Habari za leo Kaka Michuzi,

Leo nami ninahitaji ushauri kutoka kwa wadau wenzangu na nakuomba usibane comment yoyote hata kama mbaya ili tu niweze kupata mawili matatu kutoka kwa wenzangu.

Mimi ni Mwanadada wa Kitanzania na ninaishi hapa DSM pia sijawahi kuwa nje ya Africa ila anagalau nimeosha osha macho East Africa yote na nchi ya South Africa. 

Mimi ni mdada mwenye umri wa miaka 35 sijaolewa na sina mtoto. Nimejikuta kwa sasa nimedate na Nigerian- Yoruba ila yeye yuko UK tumekutana tu kwenye mtandao na amekuwa akinitumia vijinguo,perfume na hata saa nyingine vijipound, tunavyoongea anaonyesha ni mtu mzuri anajali na anamapenzi ya kweli kwangu. 

January tulikubaliana kuwa likizo yangu ya mwaka huu nitaenda UK kumtembelea halafu baadae yeye aje Tanzania kwa ajili ya utambulisho na engagement, sasa ikafika mahali tukabadilisha tukapanga yeye ndo aje kwanza ili akishakuja huku tuanze process za mimi kwenda kuishi naye. 

Kipindi hicho chote nilikuwa sijawaambia wazazi wangu na hata ndugu zangu na Nilipoona yuko serious nikamueleza dada yangu mmoja,hapo ndo nilianza kuchafua hali ya hewa maana wote wanaamini ninatapeliwa na tena wengine wanasema katumia uchawi wa Nigeria, mpaka imefika mahali najiuliza isije ikawa kweli ndo yale yalee watu wanasema mapenzi ni upofu mi sioni. 

Nashindwa jinsi ya kuwa convice ndugu zangu na wazazi wangu waweze kuamini kuwa ni mtu mzuri japo sijamuona physically, nimejaribu kuwaambia siyo watanzania wote ni wazuri na vilevile siyo wanigeria wote ni wabaya,lakini hata sieleweki wala sisikilizwi. 

Mi naombeni ushauri wenu maana wengi walioko nje ya Tanzania ninauhakika wanawafahamu sana hawa Nigerian ambao ni kabila la Yoruba na wanajua tabia zao. Maana kuna rafiki yangu mmoja kaniambia isije ikawa anaenda kukutoa kafara huko UK. 

Wazazi wangu wako vijijini wao hawana shida sana ila hawa watu walioko mjini ndo wanaochangia sana ukijumlisha na hizo Nigerian movie wanazoziangalia kila siku ndio wanazichukulia kama zilivyo. 

Naombeni nisaidieni kimawazo jamani, nitafurahia sana ushauri wenu najua utanisaidia sana.

Natanguliza shukrani za dhati

Mdau Mwenzenu katika Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 77 mpaka sasa

  1. maneno yako ya kweli si waTanzania wote wazuri au si waNigeria wote wabaya, lakini majority na zile tabia.
    Kwa upande wangu, nimeishi UK miaka kumi na watoto wa mdogo wangu bado wako huko, wawili wakike wamechukuliwa na waNigeria, kusema kweli hawana maisha ya raha. But at the end of the day its your life na wewe si mdogo hivyo... ningeshauri wewe ndio uwende kwake kwanza ukamuelewe vizuri, anaishi vipi, kazi yake, ndugu zake, rafiki zake etc... pia utapata nafasi ya kukutana na wabongo walioko UK utaweza kujadiliana nao kuhusu specific huyo jamaa...

    ReplyDelete
  2. Mtambulishe kwa wabongo wa UK wamwone na wamjue shemeji yao, LAKINI Kuna mambo hapa hayako sawa, unawezaje kumpenda mtu na kusema kwamba ni mtu mzuri wakati hujawahi kumwona, unaweza kuwa ni mtu mzima na mwenye uwezo wa kufanya maamuzi yako mwenyewe, lakini at 35 na hujaolewa inawezekana huwezi kufikiri vizuri hasa katika masuala ya mahusiano to me you sound despetate, nenda pole pole mwache yeye aje, umwone na uongee naye - masuala ya ndoa yaacheni kwanza nenda naye pole pole

    ReplyDelete
  3. Tumekuelewa dada yetu usijali, fungua profile yake huyo mtu jina lake kamili anakoishi sisi tutakupa data zake nasie pia tupo huku UK vile vile na miaka mingi sana na tumesaidia wengi tu wanaoingia kichwa kichwa kama kwenye biashara nk, lakini ni kweli wapo wanigeria wengine wazuri sana na wana roho nzuri kuliko hata vijana wa ki-tanzania isipokuwa kuwa kuwa mwangalifu tu na usiwe na kasi ya ajabu kwenye mapenzi.

    ReplyDelete
  4. pole dada vuta subira; mnigeria? Umeumia

    ReplyDelete
  5. Binti; Kuolewa na Kuto olewa yote ni mipango ya Mungu. Iwapo Mungu mpango wake ni usiolewe, ukilazimisha utaingia katika kikaango na hatimaye katika Mkaa wa moto. Jaribu kusali kwa nia na kwa dhati Mungu akufunulie kile alichopanga katika maisha yako. Binafsi nisinge dondosha moyo wangu kwa mwanaume ilihali tumekutana na tumewasiliana tu katika mtandao. Tafuta waliyopo karibu nawe macho kwa macho.

    ReplyDelete
  6. dada yangu,
    mimi ni mmoja wa watanzania waishio nje,masomoni.ukweli ni kuwa nimesoma nao na nimekuwa karibu na waafrika wenzangu kama ilivyo tija kwetu uwapo nje,kutokana na habari tuzipatazo, ni kuwa hilo kabila sio zuri kabisa,wala sio uongo dada yangu,kwao kuua na kula nyama ya binaadamu ni jambo jepesi, kwani wao wanaimani kuwa ndipo familia itakuwa tajiri.nakuomba na kukusihi, kukataa kuolewa na hao jamaa wa kabila hilo,najua utaona kuwa kama natania lakini ukweli ni hivyo.

    ReplyDelete
  7. Habari yako dada,
    Ushauri wangu ni kwamba katika maisha usipende kusikiliza watu wanasema nini ila fikiria maisha yako kwani nao wakati wao wanatafutwa pia waliambiwa maneno kama yako na wakaendelea na maisha yao mpaka sasa wanadumu. Ila nakushauri kwanza usiwe na papara nae subiri akifika ndo umuone anamweleko gani na ujaribu kumhoji sana juu ya familia yao hapo ndo utagundua kwani sio wote hupenda kuzungumizia juu ya familia zaoo kabla hajaoana kwani anajua unaweza kuvunjika moyo na ukakataa kuolewa so be careful.

    ReplyDelete
  8. Kaa mbali naye huyo Mnigeria dada. Tupo huku Ulaya tunawajua sana. Ni matapeli wa kutupwa. Na kwa taarifa yako, hakuna mnigeria aliyeko ulaya asiyekuwa na mwanamke wa Kizungu. Na hasa kwa ajili ya kutafuta makaratasi. si unajuwa kwao kimenuka siku nyingi dada?? Na pia kwao hawakosi kuwa na mke aliyemuoa. vinginevyo, oiga mbizi uone kina cha maji.

    Mdau

    Mpiga Box

    ReplyDelete
  9. Hawana maana hao watu wewe mimi nimeishi nao na naishi nao kuwa makini saana dadayangu unaweza kujikuta unakwenda Uk unaishia kuchezeshwa picha za ngono halafu ukajutia maisha yako kuna wanigeria wangapi kwani wao hajawaona? tafakari hawa wako kibiashara zaidi huwezi tu ukakutana na mtu kwenye internet halafu ukamuamini kiasi hicho

    ReplyDelete
  10. Muonje kwanza uwaeleze hao nduguzo na sifa zake kwenye malavidavi. Wasiwasi wao mkubwa ni wewe kuokota kipande cha penseli badala ya 'mtwangio".
    Otherwise jitose kichwakichwa halafu tutakusikia kwenye vyombo vya habari.

    Abiola Jr,
    Mafia kiduka cha juice

    ReplyDelete
  11. A.ShegillaMarch 24, 2012

    Dah!dadaangu polesana,unawakati mgumu mimi nakushauri usikatishwe tamaa ila yeye ndio aanze kuja TZ ndio uende UK na japokuwa anakutumia hela asije akakutumia GBP200 ikatokea siku akakuambia amekwama kwenye shughulizake akataka umsaidie GBP1,000 itakuwa ndiomwisho imekulakwako pole!!!!!!.

    ReplyDelete
  12. Mdogo wangu mimi kama mzee wa siku nyingi na ninaishi London kwa siku nyingi sasa ushauri wangu ni kuwa '..ki-ujumla hawa wenzetu wana utapeli wa hali ya juu duniani..' Ila sio wote wenye tabia hiyo. Kwa hiyo kuwa mwangalifu. Atimize ahadi yake ya kuja TZ kwanza ili upate fursa ya kumfahamu zaidi na ndugu zako pia wamwone. Kisha wazazi washirikishwe kwenye maamuzi ILA UAMUZI WA MWISHO UWE WAKO. Tumia pia ujasusi wa kupata taarifa zake hapa UK kwa kupitia wantanzania waishio hapa. Ni rahisi kupata taarifa zake kupitia social networks kama facebook. Kama ni mfanya kazi au vipi unatakiwa uhahihishe kuwa anakuambia ukweli - maana wengi huwa hawasemi ukweli. Unaweza pia kukuta anaishi ana mke huko kwao au hapa UK wa kabila lake au vinginevyo. Please do your home work first - never take in whatever he tells you at face-value or whole-sale!!! Mwita, London

    ReplyDelete
  13. Get a life girl, you must be mad or desperate,they are horrible people,why don't you look for the masai people are nice anyway is your choice good lucky girl

    ReplyDelete
  14. Habari yako dada mimi ushauri wangu umuulize kwanza yeye yupo mji gani hapo uingereza halafu omba msaada wa mtanzania yeyote aliyeopo karibu na mji anaokaa ili akamwangalie na pia ahkikishe hiyo kabila yake na hapo jibu utalopata ndio tutazidi kukusaidia mawazo zaidi,maana hawa jamaa maisha yao kama unavyoona hizo sinema zao ni kweli,na kama kweli ana mapenzi na wewe sijui maana huko uingereza kuna wanawake wazuri warembo na pia huko kwao pia,na hilo kabila ulilotaja hao watu aghalabu kuoa mtu sio wa kwao kama vile unavyoona wahindi hapo kwetu ni asilimia chache tu na mabaya kwao hawa jamaa ni asilimia mia usione kakuzalisha watoto 2 au watatu hiyo imani ya kuwa na watoto wala hana kabisa mnegeria yeyote yule,utakuta wanakaa apt moja 6 au 7 kila mtu anasufuria yake ya kupikia na hawakaribishani chakula hao watu hata chumvi hawaombani hao watu si mchezo,tofauti na sisi tunakaa apt moja watu kumi kunawatanga,zanzibar,wabara lakini chungu kimoja,huo ndio mfano kwa kifupi.

    ReplyDelete
  15. Aisee,pole sana najaribu kuimagine unavyotaabika na hilo jambo,mwenzio niliwahi kuwa na mtz lakini yeye yuko marekani mi tz tukapanga kila kitu nikawambia baadhi ya ndgu zangu wakafurahi sana,akaniambia anakuja likizo hivyo namimi niombe likizo job nikapewa lakini kilichokuja tokea baada ya kuja tz akawa haeleweki kona nyini kumbe ana mwanamke mwingine ikawa balaa nikatamani kujiua kwa jinsi nilivyokuwa nimempenda lakini nilimwomba Mungu alinisaidia mimi nikmwacha yeye japo nilimpenda sana,NB; NAJARIBU KUKWAMBIA KUWA USIMWAMINI SANA NA USIACHE MOYO WAKO UKAHAMIA KWAKE YAANI UWE 50/50 NA USIFANYE HARAKA KUINGAGE NAE TAKE TIME YA KUMCHUNGUZA.

    ReplyDelete
  16. labda nikushauri kitu dada yangu jambo hili lilishawahi kumtokea dada yangu nae alipata mwanaume humo facebook ila ye mganda akamwambia anaishi UK ila familia yake iko uganda akampa maneno mengi mazuri na ahad kemkem za ndoa akamtumia invitation letter ili aanze process za visa ya kwenda kuishi UK ila akamwambia asubir kwanza yeye huyo jamaa aje Tanzania ajitambulishe Home then amshuhulikie maswala ya viza na engagement kilichotokea yule bwana akamwambia ameshafika bongo ila alisahau mabeg yake airport wakat anaondka london hvyo amewasiliana nao wamemuahd mizigo yake iko salama hvyo watamtumia na uamuzi alioufikia na kuptiliza uganda moja kwa moja coz katika mabegi yake ndimo kulikuwa na fedha pamoja na card za benk hivyo hana pesa kabisa so akamwambia sister kama anaweza amfate uganda dada yangu nae alikuwa na vijisent vyake akaona sio issue coz nae alikuwa kipofu kama wewe baada ya kufika uganda na kuonana na huyo bwana kidogo azimie coz hafanani na mtu aliyetoka UK wanaishi maisha ya shida sasa ikabd yeye ndo amsaidie kuanzia kula mpaka kuvaa baada ya siku mbili ikabd amtoroke arud dar uso umemshuka aibu kibao........facebook imemponza sa hv hatak hata kuisikia na amejitoa so TAKE CARE MWENZAKO AKINYOLEWA ZAKO TIA MAJI......

    ReplyDelete
  17. Bi dada hongera kwa kupata mchumba ila pia nakupa pole kutokana na kukosa kuungwa mkono na ndugu, jamaa na marafiki zako.
    Ukweli penzi linapochomoza huwa wahusika hawasikii la 'muadhini wala la mteka maji', na kwao yeyote mwenye kutoa 'destructive criticism' huishia ama kuonekana ndiye 'mchawi' ama 'anawabania'.
    Ndugu zetu wanigeria wamekuwa wakisemwa vibaya sana katika kila nyanja ya maisha. Huambiwa ni majambazi, wanajishughulisha na madawa ya kulevya na kadhalika yasiyofaa.
    Kwa upande wako, sio rahisi na wala sio busara kumhukumu huyo mpenzi wako kama nae ni miongoni mwa hao. Lakini napenda kukwambia kwa mifano miwili iliyo ya kweli.
    Kuna dada mmoja wa kitanzania alimpata mpenzi kwa njia kama zako, na penzi likashamiri hadi kufikia kuletewa zawadi na kutumiwa pesa za matumizi. Hatimae dada yule 'akafa karibia kuoza' kwa bwana wa kinigeria. Mnigeria alikuwa akiishi Malaysia, na alimtumia nauli dada yetu wa kitanzania aende kwa matembezi. Almanusra yamkute mabaya, lakini kwa uwezo wa Mungu alifanikiwa kurudi nyumbani baada ya ubalozi kuingilia kati.
    Huo ni mfano mmoja, binafsi nna jamaa yangu wa damu kabisa yamemkuta yanayofanana na hayo, alipata bwana kupitia mtandao wa kijamii(facebook). Penzi lilimea na wakafunga ndoa pasi na kuwepo bwana. Baada ya kufunga ndoa, bwana analazimisha aende alipo...., ilikuja kugundulika kuwa hakuwa mtu mzuri na anajishughulisha na vitendo vya uvunjifu wa sheria. Ndoa ilibidi ivunjwe baada ya tafrani hizo.
    Kwa upande wangu nakushauri ungeachana nae, hasa ukizingatia wengi wa jamaa na ndugu zako hawaungi mkono. Ndoa inahitaji baraka za pande zote mbili ili ikitokezea hitilafu na matatizo basi wazee waweze kuingilia kati na kurekebisha tatizo/kutoelewana.
    Kuhusu kabila la Yoruba kuwa na matatizo hilo sina ushahidi nalo, zaidi ya kufahamu tu kuwa ni kabila linalopatikana zaidi kusini mwa Nigeria. Na wengi wenye kabila hilo ni waumini wa dini ya kikristo.

    ReplyDelete
  18. Yoruuubaaa,.....dada kimbia sana kama swala...teehteeh hilo kabila kwa n9ja kwenyewe wanalijua ni nuksi ingekuwa m igbo au hausa au hata fulani ningekushauri lakini yorubaaa ni balaa wao pesa mbelee mamaa..hizo pesa anazokutumia ni chambo ili anase samaki mzima teehteehteh...nadhani umenielewa...kwann usitulie tu hapo dar kuna wagogo,wasukuma - kama ww mweupe deal, wachaga n.k.tamaa iliua fisii heeheehee.

    ReplyDelete
  19. KUNA MOVIE YA KIMAREKANI INAITWA HOSTEL,NAOMBA UICHEKI KWANZA KABLA HUJAFIKIRIA,,,,,

    ReplyDelete
  20. Tafadhali saana dada kuwa mwangalifu saana kwanza huyo Mnigeria sifa zao zinajulikana ulimwenguni kote wameliza wazungu sasa wanatafuta waafrika wenzao haswa uwe mwangalifu na urafiki wa mtandao kwasababu mengi yanaandikwa ni uongo, anaweza kukuletea hata nauli lakini thamani utakayolipa kubwa.Unaweza kusgughulishwa au kutumiwa katika kazi inaweza kukupotezea maisha yako, tulia uishi Tanzania wewe kama unataka kuja kwasababu ni Uk hapa hakuna kitu zaidi ya propaganda kuwa maisha ya ulaya mazuri. Unataka kuniambia amekupenda kwa kipi mpaka atake uje ulaya ikiwa hapa kuna wanigeria kibao na kwao wengi wapo wengi wanataka kuja ulaya,huyo anataka akutumbukize katika shimo, mwambie aje yeye kwanza, utaona labda hana hata karatasi za kuishi kihalali ulaya atakupeleka kwa rafiki zake akutumie kama sex object au katika biashara zao haramu.

    ReplyDelete
  21. Mwambie aje yeye kwanza utakuta hana makaratasi tapeli huyo.

    ReplyDelete
  22. Dada, hawa watu wanapenda waTz etyi kwa sababu ni wapole, wanawake waki Nigeria wakali na hawataki mzaha na wanaume zao. sasa umepata ushauri mwingi, niliopenda mimi ni ule wa kutafuta data zake kwanza. Na pia uwende wewe kwanza UK, kama utaridhika ndio umlete bongo. Hivi akija yeye kwanza, kama mgeni utaweza kumjua details zake za Uk na kwao Nigeria? how will you do that? na akikupa penzi kubwa, na kuonesha hakuna mtu mzuri kama yeye utafanya nini? bora wewe utafute ukweli, kabla hujamkaribisha kwako. Wengi wao ni matapeli, na waongo sana. wengi wao no wenye kutaka utajiri wa haraka na majigamba mengi....

    ReplyDelete
  23. kwanza uelewe huyo tapeli hapa kisheria hatoweza kukuoa ukiwa huku kama una viza ya kumtembea, mtahitajika mrudi wote mrudi TZ muoane na muombe viza ubalozi Tanzania akuombee visa kama mke wake ili akuchukue uende nae na pia wewe utahitajika ufanye mtihani wa kingereza British council na upasi, ili ukubaliwe kupewa viza ya Uk, siyo kama utakuja huku na atakuoa. Sasa mwambie njoo wewe huku maana hata nikija mimi kazi bure hutoweza nioa huko maana sheria hairuhusu utamwona ataacha hata kuchat na wewe. Kama unataka kujua sheria za viza ya mke ulaya soma katika website ya Home office UK. Mimi nashangaa kwanini yeye haji kwanza, hana makaratasi huyo.

    ReplyDelete
  24. dada pole sana mm naona KAMA KIFO kinakuita na SIKU ZOTO asie sikia la mkuu ...... ukiingia tuu unakwenda kutolewa kafara mm kuna dada yang yang yameha mkuta alikua mbishi kama ww . dada tulia kama umesha kaaa miak 35 kwa nn uwe na haraka leo ??
    mwambie huyo mtu akupe ADRESS YAKE hapa UK tupe hapa alafu tukupe FILE LAKE
    \
    ni hayo tuu
    mdau UK

    ReplyDelete
  25. Dada yangu, najua uko katika wakati mgumu sana na hasa ukihofia umri wako. Lkn USHAURI WANGU KWAKO NI KWAMBA NDOA SIYO MAJARIBU NA NAFUU UJARIBU UKIWA HUKO HUKO TZ NA SI NCHI ZA WATU. Dada mwombe sana Mungu akusaidie, kwani ukiingia kichwa kichwa utaishia KUFANYISHWA BIASHARA YA NGONO HADI NA MBWA huku Ulaya. Pia uwe makini sana na mapenzi ya kwenye Internet, kwani matapeli ni wengi sana. Wewe usidanganyike na jina la Ulaya wala Nigeria, ni bora wewe una kazi yako hapo TZ na unaishi vizuri, huku Ulaya wengi wao hawana kazi Maalumu, hivyo wameishia kuoa mabibi wa kizungu ili waweze kuishi lkn hawaoni tatizo kukutoa kafara. Kumbuka kwamba, jinsi wanaume wa Kinigeria na Ghana walivyo matapeli, ndivyo hata wasichana wao wengi wao walivyo matapeli. Asikudanganye mtu, ebu angalia hata African Singles online wanaigeria walivyo wengi? Mimi ushauri wangu kwako ni kuacha tamaa na kupenda sana kupitia mtandaoni kwani KISHINDO chake ni kikuu sana. Kama unaweza, wasiliana nami kupitia lindinachingwea@googlemail.com ili nikutumie kisa cha kweli kilichomkuta dada yetu moja pale Uingereza. Kila la kheri na Mungu akusaidie katika maisha yako.

    ReplyDelete
  26. Kama ni Myoruba jua wazazi wake hawawezi kukukubali! Wayoruba ni mwiko kuoa nje ya kabila lao! Hata kama wazazi na Ma-professor so be aware usijekuta ameshaoa Nigeria kwa mke aliyepangiwa!

    ReplyDelete
  27. Pole sama dada yangu kwa wakati mgumu ulio nao, wengi wamekushauri maneno mazuri, japo mengine utaona kama yanakuvunja moyo lakini endelea kuchallenge, ushauri wangu ni kwamba Mungu wetu alituambia yakwamba Mke mwema au Mume mwenye busara mtu hupewa na Bwana kwahiyo wala usione kama umechelewa kuolewa bado wakati ukifika utaolewa kama kweli huyo mtu ni Mungu aliyemleta basi mutafunga ndoa kama kweli unamwaminiYESU hebu usichoke kumuuliza juu ya hiyo ni mwaminifu sana, kama ww ni wa imani nyingine basi usichoke kumwomba Mungu wako. Jambo lingine ushauri wakati mwingine unapotosha au unaweza kukusaidia lakini ukimwomba Mungu ni vigumu sana kukupotosha. Moyo ndio unaoona mbali sehemu ambayo ww hauioni sasa basi endapo ukisikia hofu juu ya huyo jamaa nakushauri achana naye, usiulazimishe moyo wako ukajautesa na mwili wako.
    Barikiwa sana na Mungu akushindie juu ya hilo.

    ReplyDelete
  28. Dada..wanalibeneke wameshiriki vema sana ..tena kwa hali na mali. Umepata ushauri lukuki..umepata sasa homework nyingine ya kuchambu ushauri. Fanya uamuzi sahihi na Mungu akuongoze. I still believe that you are better off in your own country, even without a man!! UK ni jela ndogo ...

    ReplyDelete
  29. Dada pima na zingatia ushauri wa bure uliopewa.Hizo ndizo sifa za wanaigeria kwa ujumla ingawa sio wote.
    Chunga na yahooyahoo hizo.

    ReplyDelete
  30. mapenzi ni hisia za mtu lakini kwa upande wangu sijawahi kumuona mnigeria mwema anaependa kutenda wema kwa huku nje ya africa,wao wapo kikazi zaidi full tym

    ReplyDelete
  31. Mwaka jana nilikwenda Nigeria , yani wale watu sikuwapenda maana UKABILA upo juu, hata unapomuuliza wewe ni nani lazima ataje kabila na kama ni north south west or east. Yoruba ndo Kabila kubwa likfuatiwa na Hausa au fulani then Igbo, then vikabila vingine vidogovidogo. Kuna dini ya Yoruba wanasali jumamosi sijui inamwabudu nani na wan nguo zao pia wanazovaa hiyo siku. yoruba ndio kabila kubwa lenye watu wengi wasomi na matajiri na hwapendi haya makabila mengine. Ukitaka kuwajua bado wana mambo(Traditions) ya ajabu angalia move zao hasa ile chanel ya Magic Afica Yoruba kama hutaishia kupata kichefuchefu. Watanzania kwa kweli tupo juu hasa kwenye maswala ya ustaarabu na kuheshimiana hasa kuheshimiana kikabila. Sasa kila mtu amekupa ushauri kuwa si watu wazuri kwa hiyo ni vizuri usikie sauti za hawa watu maana ndio malaika waliotumwa na Mungu kukuokoa. Kila wakati soma news za Nigeria kwenye mtandao huone mambo y ajabu kabisa yanayotokea huko kwao.
    Kuna mtu namfahamu alikutana na Mnigeria Mln city wakaanza relation kumbe yule Mnaigeria ni Criminal Bandits Mkubwa alikuwa amejificha tu hapa bongo.
    Kuna mwingine namfahamu aliolewa North Nigeria(sehemu ambayo ni maskini sana huko Nigeria) alipofika kule alijikuta yeye ni mke wa pilli. Sijui walimloga au aliugua ugonjwa wa kawaida but alikufa na wakamzika ndo wakaleta taarifa Tanzania. je hapa Tanzania unaweza kuolewa ufe ndugu wa mume wakuzike bila ndugu zako kuwa na taarifa? akili kichwani wako..........

    ReplyDelete
  32. Asilimia 99 ya waliokupa ushauri hapa hawakubaliani na penzi lako na Myoruba, dada toa address yake kwa wadau wa UK wakupe full data za huyo jamaa kwanza kabla hajaja bongo. Sikiliza maoni ya watu, usiingie kichwa kichwa utajapata taabu bure.

    ReplyDelete
  33. WEWE DADA NDUGU YANGU MIMI NI MKAZI WA HUKU ULAYA, TAFADHALI NISIKIE VIZURI NA UFUNGUE MASIKIO JAPOKUWA SIKUFAHAMU. USITHUBUTU HATA KIDOGO KUINGIZWA MKENGE NA WATU HAO MA NIGERIA NI WEZI, MAONGO, MATAPELI, UCHAWI ULIOKITHIRI,WALA WATU, NA CHA MWISHO KABISA HUYO ANATAKA KUKUTUMIA WEWE KWA KUMBEBEA UNGA ( KOKAINE AU HEROIN) HIO UKAE UNAJUA 100% KWANI HIVI SASA WANAWATAFUTA SANA WANAWAKE KUTOKA TANZANIA AU KENYA KWA FIX KAMA HIZO HALAFU UNABEBESHWA MADAWA YA KULEVYA, NA MATAJIRI WAO WAKO HAPO HAPO TANZANIA HAO JAMAA WENYE MAKANISA HAPO WANAOJIFANYA WACHUNGAJI LAKINI DILI ZAO NDIO KAMA HIVYO! USIKUBALI ANAKUDANYANYA WALA HAWEZI KUKUOA HUKU ULAYA AMEKOSA NINI WAKATI WANAWAKE WEUSI WAKO WENGI TENA WAREMBO SANA? WAKO WENGI TU HUO NI MTANDAO WA MATAPELI AMBAO UKO SANA UK, HOLLAND, NA GERMANY. MSAHAU HUYO KABISA ATAKULETEA MATATIZO NA UENDA ULAYA YAKO UKAJA ISHIA JELA MIAKA 15 NA HATOKUJA KUKUSAIDIA . NAKWAMBIA HIVYO KWA SABABU IMEWATOKEA WANAWAKE KAMA WATAU HAPA ULAYA NA WALITOLEWA KWENYE TV WANALALAMIKA WALIBEBESHWA MAUNGA NA HAO MANIGERIA. ......

    ACHA SIO MKAZI WA UK HUYO WALA HANA MAKARATASI YA UK, MAKARATASI ALIOKUWA NAYO NI FAKE WALA HANA ADRESS, USIKUBALI!!!!!!!!


    Mdau Ulaya

    ReplyDelete
  34. Shauri zenu nyie wanawake wakukutana na watu kwenye mitandao. wengi ni matapeli sio huyo tu mpaka wazungu ni hivyo wanawaonea wanawake wa kiafrika ambao hawajui kitu, ili wawadanganye. CAREFULLLY

    ReplyDelete
  35. inawezekana kabisa kuwa akawa mzuri but nakuomba sanasana kuwa macho na watu wa nchi hiyo, kabila la yoruba sio lakuogopa sana hususan ukilinganisha na makabila mengine ya nigeria, ila wengi wamewaumiza sana watu, nchi hii ninapoishi nimewaona wengi wakitendwa na hata mimi nishatendwa nao ila sio kwenye mapenzi bali kwenye wizi wa electronic ku access hela zangu benki. nipo hapa kwangu na jamaa wa kiyoruba nimeongea nae anasema uwe mwangalifu sana na ikibidi umjue yeye kwanza usifanye maamuzi haraka utajuta.
    chris

    ReplyDelete
  36. usipokuwa makini utaishia kwenye madanguro. Kuna watu wengi sana wamedanganywa kwa vitu vidogo vidogo kama hivi wakafanywa biashara na mbaya zaidi ya kushiriki unyumba na mbwa wa wazungu. achana naye na kata mawasiliano kabisa. Kutokuwa ulaya u USA kujikuharibie ndoto zako. huku ughaibuni si kama wengi wanavyofikiria, utajuta kuzaliwa mwanamke.

    ReplyDelete
  37. dada yangu mimi ninaishi ulaya kwa sasa na nina marafiki wa kinegirea, so labda nikupe kauzoefu kangu kidogo!!!

    Ishu dada yangu si utaifa,dini,wala ukabila, ishu hapa ni love, na integrity.naamini mpaka sasa mtakuwa mume like-ana so far, bado hamjapendana may be mpaka muonane, hioz GB anazotuma nikujaribu kukuongezea uaminifu tu kwake, hela is nothing kwenye love. ni wazo zuri kwanza yeye aje tanzania, najua kwa umri huo mtakapoonana mtajuana ukweli wenu. ila kuna kitu kimoja dada yangu, ukiishi huku ulaya, na bahati nzuri usiwe mtu wa kujirusha,vinywaji ,madawa n.k, kwa wanaume inakuwa vigumu sana ku socialize na wazawa, hivyo wanaume wengi wanajikuta wana miss sana ngono maana muda mwingi wanakuwa peke yao. kwa hiyo akiingia kwenye mtandao anatamani kuchat na mwanamke yeyote, so asije akawa ndo wenye tabia hii, hapo dada yangu atakutumia tu ,hamu ikiisha kila mtu anafata lake.na UK ndo inaongoza kwa watu wa tabia hii!!!
    Mdau chapaulaya
    Sweden

    ReplyDelete
  38. Dada yangu mzuri kwa kweli wanaigeria ninawafahamu kwa kiasi,wengine ninasoma nao,na wengine watoto wao wanasoma shule ya msingi na wanangu ni binadamu kama watu wote ila nakuonya usije ukawa umempenda kwa vile yuko majuu,Waafrika wengi waishio hapa Ulaya si kila mtu anamaisha mazuri kwa hiyo nakuonya, majutu ni mjukuu tulia kwanza,kwanini usimtafute mbongo anayekufaham na wazazi wanamkubali? Suala la ndoa ni jambo nyeti si lelema fikiria tena zaidi.

    ReplyDelete
  39. Binafsi nawafahamu sana hao jamaa tena kwa miaka mingi.

    Wayeruba wengi ni waisilamu na siyo wakristo kwa majority. Tabia ni kuwa, wayeruba wengi wameenda shule kwahiyo wengi ni waajiriwa na wapigaji. Wapigaji namaanisha 419, namaanisha OLUWALE, namaanisha wizi katika mitandao ya simu, bank, ATM na documents fake za kusafiria na kila aina ya docs. Katika africa mashariki, makao makuu ya mtando wao yapo Nairobi and very little of yeruba are in Uganda and TZ, na kwa Europe HQ yao ya wapigaji ipo Turkey na Greece. (Wayeruba waliopo TZ ni diplomat ktk ubalozi wao, Wachungaji ktk makanisa yao, na waajiriwa ktk private sectors)

    Wa igbo, wengi walio nje ya nchi yao hawajaenda shule na niwafanyabiashara, na kama wameajiriwa basi ni kwa ajili tu yakupata msingi ili wajiajiri baadaye. Kwa kibiashara namaanisha, aina zote za biashara. Wapo ambao hawataki kusikia habari za madawa ya kulevya na wapo ambao wanaota juu ya kuifanya hiyo biashara.

    Wayeruba mara nyingi wana ndimi mbili, hivyo kuwa makini sana na kauli zao.

    Kiujumla yao wapo wanaijeria ambao niwazuri kabisa na ambao wanamwogopa mungu lakini pia wapo ambo ni noma, na ndiyo ilivyo kwa watanzania, wamarekani nk. Kwa ushauri wangu, mapenzi yenu ni fake bkoz hamjuani zaidi tu yakwenye mtandao na simu, at least mngejuana kwanza kabla kufikiria mambo ya ndoa.

    #angalizo, wanaijeria huwa wanawachumba au wake back home. Kwa wale ambao hawana au wameamua tu kwa makusudi kuoa nje ya Nigeria, mara nyingi ili ndoa idumu, mwanaume inabidi awe strong kukabiliana na wingu na presha ya wazazi, ndugu na jamaa zake ya kwanini ameamua kuoa mwanamke asiye na asili yao.


    Kibanga Msese

    ReplyDelete
  40. Achana naye huyo atakutapeli mtakutana atakufanya.. ataondoka.Mbona umri wako bado mdogo tu.

    David V

    ReplyDelete
  41. Nimependa watanzania wa London walivyolipokea hili.

    La zaidi mnaweza kumsaidia dada yenu, aje tu naye aone mji wa London kwani simnaweza kumkaribisha afikie kwenu then mtamfuatilia huyo bwana pamoja mkiwa naye.Muda mzuri wa kuvisit huko ni Olympic.

    God bless U all

    ReplyDelete
  42. kweli mwenzetu huko njia panda. hapo kuna baya na zuri mpenzi kwenye facebook wengi niwaongo sana. ila mwambie haje TZ ukimwona utajua mkweli au tapeli. chunga sana usije umia nibora kuishi mwenyewe. pole sana dada

    ReplyDelete
  43. Dadangu.....kila taifa lina watu wazuri na wabaya, lakini kwa kukaa kwangu West Africa ogopa sana Mnigeria.......ogopa mno......niko.

    Niko USA kwa sasa, na majuzi nimekuta na dada mweusi wa Mmarekani katika mazungumzo ya kawaida tu...alipogundua mimi si Mnigeria alishukuru mno ...na kusema kuwa kama kuna watu wamewaliza dada weusi wa Kimarekani basi ni wanigeria....hana hamu nao......kila mnageria anaonekana ana hila fulani ndani....hivyo nenda pole pole dadangu.....nakushauri gangamuka hapo hapo nyumbani upate wa kwako....!

    ReplyDelete
  44. DADA NAHISI USHAURI WA WOTE HAO ULIOPEWA UNAKUTOKA,,KWA HIYO CHAGUA MBIVU AU MBICHI..MIMI SIANDIKI MENGI SANA ILA KWA WANIGERIA WA HAPA UK,,NI MATAPELI SIJAWAI ONA,,YAANI MPAKA WANAINGIZA UTAPELI WAO KATIKA UPANGAJI WA NYUMBA,,SISI WENYEWE TULIKUWA TUNATAFUTA NYUMBA YA KUPANGA,BASI NDO TUKAONA NYUMBA NZUUURI MNO KATIKA NET,,NA NAMBA ZA SIMU ZIKO HAPO HAPO IKABIDI TUKAMPIGIA HUYO MWENYE NYUMBA,,
    YAANI CHA KUSHANGAZA,ETI ANATUULIZA KAMA KWELI TUKO SERIOUS TUNATAKA NYUMBA TUKAMWAMBIA NDIO,AKASEMA KAMA MNATAKA KWELI,BASI NYIE MTUMIENI NDUGU YENU YEYOTE PESA YA HIYO RENT KWA NJIA WESTERN UNION KISHA NITUMIE KATIKA EMAIL RISTI YAKE,ILI NIJUWE KAMA KWELI MNAWEZA KUAFFORD KULIPIA,,MAANA MIMI MWENYEWE NATOKA MBALI,MPAKA NIENDE HUKO LONDON,ISJE KUWA MKANIPOTEZEA MUDA WANGU KUMBE HAMNA UWEZO..NA HIYO NI NYUMBA TULIACHIWA URITHI NA WAZAZI WETU,,
    YAANI HUYO KIJANA ANA MANENO MENGI,,MIMI NIKAMWAMBIA MWENZANGU HIKI NI KINGEREZA CHA WANIGERIA,,YAANI HAWA WATU,,NAONA UTAPELI WAO UMEFIKA MWISHO,,MIMI NILISEMA TUTUME HIZO PESA KISHA TUITOE HARAKA,KISHA TUMTUMIE HUYU MTU MALIPO YAKE,,KISHA WAPELELEZE KOTE MTU ATAKAE INGIA OFISI YEYOTE KUCHUKUA PESA KWA JINA HILO,,AKAMATWE,,LAKINI BAADAE TULIONA UPUUZI HAWA WANIGERIA HAWAWEZEKANI HAPA DUNIANI,
    NI KWELI WAKO WASICHANA WAREMBO SANA WA KINIGERIA,,LAKINI HAWA MABWANA HAWAWEZI KUWATAPELI WANATAFUTA WATZ MASIKINI WAKUUWENI AU WAKUTAPELINI,,,NA KWA UCHAWI,,,NDO MATOP,,,WAZAZI WAKO MASIKINI HAWAJUI CHOCHOTE ILA UTAWATIA SIMANZI YA KUPOTELEWA NA BINT YAO,,,BORA UOLEWE NA MUTZ MWENZIO HATA KAMA NI TAPELI,,LAKINI NI MTANZANIA MWENZAKO

    AHLAM... UK

    ReplyDelete
  45. DADA YETU MPENDWA WOTE HAO WANAKUPENDA, YANGU NIKIANZA KUKUELEZA HAYATAISHA, TAFUTA HAPO NYUMBANI WENGI SANA WAPO DADA, LABDA KAMA UNACHAGUA SANA LAKINI KAMA NI KUCHAGUA PIA ULISHAANZA KUNOA VIBAYA SANA . SALA NA SUBIRA PIA MUHIMU.

    ReplyDelete
  46. Mie nimeishi sio UK tu bali na nchi nyingi za Ulaya na nimekuwa karibu sana na wanaigeria. Kweli wote sio wabaya. ILA kazi wazifanyazo ulaya sitaki nikufiche dada yangu WATAKUFANYISHA KAZI YA KUJIUZA na hela watakula wao. Hivyo hata ukimwita aje Tz atakuja na atalipa kila kitu ila yeye anaweza kuwa kama dalari tu, anajua ukifika huko hela zake zitarudi tu. Atakuchezea week moja na baada ya hapo utakabidhiwa kwa wenyewe. Angalia ile film ya Kanumba ya "Fake Smile" pale Wathum anapopatiwa kazi na mama mmoja. Mwisho uamuzi ni wako.

    ReplyDelete
  47. Tusaidiane katika hili coz wewe ni dada yangu kwa maana ya MTZ mwenzangu. Mimi naishi USA, Houston Texas, mahala ambapo wTZ,Nigerians na Africans wengi inaaminika wanaishi katika nchi hii. Nimekua karibu sana na hawa jamaa wanigeria, nina marafiki wengi kutoka huko.Nigerians kwa mtazamo wangu ni watu poa sana na wengi wao ni watu wa dini kama wabongo wengi tulivyo, sitaki kumtazamia huyo jamaa kama ni mtu mbaya anaweza kua mtu poa sana na mwenye nia njema tu tena sana ila huwa wanatabia zao fulani ambazo sio tulizozizoea so inabidi ucheck kama unaweza kuendana nazo. Kuna watu sana tumeshuhudia wanafunga ndoa kwa kukutana online and it does work out kwao.Nigerians movies zimepotosha wabongo wengi kuhusu them Nigerians kama ulivyosema sio Nigerians wote ni wabaya, wabongo kibao wameolewa na Nigerians pande hizi na wanaishi poa sana. And, sio kuwasifia ila honestly them Nigerians wanajua kutafuta pesa bwana sio kama sisi hawa jamaa wanajua kutafuta hela kweli kweli, wewe kwenda UK kwanza that would be better option and hooking the dude with wabongo wa UK nayo ni idea nzuri sana. Sorry for writing an essay, hope it will help in some ways.

    ReplyDelete
  48. hivi nyie wanawake mtakua lini nani alikuambia facebook ya kutafutia mwanamme, umelogwa wewe na hata aibu huna nampenda na vitu ananitumia perfume ni shilingi ngapi uk bana mbele ya uhondo wa mwanamke unweza hata kuhongwa milioni kumi kitu ambacho hata bongo watu wanahongwa, mama tafadhali hatutakikuja kusikia tena ahh nimeumizwa nataka kujiua cos huko ndio unakoelekea, wanigeria wao kwa wao wenyewe kuoana ni shughuli, kabila moja kwenda jingine kwao ni tabu not to talk about another nationality plse acha huo ujinga kama bongo hauwezi olewa bora ukae bila mme maana kinachofuata kwako naona ni kifo tu stop being an idiot

    ReplyDelete
  49. Bore uendelee kuvuta subira, na INSHA ALLAH, MWENYEEZ MUNGU atakujaaliya mwenye kheri na wewe, hivyo vyote anavyojaribu kukuhadaa navyo, kaa fikiri na upime, usije ukaghilibika bure! Ukaja kutaamaki keshakuhadaa, stahamili kwa yote, unajuwa sometimes kinachotuponza ni kutosema na shida zetu na kutokuwa na stahamala, basi khatma yake ndo hapo mtu unakuja kukuta umesharubuniwa kwa maneno matamu na mambo ama vishawishi vidogo vidogo au kwa vitu hivyo vidogo vidogo na hivyo vi £'s anavyokutumia, Pia ukabila na utabaka wanao pasina kujali kuwa wote wametoka nchi moja. Hivyo hadhari kabla ya hatari, mana majuto ni mjukuu. Kila la kheri na INSHA ALLAH, MWENYEEZ MUGNU ATAKUONGOZA PENYE KHERI NA WEWE NA KUKUNUSURU PENYE SHARI, khususan katika jambo hilo. Kila la kheri.

    ReplyDelete
  50. hili limwanamke linatia hasira kweli ndio maana hauolewi sababu hicho kichwa hakina kitu kabisa, uko too stupid, how desperate a u , this is crazyy

    ReplyDelete
  51. pole kwa mtanganyiko unaokusibu. kuna ndugu zako wa TZ wengi humu wako ulaya. ngudu wa UK, tafadhalini mpeni contact zenu huyu dada yetu, ili atoa info ya huyu ndugu mmtafutie habari zake, Dada nawe toa email yako (tengeneza maalum kwa shughul hii nzito)ili wadau wakusaidie from individual level. na huwezi jua unaweza ukapata mchumba humu humu anayeongea kiswahili kama sio lugha ya mama yako!

    ReplyDelete
  52. We mdada!
    Ikiwa ishu ni kwenda nje ya nchi, mbona kuna wabongo wa msimamo wanatafuta wachimba Bongo? Hapo umekanyaga pabaya, nashawishika. Jamaa ana ajenda yake ya siri ataka akutumie kutekeleza. Kingine ni kwamba jamaa hao wana mtandao dunia yote. Si ajabu kufikia sasa ameshafuatilia maisha yako na anajua mambo yako mengi sana. Kuna harufu ya panya aliyekufa kwenye hiyo kesi yako. Yaliyosemwa dhidi yako ya ukweli ndani yake. Uamuzi wa mwisho kwako. Kuonywa umeonywa, naukuombe usije ukawa kama sikio la kufa. Usisite pia kutushirikisha emaili yako!

    ReplyDelete
  53. Mdau mimi kwa uzoefu wangu wa ughaibuni ni kuwa mtu akipata makaratasi tu anakwenda kwao kuchukua mke. Watu wote ambao hawana makaratasi ndio wanahangaika kutafuta wanawake mitandaoni. Waliojiripua wote hapa ughaibuni wanafanya kazi hivyo wanapesa kama watu wengine lakini hawawezi kutoka nje ya ughaibuni mpaka wapate makaratasi. Mwanamke yeyote anayejua mambo ya ughaibuni anamuuliza mwanamme je makaratasi anayo? Hapa Zenji wazee wote sasa wamepiga marufuku kuoza watoto wao kwa watu wa ughaibuni ambao hawana makaratasi. Kwa tamaduni za Bongo tulia kwa wazazi mpaka upate riziki yako.

    ReplyDelete
  54. Maoni haya yote naona yatosha kuandika Thesis

    ReplyDelete
  55. Uwii dadangu usijaribu, hapa si wivu wala nini na kibaya zaidi hata haumfahamu. Wanaija ni waongo sana kama ulivyoambiwa lazima wanaoa kwao ndoa ya kimila afu wanakuja tafuta mzungu wa karatasi afu wewe akutumiee wee utakoma. Muombe Mungu akupe mtanzania. Nimeolewa na mkaka mtanzania kuna panda na kushuka kwenye ndoa lakini at the end of the day tunaonge lugha moja na tunaelewana baadae. Fikiria sana

    ReplyDelete
  56. That sh**t crayMarch 25, 2012

    Don't do it...really you found love in the internet...come on u can do better than that...or there is plan B here...mmmhhh money meoney...what starts in laugh ends in tears...don't forget AIDS KILLs.
    we shud marry at the mall type..waoohhhhh

    Face ur fears miss Tausi/kasuku/mrembo

    Xcuse my french but im in france.

    I'M DONE.

    ReplyDelete
  57. Konyagi 7 times.March 25, 2012

    I like geez said she shud date masaai that so cool n funny....we shud marry at the mall type...money money...internat dating r kiddin.

    ReplyDelete
  58. NIMEOLEWA NA M-NIGERIA(YORUBA) FOR 10 YEARS NA TUNA WATOTO WATATU. HE IS A LOVING GUY, FAMILIA YAKE WAKO POA KINOMA. ANANIJALI MIMI NA NDUGU ZANGU. KABLA YA HAPO NILIKUWA NAMDATE KIJANA WA KI-TANZANIA(MHAYA)SINA HAMU, ALIHARIBU CREDIT YANGU NIKAWA HATA GARI LA MKOPO SIWEZI KUNUNUA.

    KWA HIYO HATA WABONGO MATAPELI WENGI TU...AFTER ALL LIFE IS TOO SHORT, UKISHIKWA MAHALI SHIKAMANA BY THE TIME ANAKUTAPELI NA WEWE UNAKUWA ULISHACHUMA VYA KUTOSHA!

    ReplyDelete
  59. Wabongo mtaacha lini fikra za zamani, kwanini kila siku mnafikiria tu ndani ya box? Nani kawaambia hamna wapenzi wanaokutana online? Demu wangu sikumpata online ila naamini kabisa kuna mapenzi ya kweli pia online, mapenzi ni popote nyie acheni mambo ya kizamani, shida za bongo zinawadanganya wabonog wengi kwamba mtu kutoka bongo tu ndo anamapenzi ya kweli. Niko USA naona watu kibao na wapenzi wao waliomeet simply online na wako poa kuliko baadhi ya ndoa za uongo za kibongo. My advice go with the Nigerian dude he might be your true lover, not guaranteed thou, ila sitaki kwenda na mawazo ya wabongo wengi. Wishing u luck dada

    ReplyDelete
  60. This is very simple
    Kama anaishi UK kwa kibali na ni mtu asiye mbaya...
    1. Mwambie aje TZ
    . Mwambie akija TZ mwende Ubalozi wa Uingereza hapo Dar kuverify his Residency ya UK
    3. Lazima upate security clearance pia.

    Nakwambia ndio utakuwa mwisho wa kumsikia huyo bwana lakini kama ni mtu aliyekupenda na hana hila mbona hata Mbinguni ukimwambia aende atakwenda

    Ngoja nikwambie Mwanamume akimpenda mwanamke, atamfuata popote pale duniani hata kama ni sayari nyingine.

    ReplyDelete
  61. Michuzi
    Hili suala la Wanageria kuwatafuta wasichana wa KTz linaongezeka sana, tunaomba polisi watoe tahadhari kwa dada zetu, kuwa hali kama hii ni Hatari sana.
    Wenye matatizo ya huyu dada wako wengi sana Dar lakini hawasemi wengine wameibiwa kwa kutoa accounts zao online.

    Wape watu wa Financial Intelligence Email ya huyo Dada aliyekutumia waangalie email, watajua jina lake analotumia, halafu wao wataangalia ametumiwa pesa na nani, waangalie jina la Mtu aliyemtumia pesa ametuma akiwa wapi na jina lake kamili.

    Kama yuko UK, watabadilishana Data na idara za kiserikali za Uingereza kuhusu huyu bwana na mwishowe ikajulikana. Au anawezekana akawa ndo mchezo wake na tunaweza kuokoa dada zetu kwa utapeli kama huu

    Tunaweza kumwokoa dada yetu huyo na maisha yake yakawa marefu..

    Au kama hili ni creative thinking yako kwa ajili ya kuokoa dada zetu basi tunashukuru ujumbe wamepata

    Mdau

    ReplyDelete
  62. DADA cha kwnza ple mm ckutaka kuhangalia maoni ya wenzangu coz mm ni mvivu wa kusoma na waliotoa maoni ni weni,ila cha msingi twende kwenye pwent ww unaonyesha unataka kuolewa ilo moja pili watanzania wengi wakisikia hatari za ulaya wanachanganikiwa sna ila akuna naigerian guy anaemtaka mtu tofauti na nchi yke pasipo na faida hamini na husihamini utakuja kukumbuka kuna vtu mwanzo wa mausiano yenu ulimueleza sasa yy ndo anataka ayo uliyo mweleza mwazo anufaike nayo hao watu waogope sna dada mm npo uku ulaya karibu miaka 24 nilikuja nikiwa na niaka 21 nimekaa sna na wtu tofauti hasa hao wanaigeria unajua mtu ukiwa unatafuta maisha nimezunguka sna uku nchi mbali mbali wakati nasaka maisha na kla napoenda nakutana nao na lzma mwisho wa siku waharibu ila ww pima hatua mwenyewe

    ReplyDelete
  63. tafuta msichana yeyeto aliyesoma malaysia atakuambia,au muulize wema sepetu analijua hilo,hawa jamaa wanafanya utapeli na kutumia pesa kwa kumpata binti wa kitanzania ni fashion kwao,yaani nikisia msichana wa kitz anakwenda malaysia lazima wamdake tu,kule malaysia vijana kwa wazee wa kinigeria wanawachezea sana hawa wanafunzi wa kitz,then wanawatosa,mimi sikushauri kabisa,alafu mapenzi ya mtandao siyo utamaduni wetu kabisa ni sawa na ndoa ya mkataba husioujua,piga kibuti tafuta mtz mwenzio najua unaye tu.

    ReplyDelete
  64. NAKUTAKIA MAFANIKIO MEMA, MIMI NIMEISHI SANA ULAYA KABLA YA KUAMUA KURUDI NYUMBANI UENDELEZA GURUDUMU LA MAISHA, KWA SASA NIPO NJE YA NCHI, TAFADHALI WASILIANA NA MICHUZI AKUPE EMAIL YANGU, NAMI NITAKUSADIA KUJUA UKWELI NA UONGO WA HUYO JAMAA, NINA NDUGU NA MARAFIKI WENGI SANA NCHINI UINGEREZA, TUPATIE DETAILS ZAKE NA NITAKUOA BLACK NA WHITE KUHUSU HUYO JAMAA, ILA ITABIDI UWE NA SUBRA KIDOGO. NAKUTAKUTAKIA MAFANIKIO MEMA, KWANI KILA MNAIGERIA SIO MBAYA, NAWAFAHAMU KAMA WADADA 3 WAMEOLEWA NA HAO JAMAA NA WANASHI VIZURI SANA, MIMI NILIWAHI KUISHI NAO KWA MIAKA ZAIDI YA MITATU. WAO NA[ENDA SANA WATANZANIA KWA KUWA HAWASHAUTI KAMA WANAWAKE ZAO. KWANI MWANAMKE WA KINAIGERIA NA MWANAUME WAKIONGEA HUJUI NANI MUME NA NANI MKE. WOTE SAUTI JUU KAMA WANAGIMBANA, KILA MTU ANAIJUA PESA.

    ReplyDelete
  65. Umekaa Bongo hakuna mwanaume aliyebisha hodi kwenu wala uliyemuona anakufaa! leo hii unaolewa na 'SANAMU'? mie hapo ndo nauona huu ni uendawazimu mtupu!

    ReplyDelete
  66. dada pole kwa kuchanganyikiwa huko....nakushauri achana kabisa na huyo mwanaume,wale wako kama wahindi lazima waoane wao kwa wao...na hakuna mnaijeria ambaye ana umri fulani wa kuoa asioe...tena anaoa wa kwao...utapata tu mwanaume wa hapa nchi...angalia isije ikawa ni kwa sababu umesikia yuko uk..uk huko maish as i mchezo..niliwahi kusikia huko SA kwamba wanaigeria wanaoa waSA wanaenda nao kwao,wanawaua,wanapasua tumbo na wanaweka dawa za kulevya,then wanasema huyu lazima akazikwe kwao kutokana na utamaduni wao...kumbe wanasafirisha madawa.wakishazika ,wanahire watu wa kwenda kufukua mwili na kutoa dawa.

    mimi sikushauri uendee lee na uhusiano huo mana am tooscared.

    halafu pia kumbuka figo zinahitajika sana huko ulaya..unafika huko oooh mara aliumwa kumbe umefixiwa watu wakapata figo za kuuza..


    fikiria hili swala mara mbili
    tena muombe mungu kama wewe ni mtu wa imani.

    ReplyDelete
  67. Mimi ni mwanamke na niko ulaya pia. Kabla sijaja huku uk nilisikia mengi mno tena sana kuhusu wanigeria. Lakini dada yangu usisikilize maneno ya watu, wakati mwingine watanzania tunazidisha chumvi. Nakubaliana kabisa na mdau wa USA anayeishi Houston na mwanamke wa kitanzania aliyeolewa na mnigeria na wamezaa watoto 3. Hawa watu bwana wanajua kupenda..wanalugha laini wanajua kumjali mwanamke na watoto. Ni kweli matapeli wapo lakini sio wote. Pia wengi ni wasomi mno. Watanzania hatuwezi kuwafikia hata kidogo. Tatizo ni kuwa ukikutana na tapeli mmoja ni tapeli hasa. lakini majority wanapenda kusali mno. Na mimi tangu nimekuja huku Ulaya hao ndio marafiki zangu, na ndio nasali nao kwani nawaogopa watanzania kama ukoma kwasababu ya majungu, wivu, kutokuwa na maendeleo. Wanaume wa kitanzania wengi hawajui mapenzi, kama wanajua mapenzi wasingekuacha mpaka umefikisha miaka 35...hivyo acha kusikiliza maneno ya watu mchunguze kwa makini wewe mwenyewe na mwisho wa siku amua wewe mwenyewe. nafikiri kosa ulilolifanya ni kuwaambia ndugu zako kabla hata hujamuona huyo kijana. ilitakiwa umuone kwanza umchunguze kwanza halafu ndugu zako ungewaambia tu nimepta mchumba baada ya kuridhika naye.
    Mi mwenyewe hapa nina date Mnigeria na tunakaribia kuoana baada ya kuridhika naye....sio ma presha niliyokuwa napewa na vijana wa kibongo. dada akili kichwani mwako usisikilize ya watu fanya uchunguzi na maamuzi mwenyewe. Mbona Eliza wa Big brother ameolewa na kevin mnigeria na anafurahia ndoa yake. Hawa watu wanajua kupenda asikwambie mtu. Yani anakufanya mwanamke unaijua thamani yako...

    ReplyDelete
  68. nianze kwa kukupa pole dada yangu kua katika maamuzi ya kujenga au kubomoa maisha yako, na baada ya pole niweze kukupa mambo muhimju ya kuzingatia katika wakati kama huu wa dilema kwako.

    kwanza inaelekea upo desperate kutaka kuolewa either kwa kuona labda umri umekwenda sana au kwasababu nyingine, so ningependa hilo uondoe kichwani kwanza na ujione kama ndo binti ambae bado una muda wa kutosha mbele yako.

    maoni waliyotao wadau mengi ni ya kweli, nami nataka nikupe kisa kingine kama cha kwako na kwa staili hiyo hiyo mdada alisafiri kumfuata mchumba hukohuko ulaya na mwishowe aliishia kufanyishwa umalaya.

    1. naomba nikupe ushauri kidogo wa kuzingatia kama utapenda, najua kua wengi husema kua LOVE IS BLIND, but usiruhusu hili kwa wakati huu. pia usikubali YOUR EMOTIONS OVER RULE YOUR REASONING CAPACITY kwani kwa ufupi ukifanya hivyo utakuja jutia maisha yako yote yaliyobaki tangu sasa.

    2. tumia akili zako zote kukusanya taarifa za huyo jamaa kabla ya either yeye kusafiri kuja bongo au wewe kwenda uk, ila usimuweke huyo jamaa katika hali ya wasiwasi wowote.

    utakapojiridhisha na taarifa zote utakazopata bado usifumbe macho na akili, kubali wewe kusafiri kwenda UK, ILA CHUKUA TAHADARI IFUATAYO;

    KABLA HUJASAFIRI TAFUTA RAFIKI MMOJA AU WAWILI WALIOKO EXACTLY KATIKA MJI ANAKOISHI JAMAA WAELEZE UKWELI BILA KUFICHA NA HASA UTAKAPOAMUA KUSAFIRI KWENDA HUKO WAJULISHE HADI SIKU YA SAFARI YAKO NA ADDRESS YA SEHEMU UTAKAYOSHUKIA. PIA OMBA CONTACT ZAO KAMA SIMU, ADDRESS WANAKOISHI NK.

    KAMA UTAPATA WORLD ROAMING SIM CARD ITAKUA BOMBA SANA KWANI ITAKUSAIDIA KWA HARAKA

    UTAKPOFIKA HUKO WASILIANA NAO KWA KARIBU KWA NJIA YA SIMU ILA WAELEZE KAMA WATAONA KIMYA KWA MUDA FULANI BASI WAKUTAFUTE NA KAMA KUNA TATIZO UNAWEZA PATA MSAADA.

    ITUNZE SANA PASSPORT YAKO (NINA SABABU ZA MSINGI SANA ZA KUKUAMBIA HILI)

    UTAKAPOAMUA KUSAFIRI BASI NI VYEMA UKABEBA FEDHA ZA EMERGENCE AU KAMA UNATUMIA KADI YA BENKI UTAKAYOWEZA KUTUMIA IN CASE OF EMERGENCE.

    KUMBUKA:

    MAANDALIZI YOTE HAYA NI YA KWAKO NA USIMUELEZE HUYO MTU HATA KIDOGO

    UKIENDA HUKO NAJUA MTAINGIA KWENYE MALAVIDAVI (IN BED I MEAN) SO USISAHAU KINGA KWANI U KNOW NOTHING ABOUT HIS PAST LIFE IN SEX, MARRIAGE, RELATIONSHIPS AND AFFAIRS.

    BEST OF LUCK IN YOUR DECISIONS
    EDDY
    MDAU INDIA

    ReplyDelete
  69. NI KWELI WA-NIGERIA WANAJUA KUPENDA KUPENDA KULIKO KAKA ZETU WA KIBONGO. MWANAMKE UNASIKIA RAHA UNAPOONYESHWA MAPENZI. PIGA UA MIE MWANAUME WA KIBONGO HATA KWA BUNDUKI SIMTAKI! dada mpe chance huyo mpopo, maoni mengi hapa ni ya akina kaka wa kibongo wasiopenda maendeleo ya wanawake. mruhusu aje kukutembelea tanzania, utajikuta unaishi maisha ya paradiso ohooo!

    ReplyDelete
  70. Hard in da paintMarch 25, 2012

    Hahaha tunafikiria ndani ya box...unafikiri kuolewa na mzungu au mnaija au kuishi nje ya TZ ndo kufikiria nje ya box...we give facts here...cut ur weak emotions...na wewe uliomdate m-tiz wote mlikuwa wezi how can someone use ur bank card without knowing especially ouside the marriage...Don't dream for easy success ...some people make it happen...just be patient girl...Mungu hawai wala hachelewi...kwani love happens naturally but again pysically not in the internet...unless u got other plans.
    another fact u will get wat u want but not wat u need...I ask u politely don't do it...coz once ur in u cant go out(forever n always) katika nchi za watu...wahamiaji wengi siotimamu...meaning stress kibao...

    ReplyDelete
  71. wewe dada pole sana,kwanza kwa kumpata mtu wa kabila hii,mimi naona kama ni kifo kinakujia tena achana naye usiangalie nyuma.wanawake wa kitanzania london wapo wengi tena wazuri unadhani hajatuona?kimbia,kimbia,kimbia tena mbio za farasi.mdau Dalston london.

    ReplyDelete
  72. Dada, please ignore all the negative comments and make decisions based in your judgment. Usiwasikilize watu ambao hawajawahi kuwasiliana an huyo mchumba wako. It is absolutely possible for you to find a loving and meaningful relationship with someone online, yes even a Nigerian. Mliotoa maoni negative yOu should be ashamed of the way you are judging another human based on their nationality and tribe. You don't know the person so quit jumping to conclusions based on all the nollywood films you have watched. Ndio nyie mkiangalia Harry potter, true blood , etc mnadhani wazungu wachawi. Besides the negative stereotypes of Nigerians, they are also known to be Hardworking, god fearing , and brilliant people. Sisi tunajulikana Kama wachinja albIno tu. stereotypes work both ways. In short dada, nakushauri umsihi aje kujitambulisha nyumbani kwenu kwanza to show that he is serious about you, na pia ili ndugu na marafiki waweze kumfahamu kwa sura na kwa tabia. Take your time and don't commi to anything until you're comfortable with your decision to be with this man. All the best.

    ReplyDelete
  73. mwanaume wa ki nigeria atakupigia simu hata mara tano kwa siku na i love you kibao....janaume la kibongo utapigiwa simu mara moja kwa mwezi tena mpaka mgombane hasa... mfyuuuuu....Go girl usisikilize maneno ya watu...mkishindwana kwani utakuwa wewe wa kwanza kuachana!!!

    ReplyDelete
  74. Je, unataka kununua figo au unataka kuuza figo zako? Je! Wewe
    Kutafuta fursa ya kuuza figo zako kwa fedha kutokana na
    Kuvunja fedha na hujui cha kufanya, basi wasiliana nasi
    Leo na tutakupa kiasi nzuri kwa figo zako. Jina langu ni
    Daktari Lucas ni mwanafilojia wa Neph katika kituo cha matibabu cha UBTH. Yetu
    Kliniki ni maalumu katika upasuaji wa figo na pia tunashughulikia kununua
    Na kupandikizwa kwa figo na kuishi mshirika sawa.
    Tuko katika India, Uturuki, Nigeria, USA, Malaysia. Ikiwa wewe ni
    Nia ya kuuza au kununua figo tafadhali usisite
    Wasiliana nasi kupitia barua pepe. Doctorlucas633@gmail.com

    ReplyDelete
  75. AnonymousJune 13, 2019

    Je! Unatafuta fursa ya kuuza figo zako kwa sababu ya shida ya kifedha, tuwasiliana na sisi leo kwa uangalifu, tutakupa kiasi nzuri sana kwa figo zako. Sisi ni maalumu katika kupandikiza figo na pia kununua na kuuza ya figo na wafadhili sawa. Ikiwa una nia ya kuuza au kununua figo, tafadhali wasiliana nasi kupitia barua pepe: sathyaspecialisthospital@onet.eu
    Nini App: 919902828861

    ReplyDelete
  76. Je! Unataka kuuza figo yako kwa $ 800,000USD? Ni wewe
    Kutafuta fursa ya kuuza figo yako kwa pesa
    Kwa sababu ya kuvunjika kwa pesa na haujui la kufanya
    Fanya, basi wasiliana nasi leo na tutakupa nzuri
    Kiasi cha pesa kwa figo yako. Jina langu ni Daktari UMAR
    Mimi ni daktari wa watoto katika kliniki ya UMAR. Kliniki yetu iko
    Maalum katika upasuaji wa Renal na sisi pia tunatibu
    Ununuzi na kupandikizwa kwa figo na
    Mfadhili sawa
    Tunapatikana katika Uhindi, Uturuki, Ufaransa, Nigeria, United States, Malaysia, Dubai, Kuwait
    Ikiwa una nia ya kuuza au kununua figo tafadhali usifanye
    Usisite kuwasiliana nasi kupitia barua pepe.
    Barua pepe: doctorumarclinic@gmail.com

    kwa umakini
    DR UMAR.

    ReplyDelete
  77. Je! Unataka kuuza figo yako kwa $ 800,000USD? Ni wewe
    Kutafuta fursa ya kuuza figo yako kwa pesa
    Kwa sababu ya kuvunjika kwa pesa na haujui la kufanya
    Fanya, basi wasiliana nasi leo na tutakupa nzuri
    Kiasi cha pesa kwa figo yako. Jina langu ni Daktari UMAR
    Mimi ni daktari wa watoto katika kliniki ya UMAR. Kliniki yetu iko
    Maalum katika upasuaji wa Renal na sisi pia tunatibu
    Ununuzi na kupandikizwa kwa figo na
    Mfadhili sawa
    Tunapatikana katika Uhindi, Uturuki, Ufaransa, Nigeria, United States, Malaysia, Dubai, Kuwait
    Ikiwa una nia ya kuuza au kununua figo tafadhali usifanye
    Usisite kuwasiliana nasi kupitia barua pepe.
    Barua pepe: doctorumarclinic@gmail.com

    kwa umakini
    DR UMAR.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...