Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA,Mama Salma Kikwete (mwenye traki suti) akipokea maelezo kutoka kwa Waziri wa Afya na Usatawi wa Jamii,Dkt. Hadji Mponda kabla ya kuanza matembezi ya kuadhimisha siku ya utepe mweupe Tanzania leo jijini Dar es Salaam.
Mwenekiti wa Taasisi ya WAMA,Mama Salma Kikwete (alievaa traki suti) pamoja na watendaji wengine wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii pamoja na taasisi mbalimbali zinazoshughulikia mpango wa uzazi salama na afya za watoto wakishiriki kwenye matembezi ya kuadhimisha utepe mweupe nchini.Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Sadick.
Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA,Mama Salma Kikwete akikata utepe kuzindua kitabu cha uzazi salama leo jijini Dsm wakati wa maadhimisho ya suku ya utepe mweupe Tanzania.Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Mecky Sadick.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. naona Mama Salma siku hizi anapiga zoezi anaanza kuwa na kaingilishi figa

    ReplyDelete
  2. Mwacheni mtoto wa mwenzenu. Mtu ni afya bwana.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...