Baadhi ya waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa mwandishi wa Nipashe, marehemu Samson Mbega wakati wa ibada iliyofanyika kwenye kanisa la KKKT usharika wa Temeke jijini Dar es Salaam leo, kabla ya mwili wake kusafirishwa kwa mazishi Kisarawe mkoa wa Pwani. Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...