Habari Ankal Michuzi na Wanalibeneke woote,
Ni Tumaini langu kuwa mu Wazima,samahani sana kutumia Neno hili lakini Nadhani Mnachokifanya ni UKATILI,USALITI na Kuwapiga Mateke Watanzania Ambao Kodi zao ndio zimekupeni TAALUMA hiyo ambayo mnatumia Sasa Kwa MAKSUDI kuwaua Watanzania.
Katika Majadiliano yoyote Huwezi Kuingia na Kutaka YAKO TU ndio Yachukuliwe Kama ni hivyo Hakuna HAJA YA MAJADILIANO,ukiingia na RIGIDITY kuwa Yangu yote Yatimizwe huna haja ya kujadiliana basi na Huna NIA YA SULUHU,ukikubali Majadiliano Lazima ukubali kuwa FLEXIBLE Ukubali WIN-win Situation ,You win a little and Loose a little,hiyo ndio Formula ya kufikia Maafikiano ktk Majadiliano yoyote.
Hivi tukijenga Precedent ya Watu kutumia Umuhimu wao KUBLACKMAIL serikali Nchi Hii Itakwenda wapi?? Wataalam wanaojua Mfano kuendesha Mitambo ya Umeme,Maji Wote wakiamua izimwe ili Matakwa yao yatimizwe??
Ninyi hizo Mashine Mtazitumia??,Wanajeshi wanaolinda Mipaka yetu Maporini Mvua,Radi Zao?? Polisi?? Nk itakuwaje? Sisi ni kama Mwili wa Binadamu kila Kada kwa Nafasi yake inao Umuhimu wake, ni Majukumu Yanapishana tu,Kuwa Daktari Anaokoa Maisha ya Watu Kitabibu,Lakini Polisi Anaokoa Maisha ya Madaktari kwa Kupambana na Majambazi nk.
Hili suala la "Kutukuza" Taaluma Fulani Nadhani ndio limepelekea Haya Yote. Sijaribu Kudharau Taaluma Yenu,inao Umuhimu wake kwa Nafasi yake Lakini hata Zingine zinao Umuhimu bila Walimu wa Shule ya Msingi Msingalikuwa hapa ,Wazungu husema "From Little Acorns a Oak Grows".
Mwalimu Nyerere aliwahi Zungumza "Wasomi ktk Nchi Maskini ni sawa na Wanakijiji wamejifunga,ili ukasome uje kuwatumikia,sasa ukishahitimu Elimu ile Unawakimbia kwenda Tafuta Maslahi Mazuri zaidi,Huu ni USALITI".
Hali duni ya Mishahara,Sekta ya Afya haitokani na Udhaifu wa kiutendaji wa hawa Mawaziri, bali uduni wa Kifedha wa Wizara na Serikali ikilinganishwa na Mahitaji ht Ukimuweka Ulimboka,Mkopi hamtafanya Miujiza, ktk Dunia ya tatu kote Sekta ya Afya ni Duni si kwetu tu,hii ni kuongopea Wananchi kwa Sababu mnazozijua ninyi.
Waziri Nkya,Waziri Mkuu walijaribu kuwaengage wakati wa Mgomo huo,mkawakwepa si mara moja Mama Nkya tulimuona, sote Tuliwaona. Sio serikali inayosababisha Watu wafe ni Ninyi ambao Mnaacha watu Wanakata Roho wakati uwezo na vifaa vya Kuwasaidia mnavyo na mmekuwa Mkivitumia Miaka yote leo mnasema hakuna jp ndio ni duni.
Hili Sisi Tutasahau Mwenyezi Mungu kamwe hatolisahau,Kutumia Uchungu wa Vifo vya Watanzania wenzenu Kama FIMBO YA KUILAZIMISHA SERIKALI KUTIMIZA MATAKWA YENU,kwenu ni Bora Binadamu afe kuliko Kukosa Maslahi,Mtizamo wa Ajabu sana kwa TRAINED DOCTOR. Mimi si Masihi naweza kuwa Wrong lakini hata Cardinal Pengo juzi alizungumzia Kuwa na "ROHO YA KIMUNGU" madaktari wale walioendelea kuhudumia Binadamu wenzao wakati wa Mgomo.
Namala najua Hutonipenda kwa Haya lakini Ukweli kama niuonavyo Lazima usemwe,Mnachofanya ni UKATILI USIOMITHILIKA Historia itawahukumu. Leo Mponda na Nkya Wajiuzulu,Kesho Wananchi Wakiandamana mfano Mkopi anyang'anywe Leseni ya Udaktari ana Kibri,Dharau na Katili? Serikali wakunyang'anye tu?
1.WE MBONA HUKUYAANDIKA KAMA HAYA WABUNGE WALIPOKUWA WAKIDAI POSHO IONGEZWE?
ReplyDelete2.USIWE MTUMWA WA AKILI NA KUBURUZWA KAMA TANESCO WANAVYOTUBURUZA KWAKUWA HAKUNA WA KUINUKA NA KUWAONYESHA KUWA WAYAFANYAYO SI MEMA NA PIA NI KODI YA MWANANCHI.
3.NI MPAKA LINI UTAENDELEA KUNYWA MAJI YA BENDERA YA TAIFA BILA KUONA MAOVU YANAYOFANYWA NA SERIKALI YETU?
4.KUGOMA KWAO SIO KWAMBA WANATAKA KUWAUA AU KUWAUMIZA WANANCHI BALI NI KUBORESHA UJINGA UNAOFANYWA NA WACHACHE SERIKALINI.
5.USHANGAI MAFISADI WALIOKULA MABILIONI YA SHILINGI NA BADO WANAENDELEA KUWA VIONGOZI WA NCHI NA WENGINE HATA KUJITOA MUHANGA KTK KINYANG'ANYIRO CHA URAISI 2015 WAPO?
6.TUSIWE MAFALA KIASI HICHO NA KUYAFANYA WANAYOYATAKA YAKAMILIKE KULIKO YANAYOTAKWA NA WAHUSIKA YASIKAMILIKE.
KAA UTAFAKARI HAYA MACHACHE NA MENGI UNAYOYAJUA AMBAYO UMEYAFICHA KWA UJINGA WAKO.
MADAKRARI WAENDELEZE MGOMO NA TUNAWAOMBEA MUNGU WAGONJWA WAPATE NAFUU.
Unacheza sana, hili ni swala la fighting for what you think is right. Tatizo la watanzania tumekuwa tumeminywa na kutiwa woga kwa muda mrefu to the point kuwa it almost seems wrong for someone to strike because of fighting for your rights. Unakumbuka kauli ya Pinda madaktari waliyogoma mara ya kwanza? Aliwaamuru madaktari warudi kazini mara moja la sivyo wataachishwa kazi - what?... na kuna historia ya madaktari kuachishwa kazi kwa sababu hizi... sasa hivi Pinda anatumia lugha inayofaa kidogo - anawasihi madaktari warudi kazini. We are already seeing positive changes in government attitude towards its people. it is about time tanzania had a government that is accountable, works for the people and the one that stands for the people. people shouldnt have to fear their own government, only respect it - mutual respect...
ReplyDeleteWe kama ni kibaraka umetumwa basi nenda huko walokutuma,mbona kila sector watu wanateseka husemi ukipita barabarani dhuluma na rushwa zimetawala kwa askari ambao kodi zetu ndo zimewasomesha,hao madaktari kama wamekosea basi Waziri mkuu asingesema alikuwa na uwezo wa kuwaondoa wale alo waondoa na hawa wengine anamsubiri bwana mkubwa kama alivyoita nashangaa juzi anasema hatuwezi waondoa ziangalie kauli hizi madaktari hata kama wamesomeshwa na kodi zetu hakuwafanyi kuishi maisha wanayoishi wakati wengine wanatumia misafara ya magari ishirini na magari ya gharama,mikataba mibovu ya madini,kila sehemu sasa hvi hakufai na wengine watakuja tuu hakuna kukwepa majukumu wafanyakazi wote maisha duni cha msingi ni kuwatatulia matatizo yao anao ua watanzania si madaktari bali mfumo mzima wa serikali.
ReplyDeleteMadaktari wanatka kuongaza nchi sasa, inabidi wafungue chama cha sias ili nao waingie kwenye siasa, nadhani wameshindwa kutumikia taaluma yao. Kitu kinachoniuumiza ni kwammba wametumia kodi ya wananchi,tena ni watu waliosomeshwa kwa fedha nyingi za wananchi hawa hawa walalaoi, then wanakuja kuogoma kwa kuacha watu wafe! Inasikitisha! Tena inaumiza maana wanakwenda ofcn kama kawaida ila hawawahudumii wagonjwa. Roho mbaya na ukatili usio na kifani!
ReplyDeleteaah hili swala la "kutukuza" taaluma fulani....ndio unaona tatizo...
ReplyDeleteNchi hii tatizo ni kubwa jamani....taaluma inayotukuzwa TANZANIA NI SIASA.. na tumefanya siasa kama sijui kitu gani...wabunge wanalipwa sana na kupata mafao mengi na kuendesha nchi tunafanya kienyeji...tujifunze kufanya mambo kama nchi zilizoendelea Japan , South Korea , Germany..n.k...
Kwa staili yetu ya "kutukuza" taalum kama ya ufisadi, rushwa, ...10%..sasa ni 30% n.k...tusitegemee maendeleo...
We kama ni kibaraka umetumwa basi nenda huko walokutuma,mbona kila sector watu wanateseka husemi ukipita barabarani dhuluma na rushwa zimetawala kwa askari ambao kodi zetu ndo zimewasomesha,hao madaktari kama wamekosea basi Waziri mkuu asingesema alikuwa na uwezo wa kuwaondoa wale alo waondoa na hawa wengine anamsubiri bwana mkubwa kama alivyoita nashangaa juzi anasema hatuwezi waondoa ziangalie kauli hizi madaktari hata kama wamesomeshwa na kodi zetu hakuwafanyi kuishi maisha wanayoishi wakati wengine wanatumia misafara ya magari ishirini na magari ya gharama,mikataba mibovu ya madini,kila sehemu sasa hvi hakufai na wengine watakuja tuu hakuna kukwepa majukumu wafanyakazi wote maisha duni cha msingi ni kuwatatulia matatizo yao anao ua watanzania si madaktari bali mfumo mzima wa serikali.
ReplyDeleteNImekuelewa mwana libeneke ila kwanini hawa mawaziri wanashutumiwa wasitumie demokrasi wakajiuluzu mwenyewe??? ili kuokowa maisha ya watanzania wengine?? mbona lowassa alijiuzulu kwa maslahi ya taifa?? mimi kwa upande wangu naona hawa mawaziri ndiyo chanzo kwanini wasiamue wao mwenyewe kujiuzulu kama unaowatumikia hawakutaki??? kuna nini hadi wang'ang'anie?? hebu Nkya na mwenzio kuewe wazalendo ondokeni mwenyewe msimuonee Jakaya jamani hata ndani ya nyumba ukiona mwenzio(mke) au Mume hakutaki siunaondoka tu. hawa watu ndiyo sababu ya watu kufa wasiwe mabedui
ReplyDeleteumeongelea upande mmoja tu wa madaktari! Hoja yako haina mashiko. jaribu kuwa mzalendo kwa kuongelea pia na upande wa serikali. umekurupuka sana ndugu. Ungewaza pia kwamba watawala wanatakiwa kuwatumikia wananchi na wao pia wanapaswa kufuata matakwa ya wananchi. Ndio maana hata hujaandika jina lako maana kimsingi unaubongo ila hujautumia katika hili.
ReplyDeleteumeongelea upande mmoja tu wa madaktari! Hoja yako haina mashiko. jaribu kuwa mzalendo kwa kuongelea pia na upande wa serikali. umekurupuka sana ndugu. Ungewaza pia kwamba watawala wanatakiwa kuwatumikia wananchi na wao pia wanapaswa kufuata matakwa ya wananchi. Ndio maana hata hujaandika jina lako maana kimsingi unaubongo ila hujautumia katika hili.
ReplyDeleteNakubaliana na wewe asilimia 100. Leo kila mwenye taaluma akiitumia taaluma yake kushinikiza jambo hatutafika?
ReplyDeleteMadaktari wajue kuwa leo watagoma lakini wanaowaweka hatarini ni ndugu zao, bibi,babu, shangazi, mjomba , dada , mama , kaka etc je hao wakiugua watawatibu wapi? najua wanajiamini kwakuwa wanajua ndugu zao wakiumwa malaria watawapa dawa hata kuwatundikia dripu nyumbani.
lakini wajiulize mama zao, kaka zao, wadogo zao wakapata ajali wakati wanaenda kwenye shughuli zao watapelekwa hospitali gani?
wewe Namala ukipata ajali ya gari leo utajitibu nyumbani? au madaktari wenzako watasitisha mgomo ili wakutibu?
Leo mnatumia maisha yetu kudai maslahi yenu kiubabe, kesho polisi watatumia maisha yenu kudai maslahi yao.
Mmekuwa madaktari kwa sababu kuna watu wenye taaluma zao wameteseka kuhakikisha umafika hapo. Hao hawakutumia taaluma zao kufuta ndoto zetu.
Mkumbuke kuwa Waziri na Naibu sio watendaji katika wizara, hao wanadeal na sera tu. Mtendaji mkuu ni Katibu mkuu na watendaji wa chini mkiwemo nyinyi.
Leo tutakufa kwa sababu mnataka maslahi yenu, lakini na nyinyi mkumbuke kesho mtakufa kwa sababu wengine wanadai maslahi yao.
kwa kweli ulichokisema ndugu yangu ni cha kweli kabisa, wanachofanya madaktari ni kuiblack mail serikari kwa kuweka rehani maisha ya watanzania, kama ulivyosema katika majadiliano yeyote lazima kuwe na utayari wa kupoteza baadhi ya madai na kukubali ushindi katika madai ya msingi, kama alivyosema mhe pinda hatua zinachukuliwa na majadiliano yanaendelea na utekelezaji umeshaanza kuoneka, kuhusu uongozi wa wizara ya afya mmeshapata ushindi asilimia 50 kwa kuondolewa katibu mkuu na mganga mkuu, sasa mnadai ushindi wa asilimia 100 jambo ambalo haliwezekani, hebu tujiulize kutoondolewa kwa waziri na naibu wake kunakwamisha nini katika utekelezaji uboreshaji wa maslahi yenu, kama alivyotahadharisha waziri mkuu isije kuwa kuna ajenda nyingine ya siri ambayo haijawekwa wazi, dunia yote sijawahi kuona chama cha wafanyakazi eti kikidai kuvunjwa kwa uongozi wa taasisi wanayofanyia kazi ili majadiliano yaanze, watajadiliana na yeyote ili mradi maslahi yao yaboreshe, SERIKALI MSIKUBALI KUTINGISHWA, MKITIKISIKA KATIKA HILI MTAJENGA MFANO MBAYA AMBAO SASA KILA WATU WATATUMIA UNYETI WA HUDUMA YAO KUDAI MASLAHI BORA,HII NI KWA SABABU SEKTA ZOTE MASLAHI YA WATUMISHI NI DUNI UKIZINGATIA UWEZO MDOGO WA SERIKALI NA MAJUKUMU MENGI ILIYONAYO
ReplyDeleteusemayo ni ya ukweli mtupu ila chanzo ni nini hasa? je sio utofauti kati wenye navyo na Makapuku.
ReplyDeletehebu fikiri mshahara na posho za daktari na mbunge vipi kama zingekua sawa.
Kiukweli madaktari wanahaki ya kugoma.Hao viongozi huoni ndo wanaoua watu. Wanajilimbikizia kila kitu wao mishahara minono yote yao.Angalia wafanyakazi wa TRA vipi mishahara yao? je wamewahi kugoma? Mi naona madactari wanahaki ya kugoma. Sio wao tu Maaskari,Waalimu,na wafanyakazi wote wa serikari.
Nchi hii inahitaji mabadiliko kama sivyo Machafuko yako njiani Madaktari wakifanikisha mi nawaasa wafanyakazi wote wa serikari wagome mpaka kuwe na mishahara yenye uwiano kwa wote.
Tufike mahari tuone Umuhimu wa kila mtu na kazi yake sio mimi Mbunge napata pesa nyingi saana halafu Madaktari, waalimu na wafanyakazi wa sekta nyingine wahoji serikari isijali wakigoma eti wauaji? no logic.
Nawaasa wafanyakazi wote mgome ili haki itendeke.
Asante sana ndugu yetu, mimi sio mwasiasa na wala siifagilii serikali hata kidogo, ila nawaomba Madaktari, Nkya na Mponda wanuwezo wa kenda kutibiwa popote and its only two people, mtakavyogoma kwa ajili ya watu wawili tu, wakati wanaoumia ni watu zaidi ya mamilioni nadhani tutakuwa hatuna busara, tena watu wenyewe wanaoumia ni wale ambao 200 kupata kwa siku ni matatatizo
ReplyDeleteSisi tunajua mna haki na madai yenu, na mwenye haki atahesabiwa kuwa na haki tu, hata bila ya kugoma, Tunawaomba rudini kazini, Taaluma yenu ni ya muhimu sana, japokuwa mnafanya kazi katika mazingira magumu sana
Na kwa ndugu wanasiasa, hebu chukueni hili kama lessorn learned, hivi jamani Haki ya mtu mpaka wagome? hii si sawa, kama wanasiasa mngekwenda mkafanya part time MUHIMBILI kwa dakika 30 tu, nadhani wote mnge resign tena si kwa kushurutishwa, Wapeni haki yao jamani
Na mimi nafikiri Mponda na Nkya si Tatizo, wizara ya Afya nzima ni Uozo mputu, kuna watu Wizarani utadhani ni Miungu watu, wanajibu watu wanavyotaka wao, na Huku kwenye CHMT na RHMT ndio balaa, yaani huku kuna chukua chako mapema uishie. wala msigome kwa ajili ya Mponda na Nkya, hata watakaochaguliwa Mtagoma pia kwa kuwa sorce ya tatizo bado haitatatuliwa, kaeni nao muwaambie matatizo yao ili wajirekebishe
Kwa hili mnalofanya madaktari ni lazima mtambue sisi kama jamii ya watanzania tunawatizama kama wauaji wakubwa kwa sababu mmekosa busara na hekima katika kuliendea hili jambo.Mwanzoni tulikuwa wote,ila mara hii naomba mtambue kwa dhati kabisa hoja yenu haionekani kuwa ya mashiko ukilinganisha na umati wa watanzania mnaowaua kwa makusudi.Hata kama nyie ni muhimu kwnye jamii,ni lazima kelewa tunaishi kwa kutegemeana.Chonde chonde tafakarini upya uamzi wenu.Vinginevyo itafikia mahali ambapo tutai-mobilize jamii ya watz kumchukia daktari na kumdhuru popote tunapokutana naye,ndipo mtatambua kwa jinsi gani mnatuudhi.Wekeni siasa pembeni,onyesheni uzalendo,okoeni maisha ya watz.
ReplyDeleteHao madaktari ni kama magaidi wa kisomali tu. Wezi wa fadhila. Wamesahau uchaguzi ulishapita. Wasijilinganishe na wabunge sababu ubunge ni kazi ya muda na posho wanapewa wakiwa bungeni tu, hata madaktari mkiwa ktk 'outreach' na kazi za nje mnalipwa posho, sembuse mkiwa mkiwa kituo cha kazi pia mnalipwa. Kujilinganisha na wabunge kwanza si sahihi na nikujidhalilisha.
ReplyDeletehakuna kitu ngoja wagome hata uingereza na wapi uhuru wa kweli ulipatikana baada ya migomo na maandamano, watanzania kuwa mbumbu isiwe ndio mlango wa kunyanyaswa na serikali, siasa inakuwa kubwa kuliko afya za watu, hivi maisha ya watanzania hayana thamani ukilinganisha uwaziri wa mponda? acheni dhihaka
ReplyDeleteTutumie saikolojia kidogo hapa. Mtu yeyote mwenye familia anajua kuwa ktk watoto wake kuna ambao huwa wana malengo makubwa (more ambitious) kuliko wenzao. Ukiwa na watoto 5, kati ya hao 1 akataka kuwa daktari basi huyo mmoja ana malengo makubwa kwa asili yake. Na hata utendaji wake wa kazi utakuwa tofauti na wa ndugu zake hapo nyumbani. Madaktari mpaka wakaamua kwenda kusoma udaktari, pamoja na ugumu wa masomo yao na muda mrefu wa masomo, wako naturally over ambitious. Kwa maaana hiyo, kidogo ambacho kinamtosha mtu mwingine kinaweza kisimridhishe daktari. Nature zetu tofauti ndizo zimetufanya tusome mambo tofauti. Kama wewe si daktari unaweza usijue kwa nini daktari hatosheki na anachokipata. Madaktari wamezaliwa na nature ya kutaka kufanikiwa. Na hiyo nature ndio inaonekana ktk saga hili linaloendelea. Ktk medical school hakuna maksi za win-win (50%). Ukipata 50% umefeli.
ReplyDeleteninauakika huyu mtu aishi tanzania ndio maaana anaandika mambo kama haya,maumivu,tabu na mateso ya hospitali zetu tunazijua sisi walala hoi,huwezi kupata huduma bora ya afya kwa dokta mwenye mawazo ya mwanae kafukuzwa ada huku vifaa duni mahospitalini vingine vibovu tangu enzi ya mwinyi hadi leo havina service wala maintanance,wazazi na vichanga wamlala chini,wagonjwa wanalala mchikaki kama kwenye bodaboda .....serikali ndio inaua watu wake.SAMAHANI KAMA NIMEMUUZI MTU
ReplyDeleteKumbuka kuwa suala la mawaziri kuwajibishwa ni ahadi aliyoitoa waziri mkuu wakati wa ule mgomo wa kwanza,alisema kuwa wao wako juu ya uwezo wake ndo maana hakuweza kuwafukuza.
ReplyDeleteso madai madaktari yana mantiki
Madaktari wanataka Waziri na naibu watoke ili mazungumzo yaendelee kwasababu hao hao ndio waliosababisha mgomo wa kwanza. kwa maana hiyo huwezi kuzungumza wakati anayewaongoza yuko against na nyie. Msiwaonee madaktari, huyo Mponda na Nkya wangekuwa hawana ukatili na watanzania (kama unavyosema madaktari ni wakatili)wangeamua kujiuzulu ili mgomo wa madaktari usiendelee. Vile vile serikali inashindwa nini kuwaondoa watu wawili kwenye uongozi ili watanzania wasife. HII SERIKALI NAYO NI YA KIBABE HAIJALI WANANCHI WAKE. BORA WANANCHI MFE HAO WAWILI WAZIRI NA NAIBU WAKE WAENDELEE KUITWA BWANA MKUBWA. HII SERIKALI IPINDULIWE SASA
ReplyDeleteDaktari kama anaona mshahara wake mdogo, basi afungue hospitali yake atibu wagonjwa asitesa watu wanaokwenda kwenye hospitali za serikali. Kazi ya Udaktari na Ualimu hazimfai mtu mwenye tamaa ya pesa. Na hao wadau wanaosema wabunge wanajilipa pesa nyingi ni kuwa hao wabunge mmewachaguwa wenyewe kama unamuona mbuge wako hafanyakazi sawa na ni mroho wa pesa basi chama chake kina haki ya kumuondoa ubunge, kwa hiyo tumia demokrasia yako kiombe chama chake kimuondoe ubunge.
ReplyDeleteThere is always sacrifices kwa ajili ya mabadiliko be it suffering of the people, kmf.sasa hivi ni wagonjwa lakini kuna mtu/watu wataathirika tu haikimbiliki.
ReplyDeleteKwa mtizamo wangu huyu bwana aloandika huu ujumbe yupo sahihi japo sikubaliani nae kua nchi ni masikini ndo maana serkali haia uwezo wa kulipa mishahara mizuri, mi nadhani hapa tatizo kubwa ni ukosefu wa uadilifu kwa serkali ya CCM ufisadi umezidi nchi ingekua na viongozi waadilifu na makni tusingekua hapa tulipo..Ila nakubaliana nae kua madaktari hawajatumia busara katika hili, katika sekta muhimu kama ya afya na nadhani mgomo ungalikua ni last resort, ni kweli huwezi ingia ktk majadiliano ukilazimisha yakwako tu ndo yafanyiwe kazi, hapo hakuna majadiliano huwezi kudictate terms then unataka majadiliano..Taaluma zote ni muhimu hakuna haja ya kutukuza taaluma falni ni kweli madai yenu ni ya msingi but tumieni busara mnaumiza watu ambao hawana hatia..hizi roho zinazopotea kwa kukosa huduma zenu siku moja mbele za Mungu mtadaiwa ninyi pamoja na serkali kumbukeni Mungu yupo pia na yeye ndo muhukumu wa haki, so be careful, I believe Yu will be held responsible mbele za Mungu kwa roho hizi zinazopotea..Nanyi serikali tumieno busara, mponda na Nkya mna sababu gani ya kung'ang'ania uwaziri wakati watz wanakufa? kwanini msijiuzulu kwa heshima yenu? na kwa masilahi ya wananchi? mnapata faida gani wakati watu mnaowaongoza wanakufa? think about that..nawakumbusha kwa mara ingine kua Mungu yupo, na hukumu ipo pia..wewe unaesema madaktari waendelee kugoma, fikiria unapata ajali leo na unavunjika unaenda pale moi pamefungwa utafanyaje? utajutia maneno yako..
ReplyDeleteNasema hivi, wananchi tuwaambie madaktari akifa mtu watamla. au tuwape pesa lakini marehemu wetu wawafufufue. HWA NI KAMA WACHAWI WANAKULOGA HALAFU NDIO WANAOLIA KWA SAUTI MSIBANI.
ReplyDeleteHivi wakiondolewa hao viongozi matatizo ya sekta ya afya yatakua yamekwisha nchini? Ukweli wa mambo hapa ni siasa na ubinafsi,choyo na ubabe usio na tija unaonyeshwa na ndugu zetu hawa. Mbona nao wana kasoro nyingi ikiwemo kwenda kinyume na viapo vyao,uzembe,rushwa,nk lakini tumejaribu bila kukoma kuwarekebisha na si vinginevyo. Sijui hata nafsi zao kama zina amani kwa kulinganisha madai yao na roho za watu wasio kuwa na hatia. Endeleeni na na choyo yenu tu ila ipo siku haki itatendeka.
ReplyDeleteKatika kutafuta suluhu ya mgomo uliopita, kipengele kinachotaka mawaziri wawajibishwe kilikuwapo na pande zote zikaridhia, namaanisha madaktari kwa upande mmoja na serikali kwa upande mwngine. Katika mgomo ule, PM Pinda alichemsha lakini alijua kujikosoa, sasa why kina Nkya na Mponda walishindwa kuongea au hata kuombana radhi na mdaktari ili kipengele cha wao kujiudhulu kiondolewe.
ReplyDeleteKwani itaigharimu nchi kiasi gani cha fedha, au ita hatarisha usalama wa nchi kiasi gani endapo serikali itawaweka benchi Nkya na Mponda au wakijiweka kando wenyewe? Angalia maazimio ya bunge, Luhanjo alitakiwa achukuliwe hatua nawenzie, hakuna kilichofanywa akalipwa mafao yake biashara ikaisha.
Madaktari wanachokifanya ni sawa kabisa, wamsomeswa na kodi zetu na pamoja na kodi za wazazi wao, sio tu watutibie sisi ila na taaluma yao itumike kusimamia haki za wanyonge ikiwapo wao kugoma au hata kuandamana. Serikali sikivu na ambayo viongozi wake wangekuwa wanatibiwa humu nchini, wangemalizana nao mapema kuepusha hii migomo.
Kibanga Msese
Naunga mkono kwa asilimia 100 hoja ya Mwanalibeneke. Mwanzoni niliona madaktari wana hoja katika mgomo wao lakini kadri siku zinavyokwenda naona kuna msukumo wa ziada katika sakata hili.
ReplyDeleteNinahisi kuna mkono uliofichwa katika mgomo huu. Tatizo ni kwamba vyombo vyetu vya habari vinaliangalia suala hili juujuu bila kuingia ndani kwa lengo la kufichua vinara wa mgomo huu wanamtumikia nani au wana ajenda gani hasa.
Leo tunaambiwa madaktari wanataka waziri Dk Hadji Mponda na naibu wake Dk Lucy Nkya aidha wajiuzulu au wafukuzwe kazi. Sawa, lakini kuna kitu gani kinatuzuia tusiamini kwamba baada ya Mponda na Nkya kung'oka watataka Waziri Mkuu Mizengo Pinda naye ajiuzulu au afukuzwe? Na sitashangaa wakienda mbali zaidi ya hapo.
MADAKTARI NADHANI HAMJUI NAFASI MLIONAYO KITAALUMA, NA HIVYO MNAJIDHALILISHA KITAALUMA DAKTARI ANAPASWA AMUHUDUMIE MGONJWA KWA UWEZO WAKE WOTE NA KATIKA MAZINGIRA YOYOTE YALE ILI AMPONYE. LEO HII MNAGOMA ILI WAGONJWA WAFE. HIVI KWELI MNAKIELEWA MNACHOFANYA ? JE KATI YENU KUNA ANAYEABUDU MUNGU ? JE HUKUMU YA ILI MBELE YA MUNGU ULIMBOKA UNALIFAHAMU ? UMEFIKILIA HILO ? HAYA MSIO AMINI MUNGU MNAJUA KUWA KUGOMA KWENU KAMA MADAKTARI MMEVUNJA SHERIA ? JE NI KWELI MADAKTARI WETU HAWAAMINI MUNGU ILA FEDHA NA MASLAHI BORA (SHETANI) NA NI WAHALIFU WAVUNJA SHERIA ? MNAOGOMA KUWATIBU NDIO WALIOTOA KODI ZAO NINYI MKASOMESHWA. LEO HII NDIO MTAKA WAFE, KUMBUKENI HUKUMU YENU IKO NA INAKUJA, KILA AINA YA NASAHA KUTOKA KWA WATU MBALIMBALI MMEPEWA KWAMBA MSIGOME LAKINI HAMSIKII KUMBUKENI ASIESIKIA LA MKUU.........INSHAALAH MUNGU ATAONYESHA HUKUMU YAKE
ReplyDeleteKudos kwa mtoa hoja , amekuwa na ujasiri wa kusemea upande wa pili badala ya kuangalia wale wachache wanaogopa kuwaambia ukweli madaktari.
ReplyDeleteNani kawaambia kwamba madaktari hao wote wamesomeshwa kwa pesa ya Serikali?
ReplyDeleteMimi binafsi ninasomea huo udaktari nje ya nchi kwa pesa ya mzazi wangu mlipa kodi, na kodi yake anayolipa inatumiwa kusomeshea watu wa tourism huku nje ya nchi, balozi alipobadilishwa alikuja kwa mikwara kwamba anahitaji madaktari na engineers tu, lakini sasa hivi kanywea, na alitushawishi tuandike barua kupitia kwake ili tupewe MIKOPO, lakini tumenyimwa hiyo mikopo, ukizingatia huo ni mkopo tu na sio kusomeshwa na serikali. na kila mwaka wanaleta watu wapya wa tourism na kozi nyingine!
Aibu kubwa kwa viongozi wetu
swali ni kuwa hivi hawa mawaziri wakijiuzuru kuna tatizo gani? mpaka sasa imeshadhihirika kwamba pande hizi mbili haziwezi kufanya kazi pamoja...two options are available
ReplyDelete1. fukuza madaktari wote ajiri wengine kwa kuwa mawaziri ni muhimu kuliko hao madaktari. ndio wasimamia sera hivo ni mhm wabaki wizarani
2. ondoa mawaziri madaktari wakose sababu wafanye kazi. wakishindwa jamii iwahukumu..
Guys, Let's support them for better future of this country, don't be afraid of death because with or without them many Tanzanians are still dying out there every second! Cheers
ReplyDeleteKimsingi wanachodai madaktari ni haki yao, lakini njia wanayotumia ndiyo wengi tusiyikubali. Hivi kila wanataaluma wakiamua kutumia taaluma yao kudai maslahi yao tena kwa nguvu na masharti makali kitatokea nini? Kuna vyama vya wafanyakazi vya kisekta vinafanya kazi gani? ndiyo majukumu yake kudaimaslahi ya wanachama wake tena kwa taratibu sahihi.
ReplyDeleteJamani tusijaribu hata siku moja kuweka uhai wa watu rehani kwa maslahi yetu. Wenzetu Madaktari waokoeni wagonjwa umma utawasimamia mpate haki zenu.
msitumiwe kuharibu utulivu wetu sizan kama kweli mna nia nzuri kama mazungumzo bado yanaendelea kwa nini mgome tena tena shida yenu sio kwamba malalamiko yenu hayashughulikiwi ila mnataka waziri ajiuzuru hv mie niwaulize mmepata wapi hiyo haki ya kutaka waziri na naibu wake ajiuzuru kwa sababu tu ya madaktali jaman wengi tunamhitaji msitusemee na watumishi wengine wa afya kisa nini tu wapo wataalamu wengi sio nyie tu
ReplyDeleteInawezekana mnapata shida ktk kutuhudumia watz wenzenu,lkn leo hii,kila secta ikiweka sharti la waziri kujiuzulu au kuondolewa mnadhani kutakuwa na heshima ktk hii nchi?? wekeni sharti lingine ndugu zetu na ktk hilo yawezekana hao mabosi wakaondolewa!
ReplyDeleteHivi mnaoandika for Government na kuwaona madaktari ni wauaji mmewahi kuugua na kwenda kutibiwa hadi kulazwa katika hospitali ya Serikali? Siamini. Nalazimika kufikiri kuwa hawa wote ni wasemaji wa Serikali ambao wana mbinu ya kujipenyeza kwenye blogs na vyombo vya havbari ili kupotosha mambo.
ReplyDeleteJamani, hawa madaktari wana hoja za msingi sana. Umewahi kushuhudia mgonjwa anakufia mikononi kwa sababu huna kifaa/dawa ambayo thamani yake haizidi Shs. 1,000/-? Madaktari wanafiwa na watu kwa sababu mahospitalini huduma zimezorota. Wodi hujengwa kwa mujibu wa uwezo wa kulaza wagonjwa, inakuwaje hali ambapo wodi ya kulaza watu ishirini ikalaza watu hamsini! Si badala ya kupona inakuwa ni kuondoka na maradhi mengine!?
JAmani tuache siasa. Madaktari wamesema maslahi yao binafsi yasubiri lakini huduma mahospitalini ziboreshwe. Je, mabilioni ya miaka 50 ya UHURU yangetumika kununua vitanda na madawa ingekuwaje? Ati tunashuhudia makomandoo wanavunja matofali kwa vichwa!?
Hata Serikali ikisema itatimiza sharti la kuboresha huduma hospitalini; lakini Mponda na Nkya hawafai na hawawezi kusimamia hilo kwani hakuna walichokiri kuhusu ukweli wa madai ya madaktari. Kwa kuwalazimisha madaktari kurusi hosiptali Serikali inachofanya ni KILLING SOFTLY kwa kiini macho cha kuwepo hospitali za umma wakati hazina vitendea kazi! TUACHE SIASA ... madaktari wanatutetea sisi tunaotegemea hizo hospitali.
Penye kudai haki machungu hutokea ili haki ipatikane. Kwa hili na unga mgomo wa madaktari. Serikali isiyo sikivu lazime tuwe na njia mbadala wakuiwajibisha. Wako wapim wezi wa EPA? wako wapi watuhumiwa wa riport ya Jairo? wako wapi wa tuhumiwa wa Richmond? wako wapi wanaoingia mikataba efiki? WAPO SERIKALINI wanadai wanatumikia umma. Imefika wakati wakuungana na madaktari kuiwajibisha SERKALI. Mbona nchi za Ulaya viongozi hujiuzulu pale wananchi wanapoandamana kwea kudai hakizao au matatizo ya kitaifa. Kikwete safisha serkari yako, anza na hawa,,,,,,,,,,,,
ReplyDeleteWewe bila ya shaka ni fisadi au mtoto wa fisadi. Si bure MADAKTARI OYE. THAT KIND OF STRIKE FITS MUCH BETTER IN A CORRUPT COUNTRY LIKE TZ.
ReplyDeleteMadaktari ni role model hasa kwa watu wengine kama walimu wa vyuo vikuu waliozubaa kama mitaro ya maji machafu TZ.
Kwa nini lawama iwe upande wa madaktari tu. Mie naona hawa mawaziri wasiotaka kujiuzulu ndio wanaotutesa sisi wananchi. Kwa nini wasiondoke tu 'kiroho safi' ili sisi wengine tupone.
ReplyDeleteHoja yako inalinda maslahi ya wachache, hoja yako inalinda maslahi ya Mawaziri. Pia unasema uongo! Unapotosha umma, acha kabisa... Madaktari walisema tangu awali kwamba viongozi wa ngazi za juu wizarani (Dr Mponda na Dr Nkya) wawajibishwe. Leo hii imepita mwezi na hamna kinachoendelea, je huu si ubabaishaji wa serikali? Madaktari wanataka hao vigogo waachie viti na wao watarudi kazini, huku madai yao yanayotegemea bajeti na tafiti yakitekelezwa. Nasikitika kwa kuwa mtoa mada 'amekurupuka', ameandika kama mtu asiyejua dai la msingi.
ReplyDeleteJE HAWA VIGOGO WA WIZARA WAMEZALIWA ILI WAITUMIKIE WIZARA MILELE? MBONA WATUMISHI WENGINE WANAFUKUZWA KAZI KIRAHISI, IWEJE WAO??? HERI AIBU KULIKO FEDHEHA, SERIKALI YA KIKWETE INAPATA FEDHEHA KUBWA SANA KWA KUOGOPA AIBU YA KUWAFUZA VIGOGO WA WIZARA YA AFYA. Demokrasia inasema "wengi wape". Je kati ya hawa vigogo wawili na madaktari +wananchi nani ni wengi? Hawa mawaziri ni mfano hai wa ukumbatiaji wa madaraka unaofanywa na viongozi wa nchi za Kiafrika hata kusababisha maafa kwa wananchi wao.
Tuangalie na upande mwingine. Daktari tunayemng'ang'aniza akatibu wagonjwa akitumia vifaa duni na bila hata kuwa na dawa za kutosha tunahabari kuwa anaua watu wengi zaidi kuliko akiwaacha angalau watafute sehemu nyingine yenye nafuu (private hospital au traditional/herbal healer). Tusiwe na maono mafupi tunapoliangalia suala hili. Hospitali za serikali hakuna vifaa vya kufaa na daktari mwenyewe anakuwa kwenye hatari ya kupata maambukizo ya magonjwa kutokana na kutokuwa na kinga yoyote. Mgomo wa daktari kama wanavyosema sio kwa maslahi yao binafsi pekee kama serikali inavyowajaza watu kwenye akili zao, bali ni kushinikiza huduma za afya katika hospitali za serikali ziboreshwe. Makubaliano yao na serikali ya awali yako wazi hakuna sababu ya serikali kuanza kurudi nyuma saa hizi na kutumia propaganda za kuwafanya madaktari waonekane ni watu wabaya.
ReplyDeleteNAWASHANGAA SANA WATU WANAOKAZIA SUALA LA MADAKTARI KUSOMESHWA NA KODI ZA WATANZANIA!!!
ReplyDelete> SOO?? WAFANYE KAZI BURE AU KWA MASLAHI YA KUTUPWA KULIPA KODI ZETU!! KWANI KWANI WAO HAWALIPI KODI?
> MADAKTARI NDIO PEKEE WANAOSOMESHWA NA KODI ZA WATANZANIA? NA HAO WANASIASA NINI KILIWASOMESHA KODI ZA WAKENYA? HUO NI UFINYU WA MFUMO WA ELIMU NA WA MAMBO KWA UJUMLA.
-UKIHAMIA UPANDE WA PILI WA DAI LAO LA SASA LA KUTAKA WAZIRI NA NAIBU WAKE WAWAJIBISHWE:
> KATIBU MKUU NA MGANGA MKUU WA SERIKALI WAMESIMAMISHWA KWA UZEMBE .... SWALI LA KUJIULIZA NI JE? WALIPOKUWA WANAFANYA MAAMUZI HAYO MAWAZIRI WAO WALIKUWA WAPI? KAMA WAO NI WA MAANA WALISHINDWA NINI KUZUIA MGOMO WA KWANZA MPAKA WAZIRI MKUU KUINGILIA??!
> KUSEMA SUALA HILI NI LA KISIASA KWANGU MIMI SIWEZI KUKATAA WALA KUKUBALI KWANI HATUWEZIJUA NANI AN MASLAHI NA MGOMO HUU, LAKINI KITU CHA MSINGI KIONEKANE KATIKA MADAI YAO...NI YA KWELI!!
> WAZIRI MKUU KASEMA MADAI YAO NI MAPYA ILHALI kATIKA TAARIFA YAKE YA MWISHO ALIKIRI KUTAMBUA MADAI HAYO, HUO SI UONGO?
Kweli udaktari ni kitu bora sana na nimuhimu mno kwa maisha ya watu,lakini madaktari wasiotumia busara yao katika kutumikia watu au katika utumishi si bora chochote.
ReplyDeleteSerikali kila mara inadaiwa na watumishi wa sekta mbalimbali kuongezewa mishahara au posho,lakini hadi leo hakuna waliopewa kulingana na matakwa yao.Si kwa kuwa serikali inkiburi bali ni ufinyu wa burget yake.
Hakuna serikali au mzazi anayetaka watoto wake waishi ovyo au vibaya.Tuanjikuna tunapopafika.
Kama udaktari si witu tena bali utajiri mwenye moyo huo asiende serikalini.Hata wanaotaka kuoa waliambiwa wasiende upadre halafu waanze kudai kuoa.
Hakuna sekta bora kuliko nyingine katika serikali,huo ni upotofu wa mawazo,na washabiki katika hilo ni pungwani.Wewe unataka utajiri unaenda kuajiriwa kwa maskini!
Migomo si njia nzuri ya kudai maslahi pahali popote duniani.Kuna nchi wanasitisha huduma kwa masaa tu kataika siku tena wanapanga siku za kugoma,na baadhi wanaendelea na huduma.Hiyo ya kwenu mumeitoa wapi.Usomi gani huo!.
Kumbe hata wanafunzi wanaiga kwa madaktari!Serikali isitikisike na hilo,iendelee tu kuangalia maslahi kidogo kidogo kama ilivyokuwa ikifanya siku zote na nyongeza iangaliwe kwa sekta zote.Tupeane kidogokidogo kufuatana na mapatao.Madaktari wao wanajiona ndo washida sana.
Na wengine aacheni ushabiki mbuzi.Mzazi ni huyo huyo mnataka mtoto mmoja avalishwe zaidi kuliko wengine?Hii kwanza si haki halafu ni dhambi kwa mzazi.
Madaktari fikirieni tena na tena, na mjue kuwa serikali inawaheshimu na inawapendeni, na watu wanawaheshimu na wanawapendeni,lakini wanatia huruma kwa sababu hamuwapendi,mnawatosa.Ni sawa na mtu anakufa maji huku namuona mtu wa kumuokoa lakini hamsaidii.
Kiburi cha ubora aacheni madaktari rudini kazini,au ikishindikana aacheni kazi kwa kuwa maslahi madogo tujue moja.Watu wafe kwa kuwa daktari kaacha kazi kuliko kagoma na mwisho wa mwezi anachukua mshahara mabao hakufanyia kazi.Anakaa nyuimba ya serikali wakati wa mgomo.
Rudini kazini,serikali haishindwi kitu,bali inahuruma.
Naounga mkono asilimia 100, kwa mgomo wa kwanza nilikuwa nanyi madaktari lakini kwa sasa siwaungi mkono, kukataa kwenye meza ya mazungumzo eti mpaka Mawaziri waondolewe nauiata ni usaliti kwa wananchi ambao kwa kodi zao mmefika hapo mlipo.. Naamini kuna wakati lazima tupitie hali ngumu ili kuleta mabadiliko lakini dai lenu la kuondoa mawaziri halina thamani kama roho za watanzania zitakazopotea
ReplyDeleteNaunga mkono mawazo yako kwa asilimia 100 . Naomba niwaulizeni hivi nyinyi madaktari mnavyoona taaluma yenu ni ya maana kiasi cha kuua wenzenu kwa ubinafsi wenu ambao hauna ata chembe ya huruma mnavyofikilia ni haki kweli? Jamani hizo pesa au maslai mnayodai unaweza kuyafananisha au yanaweza kuwa na thamani ya uhai wa mwanadamu kweli? Kwanza wengi wanaokufa sio hao mnaotaka kuwafikishia ujumbe wenu manawaonea tu kwani hakuna mbuge ama waziri atakayekufa kutokana na ubinafsi wenu.Hivi kuanza kuiamuru serikali imuwajibishe huyu na kesho mtaanza Waziri Mkuu keshokutwa mtadai Rais naye aondoke madarakani hivi kweli mko makini na madai yenu? Hakuna anayebisha wala kukataa kuhusiana na madai yenu lakini kinachogomba hapa ni masharti na ubinafsi wenu wa kuwaadhibu watu wasio na hatia na madai yenu.Pia inatia shaka sana na misimamo yenu nyinyi si mnaweza kutumiwa hata na wanasiasa hao hao kuzoroteshana.Jamani Madaktari serikali hamuiogopi basi hata MUNGU nae hamumuogopi kwa kutoa uhai wa watu wasio na hatia. Tunatambua na kuheshimu taaluma yenu naomba mfikie wakati mumuogope Mungu sasa sio Serilkali.
ReplyDeleteKuna matatizo mengi kwenye kada mbalimbali. Ni muhimu kutambua kila kada inaumuhimu wake. Kimsingi wengi ni wavumilivu tu si kwamba wanafanya kazi kwa raha. Sasa kila kada ikiamua kugoma hali itakuwa tete sana hapa nchini. Sikatai madaktari wanafanya kazi mazingira magumu lakini si wao tu. Mfano hivi kufundisha mtoto alie kaa sakafuni tena ya vumbi na darasa likiwa limejaa hadi karibu na ubao ni rahisi? Mungu aingilie kati kwa kweli.
ReplyDeleteWengine hata hawajui namna ya kujenga hoja na inaonekana kabisa wanaamini wanachofikiria wao ndiyo sawa.
ReplyDeleteHatuna sababu ya kumuita mwingine sijui kibaraka! katumwa! mjinga! yote hayo ni uvivu wa kufikiri na ushabiki usio na maana unapoamua kuchangia jenga hoja badala ya kujibu hoja za wengine mwishowe toa maoni yako namna ya kutatua tatizo badala ya kuleta hoja nyingine mpya.
Tulenge kutoa hoja za kujengana siyo kubomoana kwa maslahi ya mtu fualani bali maslahi ya Taifa letu na mananchi wake yawe mbele.
Katika hili pamoja na makosa yote ambayo yanaweza kuwa yamefanywa na yeyote wakati wowote hata tukafika hapa tusiyaangalie la msingi tuangalie namna tunavyoweza kutatua mgogoro huu pamema zaidi na kwa gharama ndogo zaidi ili kuokoa uhai wa Watanzania watakaoendelea kuteseka tusipolitatua mapema.
kweli nchi hii hakuna mtetezi wa wanyonge hata sisi makabwera tunasapoti mgomo wamadaktari
ReplyDeleteleo hii hawamtaki waziri kesho wakisema hawamtaki waziri mkuu je na mwisho si hata raisi watamkataa hawa.
wako wapi wale maaskofu waliopiga kelele kipindi watu walikufa kwa kupigwa kwenye maandamano arusha leo hii mbona hamsikiki kutetea waumini wenu masikini wanaokufa kwa kutokana na mgomo wa madaktari
hongera mzee wa upako kwa kukemee tabii hii ya madaktari ya kuua watu bila hatia
Nakuunga mkona kwa 100%,kila fani ina umuhimu wake katika nchi yeyote duniani, hawa madaktari wa kwetu (Tanzania) wanadhani wao ndio wasomi peke yao na wanadhani fani yao ndio namba moja,kuna wasomi wengi, tafouti ni fani uliyochaguwa. madaktari wa zamani ambao sasa hivi ni wameshastaafu hawakuwa na huu upuuzi maana walijuwa nini maana ya kuwa daktari, walifanya kazi zao kwa moyo wote. Hao wote wanaowasiliti watanzania ambao waliwasomesha kwa kodi zao naomba muheshimiwa rais awafukuze kazi, inasikitisha sana, mlalahoi huyu huyu aliyekuwa anakatwa kodi ili daktari asome leo anasota akisubiri matibabu, ni aibu kubwa sana kwa huyu daktari
ReplyDelete“Siyo serikali inayosababisha watu wafe ni nyinyi ambao mnaacha watu wanakata roho wakati uwezo na vifaa vya kuwasaidia mnavyo ????na mmekuwa mkivitumia miaka yote leo mnaseama hakuna.” ARE U SURE ???????
ReplyDeleteMimi kwa upeo wangu naona wewe hauna clear information juu ya yanayoendelea kwenye hospitali za Tanzania, tena much worse kwenye hospitali za Dar ambapo ni mji mkubwa Tanzania. Jaribu kutembelea hospitali za Amana, Temeke na Mwananyamala then uje upost upya maelezo yako.
Kutokuwepo kwa vifaa kinga basic km GLOVES, mask, miwani, apron etc kwa wafanyakazi limekuwa ni jambo la kawaida kwenye hospitali karibia zote Tanzania. Unategemea huyu mtoa huduma atafanyaje kazi.
Dawa za dharura hakuna mara nyingi madaktari wanashuhudia vifo kisa tu dawa hakuna na kumbuka wagonjwa wananunua dawa nje ya hospitali na wengi wao hawana uwezo ni walala hoi. Mara nyingi madaktari wanashuhudia wagonjwa wakifa kwa ukosefu wa dawa na vifaa wakati “UWEZO WANAO”. Jamani kumbukeni na wao ni binadamu imagine psycological trauma wanazopata kushuhudia MAMIA YA WATAZANIA WAKIFA just simply HAWANA UWEZO WA KUNUNUA DAWA achilia mbali vifaa ambavyo pia havipo. Mf halisi wagonjwa wenye emergency attacks km asthma, pneumonia na the like simply no emergency drugs, Oxygen, DRIPS achilia vifaa vya kufanya vipimo mbalimbali KUOKOA MAISHA YA WAGONJWA.
Mwishowe wanafanya kazi kama waganga wa kienyeji wakati taaluma wanayo na uwezo wanao na hali hii inadumaza pia upeo wa kufikira. For sure they are underutilized.
We need some changes kuboresha mazingira ya kazi kwa madaktari na pia kuboresha huduma za afya kwa watanzania hasa wenye uwezo mdogo kiuchumi wanaohudumiwa kwenye hospitali za serikali. Ili na daktari nae aifurahie kazi yake ya kuokoa maisha.
UNADHANI DAKTARI ANA ROHO GANI YA KINYAMA AACHE WATU WANAKUFA AGOME?????? HII NI KWA AJILI YA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA TANZANIA PEOPLE SHOULD BE RESPONSIBLE . MADAKTARI WAMECHOKAAAAAAAA.
PLEASE KUMBUKA INFORMATION IS POWER GO BACK AND DO RESEARCH KWENYE MAHOSPITALI ZA TANZANIA THEN JIPANGE UPOST UPYA.
“Siyo serikali inayosababisha watu wafe ni nyinyi ambao mnaacha watu wanakata roho wakati uwezo na vifaa vya kuwasaidia mnavyo ????na mmekuwa mkivitumia miaka yote leo mnaseama hakuna.” ARE U SURE ???????
ReplyDeleteMimi kwa upeo wangu naona wewe hauna clear information juu ya yanayoendelea kwenye hospitali za Tanzania, tena much worse kwenye hospitali za Dar ambapo ni mji mkubwa Tanzania. Jaribu kutembelea hospitali za Amana, Temeke na Mwananyamala then uje upost upya maelezo yako.
Kutokuwepo kwa vifaa kinga basic km GLOVES, mask, miwani, apron etc kwa wafanyakazi limekuwa ni jambo la kawaida kwenye hospitali karibia zote Tanzania. Unategemea huyu mtoa huduma atafanyaje kazi.
Dawa za dharura hakuna mara nyingi madaktari wanashuhudia vifo kisa tu dawa hakuna na kumbuka wagonjwa wananunua dawa nje ya hospitali na wengi wao hawana uwezo ni walala hoi. Mara nyingi madaktari wanashuhudia wagonjwa wakifa kwa ukosefu wa dawa na vifaa wakati “UWEZO WANAO”. Jamani kumbukeni na wao ni binadamu imagine psycological trauma wanazopata kushuhudia MAMIA YA WATAZANIA WAKIFA just simply HAWANA UWEZO WA KUNUNUA DAWA achilia mbali vifaa ambavyo pia havipo. Mf halisi wagonjwa wenye emergency attacks km asthma, pneumonia na the like simply no emergency drugs, Oxygen, DRIPS achilia vifaa vya kufanya vipimo mbalimbali KUOKOA MAISHA YA WAGONJWA.
Mwishowe wanafanya kazi kama waganga wa kienyeji wakati taaluma wanayo na uwezo wanao na hali hii inadumaza pia upeo wa kufikira. For sure they are underutilized.
We need some changes kuboresha mazingira ya kazi kwa madaktari na pia kuboresha huduma za afya kwa watanzania hasa wenye uwezo mdogo kiuchumi wanaohudumiwa kwenye hospitali za serikali. Ili na daktari nae aifurahie kazi yake ya kuokoa maisha.
UNADHANI DAKTARI ANA ROHO GANI YA KINYAMA AACHE WATU WANAKUFA AGOME?????? HII NI KWA AJILI YA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA TANZANIA PEOPLE SHOULD BE RESPONSIBLE . MADAKTARI WAMECHOKAAAAAAAA.
PLEASE KUMBUKA INFORMATION IS POWER GO BACK AND DO RESEARCH KWENYE MAHOSPITALI ZA TANZANIA THEN JIPANGE UPOST UPYA.
Demokrasi ichukue mkondo wake,Mwawaziri wajipige chini,kama ilivyokawaida,wengi wape,wao watakuwa siwakwanza,Rais wa RSA,Thabo Mbeki alijiuzulu,Rais wa Pakistan Gen,Musharafu, na wengine wengi Dunuani.
ReplyDeleteWEWE KOMA KUSEMA MADAKTARI WAMESOMESHWA KWA FEDHA ZA WANANCHI...KAMA NI RAHISI KUSOMESHWA KWA FEDHA ZA WANANCHI MBONA HAKUSOMESHWA BABA YAKO AU WEWE MWENYEWE?WATU WAMESOMA KWA UWEZO WAO NA WAKO WALIPO KWA UWEZO WAO FEDHA NI MKOPO HUO NA WANAKWATWA KWENYE MSHAHARA.KAMA UNADHANI WATU WANASOMESHWA KWA FEDHA ZA WANANCHI KACHUKUE KIJIJI CHENU CHOTE KISOMEE UDAKTARI....MWANAIZAYA WEYE USIYE NA MKIA
ReplyDeleteNaomba baadhi ya wananchi wasijaribu kuropokea hapa na kuwakatisha tamaa raia wema, waadilifu, wapenda watu na wenye ari ya maendeleo -MADAKTARI.
ReplyDeleteSIKU ZOTE wabongo mmekuwa mnalaliwa, mnayeyushwa, mnadanganywa na baadhi ya viongozi ama waliopo madarakani au wanaotaka kuingia madarakani.
Hivi wananchi hamjiulizi hii ni mara ya ngapi kwa madaktari kutoa ishara kwa wananchi na serikali yao kuwa "something is wrong here". kuanzia tu 1990 mpaka sasa ni takribani migomo sita hivi, mikubwa na mirefu ikiwa kama miwili (ule wa 1995 na wa Feb.2012).
Migomo au wengine walishawahi kuiita Midahalo si kitu kigeni kwa jamii za Waajiriwa-Waajiri, hali kama hii imekuwapo miaka mingi toka enzi za industrial revolution kwa wenzetu.
Sisi tunaliona geni kwa vile tumerushwa viunzi, hatukupitia walipopita wenzetu. Hata hivyo, sababu na nia za Migomo/Midahalo iliyopita enzi hizo huko ulaya kwa wenzetu na hii ya ki-leo hapa kwetu ni ile ile.
Hapo zamani wenzetu waajiriwa viwandani wa ulaya waligandamizwa, walitumikiswa, na kulipwa kiduchu; huku wakiwaona waajiri wao wakineemeka, wakitajirika, wakipendeza,wakijivuna na kupanua uwigo wa biashara zao.
Waajiri wao (by then) walitumia busara mbovu (Horrible Policies)za kuwatumia, kuwatumikisha na kuwanyonya wenzao wasio na uwezo au mitaji kama vizalisha mali.
Kinachotuuma sisi na huenda na Watanzania wengineo walioajiriwa ni pale tunapoona wadengereko wenzetu, maskini wenzetu, weusi wenzetu, ndugu zetu, wanadiriki kutumia mali yetu (Our Own Natural Resource-OONR) kujinufaisha wao na familia zao; na kutuacha sisi wengine tukiwatizama kwa macho ya huru na kutegemea kuwa kwa vile ni ndugu, weusi wenzetu watatuonea huruma WAPI???
Hebu niambieni watanzania, matajiri wa kizungu ijapokuwa waliwagandamiza wenzao enzi hizo kujilimbikizia mali, angalau, walitumia kimtaji chao kwa kuanzia. What about hawa wa kwetu, ambao ni waajiriwa wenzetu, tunawaona wakidamka asubuhi, tuko nao maofisini, tunafanya kazi nao, lakini wanaporudi makwao saa za jioni wametubaradhua ngozi, wametuibia kile kidogo chetu tulichonacho.
Tumewasitri kwa muda mrefu mno, tumetoa ishara za kutosha za kutokuridhika na mwenendo wao lakini muda wote wamejifanya ATI HAWAJUI KUSOMA MAANDISHI UKUTANI. ila kutubenua hilo wanaliweza.
ReplyDeleteWizara ya Afya, kama nilivyosema hapo awali imekuwa na migomo kadhaa, takribani sawa na wenzetu waalimu na huenda na idara au fani nyinginezo kwa sababu zile zile za kimsingi---Masilahi na uboreshwaji wa mahali pa kutendea kazi na vitendea kazi vya kisasa. Hebu ajitokeze Mkuu hata mmoja tu aniidhirishi au kunikosoa hapa, kuwa katika migomo na madai yote ambayo yalishawasilishwa Wizara ya afya, ni madai gani ambayo yalisha shughulikiwa, kama si ahadi tu na Victimization. Mgomo wa 1991 uliowahusisha madaktari na hata Maprofessa,ulipita bila chochote kile, mbali na kuwafukuza wenzetu Madaktari (Ma-Specialists wawili wa nguvu)tena wakiwa ni mtu na mkewe (serikali ilitegemea watoto wao wale wapi- je huu sio uuwaji??). Madaktari hawa walifuatiliwa hadi huko Private hospitals ili wasiajiriwe, sijui maskini walikuja ishia wapi.
Mgomo wa pili wa ni wa October 1995just before Mkapa,huu ndio mgomo uliokuwa mrefu na waina yake, maana uliwahusisha wafanya kazi wote wa idara ya afya, bila kujali mfagizi wala mchimba choo, so long umeajiriwa na idara hiyo. hali ilikuwa tete maana palikuwa na joto la uchaguzi na vyama vya upinzani vilikuwa vinanyemelea kujikita kirahisi na kuwarubuni viongozi wa Mdahalo/Mgomo huo.Vyama vya upinzani vilikuwa havihusiki kabisa na mgomo ule, na ninakumbuka kiongozi wa Mdahalo ule alitoa mbiu kuwa mgomo haukuwa wa kisiasa kwa hiyo asije kusogea mwana siasa yeyote yule awaye na kwamba akionekana angekipata cha moto. Mgomo uliisha baada ya wiki takribani mbili naa, waliogoma wote walifukuzwa (madaktari, wauguzi na wengineo walioshiriki na kukiuka kurudi kazi walipoamuriwa. Viongozi wa Mdahalo walichacharika baada na karibu wote walirudishwa makazini. Matokeo ya Mgomo ule tuliishia ahadi za Katibu Mkuu, kuwa meli iko njiani inatuletea vitendea kazi, na kuwa tutanufaka kimshahara hivyo turudi kazini.
Joto la migomo yote ya kinamna hii, wanaichochea viongozi wetu, kama mtu angeniuliza vyanzo vyake.
Ndio labda hatuna fedha za kutosha kukidhi kila kitu, lakini inakuaje hawa viongozi wao wananawiri??? hizi zinazowang'arisha wenzetu zinatoka wapi?? na ni nani anayewarusu wao tu na sio sisi pamoja.
wanapopelekwa mbele ya haki haki haifantiki? na viongozi wanaopaswa waonyeshe makali yao kulinda mali ya uma hawafantyi lolote lile.
Madaktari, msiogopeshwe na mtu yeyote yule awaye, kada yeyote yule awaye, kiongozi yeyote yule awaye,so long mnakijua mnachokipigania ni kwa ajili ya watanzania wote. Nawaonya msije kuwa wabinafsi!!!!!, wajumuisheni na wenzenu mnaofanya nao kazi, maana mkanufaika ninyi wenywe bado kazi haitaone kana maana wauguzi, wanamaabara na wengineo watakuwa wamenuna. Msiwaache Ma-Partners wenu, kama kweli mnataka kuboresha afya ya watanzania. Nategemea watanzania watawaelewa,
Naomba Mgomo unaofuata uwe wa Watanzania wote, kushinikiza Mafisadi wote wanaojulikana wapelekwe mbele ya sheri au la sivyo wananchi wajichukulie sheria mkononi.
Nimewakilisha.
kaka hivi ni vita na kwenye vita usitegeme watu kula cake, mikate yakumimina au juice za chemikola na superdeep...wat ama tryn to say is dawa kumwagika sio hajabu vitani ni sawa na mvua wakati wa masika...
ReplyDeletesasa basi WoGA WAKO NDIO UMASKINI WAKO...
ULISHA ONA NCHI GANI WEZI WA MABILLION YA PESA WANA AMBIWA RUDISHEN NA HAKUNA SHERIA WANAZOCHUKULIWA??
TUMEKUWA WAOGA NA WAPUMBAVU KWA KIASI KIKUBWA MADOCTER WAKO SAHII AND THIS IS THE RITE TIME THEY HAVE TO STEP DOWN..SISI NDIO TULIO WAWEKA KWENYE UWONGOZI NA KUNA WANACHOFANYA ZAID YA MABAVU NAKUJILIMBIKIZIA MALI..HIVYO HAWA JALI MAISHA YETU NA AFYA ZETU BALI MATUMBO YAO NA KUONGA MABINT TU(ANASA) LEO LOWASSA ANAUMWA CHEK UP GERMAN WHY NOT HIA TZ KWAN HATUNA HOSPTL THEY DON CARE ABOUT US AT ALL ..
SO DONT BE HOPELESS NAKUSEMA POLIC WANALINDA MAJAMBAZ WAKATI WAO NDIO MAJAMBAZI NA WAUWAJI WAKUBWA WATU KIANDAMANA KUDAI HAKIZAO WANAUWA MPAKA WANUFUNZI...HUU NI MAFANO TU KAMA TRAILER ZA MOVIE ZAKINA KANUMBA NA MLELA.. RAIS SOON ATATAKIWA APISHE KITI IKIBIDI KWAN ANASHINDWA KUWAJIBISHA VIONGOZI WAKE ...KWAKUHOFIA CHAMA KUPOTEZA MAJIMBO NA UWAMINIFU THIS IS NOT ABOUT THE POLITICS ITX ABOUT NATION AND FUTER GENERATION THEY HAVE TO GOOOOOO....NAWENGINE WATIE MAJI ....HATA WEWE KAMA UMEISHIWA HABARI FUNGA BLOG RUDI KIJIJIN KWENU KAGOMBEE UDIWAN NA SIO KUTOA MAWAZO DHAFUU(OMOLLO) NI HAYO TU..
Mtoa mada kwa nini usiwalaumu hao wat wawili mponda na nkya unatupa lawama kwa madaktari tu..Hii ni ishara kwamba Watanzania wamechoka kuburuzwa na viongozi wasio na faida kwa taifa.Kugoma kwa madaktari haikuwa kuwakomoa raia wasio na hatia bali ni kutoa ujumbe kwa serikali kwamba watu sasa wamechoka na viongozi wasio na huruma kwa Watanzania. Kwa nini watu wawili waliangamize taifa kwa uzembe na ubadhirifu wao. Walichokifanya madaktari ni halali kabisa...yanagoma mashirika ya ndege, walimu, madaktari nchi zilizoendelea itakuja kuwa Tz. yetu. Tuwe wakweli na si kutetea maovu.
ReplyDeleteWaache warekebishe serikali maana imekua balaa!! watu kumi wanapelekwa india kuokolewa maisha yao huku mamilioni wakiachwa wafe eti kwa sababu hawana ndugu au nafasi serikalini kuna tatizo na tena ni kubwa hasa kuna watu wanatakiwa kwenda jela sasa maana wananchi wamechoka na huu ujinga unaofanywa na hao viongozi wa hii nchi ni muhimu kumpata rais kichaa ambaye atawafunga watu tena haraka bila kuwauliza au kuwapa nafasi wakusanye mafaili yao ofisini hizo 10% za india zipo na watu wananeemeka nazo kwa kuwapa watu referal!!!! nchi ina tatizo kubwa na tuna hitaji midle east way kumaliza hizi shida. najua utaikalia tuu but ujumbe ndio huo
ReplyDeletemimi naamamini mtanzania yeyote atakubaliana na huyu mwandishi huhitaji kwenda shule au kutumwa na serikali kusema hayaMadaktari mna moyo kama sis wengine wote kuna meza ya mazungumzo tafadhali tumieni hiyo meza
ReplyDeletePili na wale madaktari wote mnaopokea rushwa na kufanya kinyume na taaluma yenu pia tunawaomba mjiuzulu msingoje sis wananchi kuwataja
waacheni madaktari wapiginie haki yao,wanafanya kazi ktk mazingira magumu sana, and nobady care ktk hao viongozi tulipanga foleni kupiga kura na kuwachagua. Wabunge wanajiongezea posha, mafisadi wanazidi kujichumia mali na hakuna sheria iliyowabana, zaidi ya kujiuzuru. Vp yule katibu aliyekusanya pesa za ili kupitisha bajeti, nini kimefanyika? walala hoi wanapodai haki yao basi ni wasaliti? kumbuka hata kupata mikopo ya tirdo ilikuwa shida kuipata, waacheni wadani kilicho haki yao.miako 50 ya uhuru nothing has changed..
ReplyDeletewaacheni madaktari wapiginie haki yao,wanafanya kazi ktk mazingira magumu sana, and nobady care ktk hao viongozi tulipanga foleni kupiga kura na kuwachagua. Wabunge wanajiongezea posha, mafisadi wanazidi kujichumia mali na hakuna sheria iliyowabana, zaidi ya kujiuzuru. Vp yule katibu aliyekusanya pesa za ili kupitisha bajeti, nini kimefanyika? walala hoi wanapodai haki yao basi ni wasaliti? kumbuka hata kupata mikopo ya tirdo ilikuwa shida kuipata, waacheni wadani kilicho haki yao.miako 50 ya uhuru nothing has changed..
ReplyDeleteWEWE NI CCM .
ReplyDeleteMADAKTARI: FIGHT FOR YOUR RIGHTS! MSITINGISHWE NA FEW VIBARAKA KAMA HUYO ALIOTOA MAONI HAPO NA WENGINE WENGI. IT'S ABOUT TIME THERE IS A MUTUAL RESPECT FOR ALL! AND WE SHOULDN'T FEAR OUR OWN GOVERNMENT. WENGINE HAWANA CHOHCOTE WANACHOFANYA WALA HAWANA TAALUMA YEYOTE LAKINI WANAPEWA MAPOSHO NA WANAJILIMBIKIZIA NYIE MNAOKOA MAISHA YA WATU MNANYANYASWA NA KUONEKANA HAMFAI. WACHA WABUNGE , MAWAZIRI WAJE WAWATIBU WAGONJWA WAO SI BORA ZAIDI. HUYO WAZIRI NA NAIBU WAKE KINACHOWAFANYA WASIJIUZULU NI KITU GANI? MNAMTUMIKIA NANI KAMA WATU WAKO HAWAKUTAKI? LET US RESPECT ONE ANOTHER AND DO THE RIGHT THING FOR OUR COUNTRY.
ReplyDeleteSasa nimeamini hakuna madaktari hapa,ni ndio maana mgonjwa badala ya operesheni ya mguu,akafanyiwa ya kichwa.na madaktari hawa hawa.wapuuzi hawa na wala siwaogopi na chochote.huo ukweli,akili yenu iko kwenye pesa mpaka mnasahau majukumu.Pumbaaaaav kbsa,tumewachoka ila iko siku mtalia tu,mshukuruni mh rais mpole ningekuwa mimi watu kama nyie.weka segerea tuanze upya.hata clinical officer wanaweza kuanza kutoa huduma.tutafika tu,msijione miungu watu,
ReplyDeleteMasupu, kwa heshima yako, na taadhima. IJAPOKUWA naomba unipelekee hii msg kwenye main site, ya kuwaomba WATAALAMU WACHANGIAJI WACHANGIE SASA NI NINI CHA KUFANYA BAADA YA MADAKTARI KUGOMA,NA HATUA GANI ICHUKULIWE ILI KUZUIA HILI LISIJE KUTOKEA TENA HAPO MBELENI.
ReplyDelete"NINGEOMBA NA MIMI NIZOZE KIDOGO WANGU".
MAJI YAMESHAMWAGIKA, NA WALIYOYAMWAGA NI VIONGOZI WETU WALIOCHAGULIWA NA WANANCHI WALIOHONGWA KANGA NA PILAU, SASA TUFANYEJE ILI KUOKOA MAISHA YA WATANZANIA HAO. WADAU, MADAKTARI, NINGEOMBA HILI LIENDELEE KIDOGO ILI LIWE FUNDISHO KWA WATANZANIA (WANANCHI)AMBAO BADALA YA KUCHAGUA VIONGOZI WAO KWA KUFUATA UWEZO WAO, WANAWACHAGUA KWA KUHONGWA PILAU, FULANAZZ ZA CCM, NA CHADEMA, NA KHANGA HALI KADHALIKA.
WANANCHI, HII NDIYO ADHARI YA UTAMU WA MLO MMOJA WA PILAU NA FULANAZZ (inatakiwa mzivue fulanazz na mzitupilie mbali). MJIFUNZE NA MKUMBUKE KUWAELEZA WAJUKUU WENU WASIJE KURUDIA MLICHOKIFANYA. DAIMA MKUMBUKE KUWA KIONGOZI ANAYEHONGA WAPIGA KURA, HUYO HANA SERA NZURI NA HATUFAI..
NAELEWA LENGO LA MGOMO NI KUSHINIKIZA SERIKALI ISOME MAANDIKO UKUTANI ILI PAWEPO ANGALAU NA MABADILIKO KIDOGO IDARA YA AFYA, WALALA HOI WATIBIWE KAMA WAZALENDO, WATU WASIPELEKWE INDIA, UK, SOUTH AFRICA.NA MADAWA NA VITENDEA KAZI VIWEPO NA MASILAHI OF COURSE.
HILO LIMEWAFIKIA. IJAPOKUWA NINA WASIWASI UTEKELEZAJI WAKE.MAANA NAELEWA SANA KUWA BAADHI YA VIONGOZI WETU NI VIPOFU, VICHAA, WAPIGA NGONO, VIWETE, NA VIZIWI.
KAMA ISINGEKUWA HAYA MARADHI (DISABILITIES)WALIYONAYO VIONGOZI WETU, MBONA NINGEWAOMBA MADAKTARI WENZANGU TURUDI KAZINI TU, LAKINI NAFIKIRI DOSE TULIYOITOA BADO HAIJATOSHA NA KWA KWELI WANAHITAJI MATIBABU YA MUDA MREFU KIDOGO (MGOMO). NAONA WAZIRI MKUU AMEANZA KUWEWESEKA, INA MAANA OUR MEDICINE IS ABOUT TO TOUCH THE AIMED SITE OF ACTION (RECEPTORS).
NASHAURI TUENDELEZE MATIBABU (mgomo), HUKU TUKIWA TUNAFANYA TATHIMINI(ASSESSMENT) MARA KWA MARA ILI TUSIJE KUWA-OVERDOSE VIONGOZI WETU. WE SHOULD ALSO KEEP OUR EYES OPEN FOR ANY KIND OF SIDE EFFECTS. TUSISAHAU TUNA DHAMANA YA MATIBABU KWA VIONGOZI HAWA KUTOKA KWA WANANCHI. WANASUBIRIA VIONGOZI WETU WAWE WAMETIBIWA VEMA, ILI WAMALIZAPO HIYO DOSE WAANZE KUWA NA HURUMA NA WATOTO WA WENZAO WAKITANZANIA NA SIO WAKWAO TU, WAONE YOTE MABAYA YANAYOTOKEA HAPA NCHINI NA KUYASHUGHULIKIA (on time) NA BILA SHAKA KUWASHUGHULIKIA WANASHERIA WOTE NCHINI AMBAO NAONA NDIO CHANZO CHA MATATIZO MENGI TULIYO NAYO--- KWA KUTOKUFANYA KAZI ZAO KWA KUFUATA SHERI ZILIZOTUNGWA KUWALINDA WANANCHI NA MALI ZA TAIFA HILI.
Drs, keep on going, toeni huduma hiyo kwa viongozi wetu mpaka waelewe tulichowatuma.
Rais,Waziri Mkuu,Waziri Mponda na Nkya tumieni busara kutatua Suala hili.Mponda na Nkya ondokeni kung'ag'ania Madararaka kwenu kunaleta Maafa ya wengi.Mzee Mwinyi alijiuzuru alipokuwa Waziri wa Mambo ya NDani 1970s nasi yeye aliyesabababisha maafa ya Vizee kule Shinyanga ni Polisi waliokuwa chini ya Wizara yake.Ukaidi wenu unasababisha Maafa na Maumivu makubwa kwa Wananchi walio waweka Madarakani.
ReplyDeleteWapumbavu bado wanaendelea kusema madaktari wamesoma kwa hela zao!Wenye mawazo hayo ni wale vijana waliosomeshwa nje ya nchi na mafisadi wazai wao walioiba hela za serikali.
ReplyDeleteKama mnajua ukweli ni kuwa wengi wa madaktari wa mri huu wamesoma kwa hela za seriklli, wanatakiwa kutumikia wananchi,waache jeuri isio na tija.
Ni kitu kimoja tu,si hawalipwi kulingana na wadhifa wao au kulingana na usomi wao au umuhimu wao basi waache kazi si kushinikiza mwajiri awalipe kiasi kikubwa mara tatu kuliko watumishi wengine.Hii ni kichaa.
Nakumbuka wakati mwingine watumishi wakilipwa elfu 20 madaktari walikuwa wakilipwa laki mbili.Angalia tofauti hiyo.
Upumbavu wa kusema wao ni muhimu kuliko wafanyakazi wengine mnautoa wapi.Wote ni wa serikali na kila mmoja ni muhimu katika sehemu aliko.
Serikali imejifunza,kamwe isiruhusu mawazo ya wajinga kuwa idara fulani ni muhimu kuliko nyingine.
Kama nia yako ni hela ,basi usiombe kazi TZ ambako unaona hakuna maslahi,kaombe ambako wanalipwa zaidi.Nani kakulazimisha kuajiriwa kwa maskini!Tuacheni,kama ni jeuri ya huko nje kaeni hukohuko kwenye mihela.Mmezoe posho za kifisadi wakati mkisoma hivyo mkianza kazi mwaona mshahara mdogo.
Waacha kugoma nyie,pesa haitoshi aacheni kazi kwa kuwa sisi maskini hatuna uwezo wa kuwalipa mnachotaka.
Watu wanasingizia hakuna hata gloves!!! Huu si argument za kijinga tu,serikali imeshindwa kuleta gloves, si kweli.Hizi si sawa na condoms tu.Waacheni uongo.Vijana wengi mmeoza hamjui kwa ukweli kinachoondelea TZ.
Sisi hatupendi tabia ya migomo kabisa.Njia ya kudai zipo kibao,lakini kugoma ni tabia mbaya na si ya kizalendo na ni tamaa ya mafedha.Mimi naona hata wanafunzi wakiendekeza migomo serikali iwafukuze tu ili wanaotaka kusoma wasome kwa umaskini tulio nao.Wanaotaka kusoma kitajiri waache shule.Huu ni ujinga mtupu hauna maelezo, hauna utetezi wa aina yoyote.
Kuna haki nyingi madaktari hawatendi kwa wananchi.Wengi wanaoshabikia wanasoma tu kwenye mitandao lakini hawajui kwa ukweli tabia ya madaktari waliowengi pale TZ.
waziri pinda asichanganye SIASA NA UTAALAMU KILA MTU ANAWEZA KUWA MWANASIASA LAKINI SIO DAKTARI ANAWANGANGANIA NINI HAO MAWAZIRI SIASA YA CCM IMEPITWA NA WAKATI JAMBO HILO NDIO LIPEWE KIPAUMBULE HOTUBA YAKE HAIKUWA NA MAAANA YOYOTE YA KUSEMA NTASHUGHULIKIA/ WAZUNGU WANASEMA TAKE ACTION NOW .KILA SEHEMU DUNIANI MTU ANATKIWA KUFANYA KAZI MAZINGIRA MAZURI NA KUFURAHIA KAZI YAKE .NDIO MAANA YA KWENDA SHULE.
ReplyDeleteKUTOKA KWA SHANGARORO MIMI NAONA WOTE MNAPIGA MAKELELE YOTE HAYA YAMESABABWISHWA NA UTAWALA WA KAMBALE WOTE WANA NDEVU KWA HIYO KUOGELEA NI HAKI YA KILA mwenye ndevu,PINDA NA NDUGU YANGU KIKWETE KAMA BUSARA IMESHINDIKANA BASI TUMIA NGUVU SERIKALI SI CHAMA CHA TAARABU FUKUZA WOTE MNATUMIA MAMILIONI KWA MAKONGAMANO NA KUDHAMINI VITU VISIVYO NA MIGUU WALA VICHWA BAADA YA KUFUKUZA HAO WAUAJI PITISHA HARAMBEE YA HUDUMA KWA MWANANJII DUNIANI KOTE UTAFANIKIWA HAO NI WATOTO WA VIKOPO HATA UKIWATIA NDANI YA CHUPA WATATOA VIDOLE NJE.
ReplyDeleteKitu ya busara kwangu mimi naona ni hao waziri na naibu wake kutoka, kwa nini wanang'ang'ania wakati wanajua madaktari wana gogoro nao? wakati mwingine ni busara tu, kwa sababu sitegemei rais hata siku moja anaweza kumtoa waziri kwa shinikizo la kundi dogo la watu,labda ingekuwa chi nzima. Mzee Lowasa alitoa mfano mzuri japo yawezekana ishu haikuwa yake peke yake, ili kuepusha mengi alijitoa tu ili taifa libaki salama.waziri na naibu jitoen wenyewe tu mkafanye kaz zenu nyingine, maisha yataendelea tu kwa hivyo vichache mlivyochuma.
ReplyDeleteYou people are nothing but greedy murderers who can kill your own mothers for money. Pambaaaaav! Yaani sasa mnajifanya miungu watu na mnataka Watanzania wawalambe miguu. Huu mgomo wenu wa pili umetuonyesha sisi Watanzania mnaotuita mambumbumbu ambao hatujasoma nyinyi ni watu wa aina gani.
ReplyDeletekwani ni lazima huyo Mponda na Nkya wawe viongozi? kama wenzao hawawataki na wana shaka na ufanyaji kazi wao si waondolewe tu yaishe. Kitu kigumu kipo wapi hapo? Hebu acha kuleta hoja zisizoeleweka hapa. Tanzania ni nchi ya demokrasia na wengi wanapaswa kusikilizwa halafu pia usitufanye sisi hatuifahamu serikali au tumezaliwa leo
ReplyDeletemimi naona kuwa madaktari wanafanya kitu ambacho kilikuwa inevitable kwa jinsi serikali yetu inavyoendesha nchi yetu! migomo inapoonekana kwenye nchi yoyote ni dalili za serikali kushindwa kuiongoza nchi, system zinabackfire ili kuishinikiza serikali ichukue the right direction.
ReplyDeletemnaposema madaktari wanaua watanzania wa kawaida wanapogoma, ina maana kuwa wao wanaweza kufanyishwa kazi katika hali yoyote na bila maslahi yao kuzingatiwa kwa sababu eti wakigoma watakuwa wauaji? eti wafanye mazungumzo na serikali sikivu? mnataka kusema kuwa wao hawajajaribu kufanya maongezi?
naombeni kuwaeleza kitu kimoja! nchi yetu imebadilika, madaktari wa leo sio wale vipofu wa zamani ambao wanasoma jinsi ya kutibia tu na hawasomi sheria na mambo mengine yanayohusu nchi yetu! wanajua haki zao na haki za mtanzania wa kawaida! unafikiri ni watanzania wangapi wanakufa kila mwaka kutokana na uduni wa miundombini ya secta ya afya ya tanzania? unadhani (mungu aliepushe hili!) watakaofariki kutokana na mgomo watazidi idadi wale wanaofariki kila mwaka kutokana na kutoboreshwa kwa huduma za sekta ya afya? sacrifice a few for the good of the majority ndio serikali INAWALAZIMISHA madaktari wetu wafanye! NOT FAIR towards our doctors and our citizens!
Na wewe uliyepost hii habari kumbuka kuwa na sisi tunafuatilia kila kitu, hatukuchukulii wewe kama vile ndio unatufungua macho!
It is a challenge as a country because whenever there is a strike by doctors the outcomes are always big. They are big because the lives of our countrymen are lost. i wish for one second each one of us who has posted a comment to think of a family whose member died because of luck of medical attention at time of strike.......... it is indeed so painful and unforgettable, some could even attempt to revenge to all or any doctor, ministers, and all stack holders who in one way or another caused the strike.
ReplyDeleteIn short it could a massacre in the country. Let us not create hate rate among professionals and instead bring harmonies.
I therefore suggest the govt and medical staffs to sit and find a way out to resolve the situation.
Uchambuzi wa vitu uliyotulia unahitaji uangalie pande zote 2 Kaka. Sorry to say this... Naona kama ina kitu "personal" na inagusa hisia za watu na ipo very judgemental.
ReplyDelete