Wasanii wa kikundi cha Kinoko kutoka Dar es Salaam wakilishambulia jukwaa wakati wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 katika viwanja vya Jamhuri, Mkoani Dodoma jana. Uzinduzi rasmi ulifanyika jijini Dar
es Salaam hivi karibuni.
Baadhi ya wakazi wa Dodoma wakihamia Airtel wakati wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 mkoani humo jana.
Mkaazi wa Dodoma, Queen Jackson akishindana kucheza taarab wakati wa promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 mkoani humo jana.
: Zawadi mbalimbali zikiwemo simu za mkononi zilitolewa ili kufanya promosheni hiyo iwe ya aina yake.
Sehemu ya umati wa watu waliohudhuria promosheni ya Airtel Jiunge na Supa 5 Mkoani Dodoma jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...