Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mwandishi wa Nipashe, marehemu Samson Mbega wakati wa ibada iliyofanyika kwenye kanisa la KKKT usharika wa Temeke jijini Dar es Salaam leo, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwa mazishi Kisarawe mkoa wa Pwani. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii |
Home
Unlabelled
buriani mpiganaji samson mbega
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...