Ankal na Ze Fulanazzzzz wakiwa na wadau wa DMV Jumapili jioni kwenye 'Shamba la Bibi' la Maryland ambako kulikuwa na mtanange kati ya DMV United Hispania. Matokeo DMV walikubali bao 2-1 kwa taaaaaabu baada ya refa kuwauma mwanzo mwisho.
Ankal anachukua nafasi hii kuwashukuru wadau wote wa DMV kwa moyo wa upendo na ukarimu waliomuonesha na kumfanya ajisikie yuko Tegeta. Kwa kweli upendo na umoja mlionao ni wa kuigwa kwa jumuiya zote za wadau ughaibuni.
Angalizo: Kaka Benja shukrani kwa yote na kunradhi kwa kutotokea kwenye babekyuu uliyomualika Ankal. Ratiba ikaja kubadilika ghafla hivyo akashindwa kutia timu. Sorry ankal Benja na wadau wote kwa kutotokea.
Mungu akipenda tutaonana na kuziba hilo pengo. Karibu Bongo....
kweli hapo upo kama vile Tegeta hongera wadau kwa kumpa kampani safi ankali ila sasa zee fulaaanaaazzzzzzzzz
ReplyDeletekuuliza si ujinga wadau wenzangu hivi kwanini Ankal upendelea kuvaa aina hii ya fulana?au anazo nyingi?hata kama anazo nyingi kwanini kanunua aina hii tu ya fulana?
ReplyDelete