Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Mh. Samia Suluhu Hassan alipokuwa na  Mazungumzo na Viongozi wa chama cha  walemavu wasiooma Nchini Tanzania wakati walipomtembelea Ofisini Kwake Mtaa wa Luthuli Mjini Dar es Salaam leo. Picha na mdau Ali Meja wa VPO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...