Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani)  kuhusiana na kampuni hiyo kudhamini maadhimisho ya 24 ya wiki ya maji ambayo kitaifa yatafanyika mjini Iringa kwa kutoa shilingi milioni 300 ambapo milioni 100 zitatumika kwenye sherehe hizo na milioni 200 zitatumika katika miradi ya maji na usafi katika mikoa ya Mwanza, Kilimanjaro, Dar es Salaam na Iringa. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi huduma za maji vijijini ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya kitaifa ya maandalizi  Mhandisi Amani Mafuru 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...