Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akipanda mti wakati wa kuadhimisha Siku ya Taifa ya Kupanda Miti mkoani Singida iliyoadhimishwa juzi.kulia kwake ni Kaimu Mkurugenzi Misitu na Nyuki nchini,Monica Kagya
Waziri wa Maliasili na Utalii,Mh. Ezekiel Maige akipanda mti siku hiyo mkoani Singida.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akimuangalia mmoja wa wanafunzi wa shule ya msingi Ilengero kupanda mti katika maadhimisho ya siku ya Taifa ya Kupanda miti nchini iliyoadhimishwa Singida.
Ras wa mkoa wa Singida bw. Liana akisaidiana na mmoja wa wanafunzi wa shule ya msingi Ilengero kupanda mti katika maadhimisho ya siku ya Taifa ya Kupanda miti nchini iliyoadhimishwa Singida.
Waziri wa Maliasili na Utalii mhe. Ezekiel Maige akisaidiana na mmoja wa wanafunzi wa shule ya msingi Ilengero kupanda mti katika maadhimisho ya siku ya Taifa ya Kupanda miti nchini iliyoadhimishwa Singida.
Waziri wa Mazingira Dkt Telezya Hovusa akiweka mchanga vizuri baada ya kupanda mti kuadhimisha siku hiyo kitaifa mkoani Singida pia.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu nchini -TFS Juma Mgoo mara baada ya kumaliza kupanda mti mkoani Singida.
Hivi upandaji miti unahitaki mikeka??? Kama ni hivyo mbona hao watoto wa shule hawakupewa mkeka wakati wanapanga miti???
ReplyDeleteAsante Mr. Juma Mgoo kwa kuonyesha mfano utakao kuwa rahisi kufanya vijijini kwa wale wasio na mikeka.
Wenzangu mnasemaje kuhusu hilo la MIKEKA.
Miti tunapanda kwa show... Baada ya siku 10 hutosikia maendeleo ya hii miti.
ReplyDelete