Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Kwa upumbavu wao, wanasema sheria zimewekwa ili zivunjwe (ili wasababisha ajali na vifo). Je ni lini watu watajitambua na kutambua madhara ya maamuzi yao?

    ReplyDelete
  2. ni nani aloweka tangazo hilo, halmashauri ya jiji, polisi wa barabarani au mwenye duka? kwa ilivyokaa inaonyesha kama vile ni mwenye duka na kwa hivyo hakuna kosa kabisa kusimamisha gari hapo

    ReplyDelete
  3. KIBAO KIWEKWA NA NANI?KINAONYESHA WAPI/MAGARI YA UPANDE UPI YASISIMAME?LAKINI HATA HIVYO HAPO KOSA NI NINI?MBONA HAJASIMAMA KWENYE KIBAO?HAPO PENYE KIBAO NDIO HAPATAKIWI KUSIMAMISHA GARI. KWAHIYO DEREVA KWAKUWA NI GENIOUS AMESIMAMISHA PASIPO NA KIBAO...KOSA NINI HAPO WADAU?HAHAHAHA BONGO RAHA BWANA HAKUNA STRESS KAMA ULAYA

    ReplyDelete
  4. Mdau Bongo raha, ndio sababu tunakufa sana kwenye ajali ambazo zingezuilika. KUTA KUFUATA SHERIA NI KOSA. KAMA MWENYE DUKA NDIO ALIOWEKA KIBAO, NI JUKUMU LA HALMASHAURI YA JIJI KUONDOA HICHO KIBAO. ULAYA AJALI NI CHACHE UKIZANGATIA WINGI WA MAGARI YAO.BONGO AJALI NYINGI NI UZEMBE WA MADEREVA, NDIO MAANA KUONDESHA BONGO NI KUGUMU SANA KUPITA ULAYA. AJALI ZA BONGO, MADEREVA HAWAFATI SHERIA.MPAKA LEO,MFANO KUNA MLIMA NA MTU ANAPITA GARI WAKATI ANAJUA MBELE HAONI.KILA SIKU INATOKEA,NADHANI SERIKALI INAJUKUMU PIA LAKUWAPA SEMINA MADEREVA.KUTOA ADHABU KALI KWA KUSABISHA ADHABU.HUU NI USHAURI WANGU.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...