Mganga mkuu wa  mkoa wa Arusha Dkt Frida Mokiti  akiwa anapima afya yake wakati wa siku ya upimaji bure iliyoandaliwa na NSSF inayofanyika katika kiwanja cha sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo
 Upimaji afya ukiendelea
Viongozi wa NSSF wa mkoa nao wanaelekea kupimwa afya  zao.
 Picha na Woinde Shizza wa Globu ya Jamii, Arusha

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...