyDeletejikamateni kiume na mtupe raha watanzania kwa kuwafunga hao imalaseko walau kagoli kamoja.
shabiki wa simba-mzalendo
umenena hafu baada ya hapo stoey nyiiingi za kipuuzi!
ReplyDeleteHuyo mwenye rasi atakuwa anatoka Afrika ya Magharibi nadhani.Mara nyingi hawa waarabu wanachukua washambuliaji kutoka nje.Kila la kheri Yanga
ReplyDeleteDavid V
kila la heri yanga tunawatakia, simba wekeni upinzani wa jadi pembeni kumbukeni ni Taifa moja.. kumbukeni kushangilia kwetu ndipo kutawapa motisha hawa vijana wa Jangwani.....
ReplyDeleteMdau Simba
Wanafungika hao lakini kwa maandalizi ya uhakika na siyo kwa ushirikina.
ReplyDeleteDavid V