Mgombea wa jimbo la arumeru(CHADEMA) Joshua Nassari akinadi sera zake kwenye mkutano wa kampeni ya CHADEMA jana kwenye kijiji cha Ambureni
  Mtoto mdogo akiimba utenzi kumwombea kura Nasari wa CHADEMA
 Wanakijiji wakiikaribisha helkopita ianyotumiwa na CHADEMA ilipokuwa ikitua eneo la mkutano Ambureni
Sehemu ya umati wa wankijiji cha Ambureni Arumeru mashariki wakisikiliza mkutano wa CHADEMA jana.Picha na Jackson Makala

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kama CHDM mnadai kuwa Mbunge aliyepita wa CCM hakufanya kitu Arumeru Mashariki kabisaaa,

    Sasa kwa nini ninyi msitumie hela za mafuta ya Helikopta (mliyoazimwa sio ya kukodi) kurekebisha maendeleo yaliyopungua ndani ya siku hii ili muweze kuwaomba Kura Wananchi ?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...