IJUMAA(27/04/2012):
SAA 04:OO asubuhi:Mwili wa marehemu kufikishwa nyumbani kwake Mkwepu/IndiraGandhi street (KVD) SAA 08:00 mchana :Ibada kufanyika Kanisa Kuu Jimbo La DSM-St.Joseph Cathedral

JUMAMOSI(28/04/2012):
SAA 01:00 asubuhi: mwili kuwasili nyumbani kwa marehemu Majengo Moshi
SAA 04:00 asubuhi :Ibada kufanyika Kanisa La Kristu Mfalme Moshi Mjini
SAA 06:00 mchana: Msafara kelekea Kijijini kwake Kilema Kimaroroni
SAA 08:00 mchana: Ibada kufanyika Kanisa La St.Bernadeta Kilema
SAA 11:00 jioni : Mwili wa marehemu kupumzishwa katika Nyumba yake ya Milele Kimaroroni

BWANA alitoa,na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.Ayubu 1:21b

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

    ReplyDelete
  2. Apumzike kwa amani, amina! Na pole kwa familia yake hasa mke wake na mtoto wao Andrea!

    ReplyDelete
  3. Weka wazi, kumbe huyu ndiye mwenye kampuni ya KVD pale mtaa wa makunganya Dar. Pale vipuri vingi vya kompyuta na elektroniki vinapatikana tele kwa bei nzuri. Mungu amlaze mahali pema.

    ReplyDelete
  4. Bwana ametoa na bwana ametwaa Jina lake libarikiwe,
    Apumzike kwa Amani mpendwa wetu. Amina

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...