Mbunge mteule wa jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akiwasili kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Leganga, ambako kulifanyika mkutano wa kuwashukuru wapiga kura wa jimbo hilo leo
Mbunge wa Arusha mjini Mh Godbless Lema akiwasili mkutanoni
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh Freeman Mbowe, akiwashirikisha wananchma na wapenzi wa chama hicho, kuitikia msemo wa ‘Peoples Power’, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wapiga kura wa jimbo la Arumeru Mashariki, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Leganga leo.
Mbunge wa Moshi Mjini Mzee Ndesamburo akihutubia
Mistari: Mbunge wa jimbo la Mbeya Mjini, Mh Joseph Mbilinyi maarufu kama Mr Sugu, akitumbiza wakati wa mkutano wa kuwashukuru wapiga kura wa jimbo la Arumeru Mashariki kwa kumchagua mbunge wa Chadema, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Leganga leo. Picha na mdau Joseph Senga
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZINGINE
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZINGINE
Mfano huu unatakiwa kuigwa na watanzania wote. Hongera Arumeru mmeonyesha njia kwa watanzania!!
ReplyDeleteNinafuraha sana watu wa Mikoani/Bara wanapoamua wanakuwa wameamua, huwezi kuwagilibu hovyo hovyo. Wote tukiamua inawezekana!
ReplyDeleteWanamgambo wa people's power muko juu, mumefyeka hutuba za kizamani za mzee Mkapa.
ReplyDeleteWoooh cant blv ths! Mayb CCM got 2 b honest to Tanzanians how? well simmple! The 50yrs were a failer yet they got no words to sell about that number. Now the only option am seeing on CCM's table is some1 from CCM got 2 come up and say u knw wat Tanzanians " WE ARE SORRY" for the 50yrs coz everybody does mistakes then we can wrap up from there, isnt cool?. Live with it or not, is gonna take a long tym for CCM to reclaim it back n' that till CHADEMA makes a mistake.People spoke a lot n' they meant it, tired of CCM as it is right now n' so am I.
ReplyDeleteHii ndiyo maana ya maneno yale niliyo waambia, kwamba; msiogope ninyi somesheni tu watoto wenu, hata kama hawapati kazi, kwasababu kupitia hao watu wataelewa maana ya mageuzi, na hiyo gia tuliyo ingiza wala msiitoe,kinachotakiwa sasa ni kuongeza tu mwendo kwa kukanyaga mafuta, lakini gia usibadili mpaka tutachukua nchi,maana watu wamechoka na vituko vya C.C.M.
ReplyDeletehawa jamaa wanachukua nchi mda si mrefu
ReplyDeleteCHADEMA wanatisha. Angalia umati huo!!
ReplyDeleteDanger for CCM, I they are gone. I cannot wait for 2015 then Chadema will ask all the corrupt officials etc to account for their wealth. It is out monies they are using!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDeleteHapo hapoooooo !
ReplyDeleteKITU , BAO LIMEZAMA KIMIANIA
MATOKEO YA MECHI:
CHADEMA 1 / LIVERPOOL 0
Na Mpira umekwishaaa,
C.C.M Chaliiiiiiii !
C.C.M ziiiiiiiiiiiiii !
Michuzi ziiiiiiiiiiiii !
Hotuba za matusi kama za kina Lusinde ndio zinatuangusha CCM. Pia, tuachane na watu ambao wameshachafuka kwenye jamii. Wanatuzamisha wote!
ReplyDeleteBig up Chadema.
ReplyDeleteSiasa za matusi na kiburi cha kuwa na fesdha kmewaponza CCM.Watanzania wameanza kuamka na kujua kati ya pumba na mchele.
lakini hizo alama zao za misaraba ndio zitawafanya tusiwape nchi maana nchi yetu haina udini sasa mkileta udini dasalame mjini hampati kitu watoto wa mjini ndio wanaoweza kukupa nchi au kukukataa habari ndio hiyo.
ReplyDeletemtoto wa zamani wa kariakoo mjini.
Jamani sijafuatilia sana lakini je Zitto Kabwe ameonyesha ushirikiano kwenye hili zoezi? Maana naona timu nzima ya wabunge maarufu na safu ya uongozi wa Chadema upo. Kama hayupo kweli inabidi kipindi kingine aonyeshe ushirikiano. Mana chama ni ushirikiano, chama sio mtu. Umaaraufu wa mtu unatokana na chama. Kama hata onyesha ushirikiano na wanachama na viongozi wengine sisi wanachama tuta mjengea shaka. Na hizi hisia za kuanza kuropoka kuutaka urais bila kupitia taratibu za chama pia hazi onyeshi ustaarabu na ukomavu, mimi mkereketwa wa uongozi bora sioni kama anafanya jambo la busara, na wasiwasi huyu ndio atakuwa anarudisha maendeleo ya chama chetu. Ningefurahi kusikia kama alikuwa mastari wa mbele kwenye hili zoezi. Unafikir kwenye vyama si jambo zuri. nawasilisha
ReplyDeleteHongeren chadema haya ndo mapinduzi tunayotaka
ReplyDeletebig up chadema. we are together
ReplyDeleteZito alikuwana majukumu ya kichama kule mwanza.
ReplyDelete