Balozi wetu Afrika Kusini Mh Radhia Msuya akisalimiana na Bw. Omar Mjenga, Mwakilishi Mkaazi wa Ofisi ya Umoja wa Kimataifa inayosimamia miradi nchini Sierra-Leone (UNOPS), alipomtembelea ofisini kwake jana.
 Bw. Omar Mjenga (kushoto), Mwakilishi Mkaazi wa Ofisi ya Umoja wa Kimataifa inayosimamia miradi nchini Sierra-Leone (UNOPS) akiwa katika picha ya pamoja na Mhe. Balozi Radhia Msuya (wa pili kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini na maafisa wa Ubalozini, Bi. Naseem Ibrahim (wa pili kulia) na Bw. Robert Kahendaguza (kulia).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. mmh. Special Rep? mmh

    ReplyDelete
  2. Assalama Leko zako Mdau Omar Mjenga wa UN!

    Inshallah Mwenyezi Mungu akuzidishie!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...