Mdau Amina Ismail akila kiapo cha ndoa huku Mumewe,Simon Collery akishuhudia wakati wa hafla fupi ya ndoa yao hiyo iliyofanyika kwenye bustani ya Hoteli ya Atriums,iliyopo Sinza Afrika Sana,jijini Dar es Salaam mwishoni kwa wiki iliyopita.
Maharusi wakiwa kwenye picha ya pamoja na ndugu na Jamaa katika ufukwe wa Kunduchi Beach jijini Dar.
Picha ya pamoja.
Keki ya Asili kutoka Mkoani Tabora.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 11, 2012

    Hongera dada Amina na huyo shemeji yetu..Hongereni sana.Kwenye Magazeti(Ankal shahidi) kurasa za picha za 'maharusi' wakimaliza kutoa maelezo ya picha mwishoni wanamalizia na hii phrase..'Bwana harusi ni(wasifu)mwenyeji wa...wakati bibi harusi ni(wasifu)mwenyeji wa/anatokea......ina maana sana hii.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 11, 2012

    Mahaba Kikohozi.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 11, 2012

    Huyu Mzungu mbona ana sura ya kike. Me nlizani muoaji yule mfupi wa kwanza kushoto. Eh alivyovaa vitenge yani mwanamke mwanamke. Dada zetu njaa zitawaua

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 30, 2013

    Habari Ankal Michuzi, pole na kazi.
    Mimi ni Amina Ismail ni mhusika katika hii post. Naomba unisaidie kwa kuiondoa hii post kama hutojali. Samahani kwa usumbufu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...