Naibu waziri wa Maji ,Gerson Lwenge akimkabidhi mwenyekiti wa bodi ya mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi(MUWSA) ,Paul Chikira cheti cha utoaji huduma kwa viwango vya kimataifa(ISO).
Wafanyakazi wa mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi(MUWSA) wakifuatilia kwa makini utolewaji wa cheti cha utoaji huduma kwa viwango vya kimataifa(ISO)kilichotolewa kwa mamlaka hiyo.
Wajumbe wa bodi ya mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi(MUWSA) wakiwa katika picha ya pamoja na Naibu waziri wa maji ,Gerson Lwenge mara baada ya hafla ya kukabidhi cheti cha cha utoaji huduma kwa viwango vya kimataifa(ISO).Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...