Baadhi ya Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi wakiwa katika mkutano wao Mkuu wa Mwaka leo katika Chuo cha Polisi Mjini Moshi mkoani Kilimanjaro uliofunguliwa na Rais Kikwete.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. handsome boys ila punguzeni vitambi

    ReplyDelete
  2. Kama kufuatilia watu wanaopata kipato "cha pembeni" kisio rasmi bali na shahara, jambo hilo ni rahisi sana. Kwanza angalia wenye vitambi, pili angalia wenye majumba mazuri yenye gharama isioelezeka, tatu angalia magari wanaotembelea au/ magari wanayofanyia biashara, ama teksi au madala dala. Kama kweli tuko sirias tunataka kutoa maovu nchini anzeni kwa wale wanao simamia sheria na haki za wana nchi, sio wenye nchi tuuu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...