Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi Mchango wa Shilingi Milioni Moja {1,000,000/- } Mkurugenzi wa Kikundi cha Zanzibar One Taarab,Ustaadhi Abdulla Ali kufuatia ahadi yake aliyoitowa tarehe 21/4/2012 wakati wa kilele cha Maadhimisho ya kutimia miaka mitano tokea kuanzishwa kwa Kikundi hicho.Hafla hiyo iliyofanyika Bwawani Mjini Zanzibar,Balozi Seif alikuwa Mgeni Rasmi katika hafla hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. I thought Zanzibar is a bit serious...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...