Familia ya marehemu Johnson Malume Mpanda wa Kijiji cha Nkalakala wilaya ya Iramba mkoani Singida na Familia ya ndugu Paul Johnson Malume wa Chole road, Masaki Dar es Salaam inapenda kutoa shukrani kwa uongozi wa kanisa la KKKT Msasani na KKKT Kiluvya pamoja na ndugu, Jamaa, majirani, marafiki walioshiriki na kuwafariji katika msiba wa Baba yao uliotokea tarehe 29 machi, 2012 katika hospital ya mountukombozi jijini Dar es Salaam na Mazishi kufanyika tarehe 31 machi, 2012 kijijini Nkalakala Singida.

Familia inawaomba ndugu, majirani na marafiki kushiriki katika ibada ya shukrani itakayofanyika katika kanisa la KKKT usharika wa Msasani siku ya Jumapili tarehe 29.04.2012 muda saa 1.00 asubuhi.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa , Jina la Bwana libarikiwe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. R.I.P MZEE MALUME,BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA...JINA LAKE LITUKUZWE...MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI.

    ReplyDelete
  2. 1st grandson,Hamilton.April 27, 2012

    mungu akurehemu babu yangu.....i will miss you so much. mungu ashukuriwe kwa umri mrefu aliokujalia duniani.

    ReplyDelete
  3. REST IN ETERNAL PEACE MZEE MALUME, AND STAY WELL OUR BOSS Eng.PAUL MALUME(son of the deceased),
    FROM SOME OF THE TPA-marine engineering staffs

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...