Home
Unlabelled
taswira za mlima kilimanjaro kutokea kijiji cha himo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Home sweet home.
ReplyDeleteHivi wadau kuna sehemu nzuri hapa nchini kama Moshi? nimetembelea maeneeo ya Sanya juu,Machame, Kibosho, Uru, Kilema, Marangu na Rombo na nimeoa Kibosho kwetu Singida but hakuna kama Uchagani naapia hilo.
ReplyDeleteI miss home.
ReplyDeleteHiyo ndio kilimanjaro bwana, Elimu kwanza, mnawaona madogo walivyoshaini mpaka wanatia raha, wakiwa na hali ya hewa safi na mandhari ya mlima wetu!
ReplyDeleteHome sweet home !!
ReplyDelete1;Hiyo 'junction' ya mizani kuna harufu ya rushwa.
ReplyDelete2:Mlima unapoteza barafu kila kukicha.
David V
Madhari ya Mkoa huu hasa maeneo ya Wachaga ni kuzuri jamani tuache utani.
ReplyDeleteMie nimeoa Kibosho huwa nikienda ukweni huwa naenjoy kuliko hata kwetu Singida.
Ndio ukweli jamani msinishambulie
Paa la Africa! Tunashukuru sana kwa picha zinatukumbusha nyumbani. Tunaomba utembelee na maeneo mengine kama Rombo, Machame, n.k.
ReplyDeleteKyeleuuuwiiii!!!!!!!!!! Ngakumbuo kanyi laanye :)
ReplyDelete-Makundi
Uchagani kuzuri na huo ndo ukweli hakuna sehemu ya kulinganisha hapa TZ.
ReplyDeleteNarudi nyumbani ehee!
ReplyDeleteKusema kweli nimebahatika kutembelea mikoa zaidi ya 10 ya TZ ila MOSHI jamani!!kuzuriii,kumetuliaa,kusafii.Ukifika pale mjini utakutana na kina dada/mama wanatembeza nguo(machinga);wenyewe ni nadhifu hadi bas.Hongereni watu wa moshi.
ReplyDelete