Orodha ya Mawakala watakao andaa masshindano ya urembo ya Redds Miss Tanzania 2012.

Orodha hii imegawanyika kama ngazi ya Mikoa, Kanda, Wilaya na Elimu ya Juu kama ifuatavyo:-

Idadi ya Mikoa ni 22

Kanda ni 11

Wilaya 12

Elimu ya Juu  7

Vituo vya Mkoa wa DSM ni 9

 Mawakala wote hao waliotajwa hapo juu,  ukitoa Mawakala wa Wilaya,  watashiriki katika semina ya Mawakala ambayo imepangwa kufanyika mapema wiki ijayo. Kupata orodha Kamili BOFYA HAPA

 Lundenga
HASHIM LUNDENGA.
MKURUGENZI. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...