Makamu mwenyekiti wa Bodi ya mfuko wa Maendeleo ya Jamii ulio chini ya ofisi ya Rais (TASAF) ambaye vilevile ni Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh Abassi Kandoro akioneshwa nyaraka za wajasriamali wa kisiwa cha Pemba anaye muonesha nyaraka hizo ni ofisa mdhamini ofisi ya makamu wa pili wa Rais zanziba Bw Amran Masoud Amran na kulia kwake ni Mkurugenzi Ntendaji wa TASAF Bw. Ladislausi Mwamanga
Wajumbe wabodi ya TASAF wakitembelea ofisi za mfuko huo kisiwani Pemba. Toka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa mfuko huo Bw Laduslausi Mwamanga, mjumbe wa bodi na ambaye ni Naibu Katibu Mkuu wizara ya usafirishaji kutoka tanzania bara bwana John Mngodo, Makamu Mwenyekiti wa bodi na mkuu wa mkoa wa mbeya Mh Abbas Kandoro na mwisho ni ofisa kutoka ofisi ya makamu wa pili wa rais zanziba Bw Amran Masoud Amran


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...