Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizindua mradi wa maji katika kijiji cha Itunundu,Pawaga wilaya ya Iringa vijijini leo.Wapili kushoto ni Askofu wa Kanisa la Kianglikana Dayosisi ya Ruaha Dr. Joseph Ng’habi na wanne kushoto ni Askofu Mstaafu Donald Mtetemela.Mradi huo umefadhiliwa na Dayosis ya Ruaha Kanisa la Anglikana na marafiki zao.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akikagua chanzo cha maji katika kijiji cha Pawaga kilichopo wilaya ya Iringa vijijini. Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...