Mkurugenzi wa Campas ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA),Prof. Mzanila (kushoto) akikabidhi kombe kwa Nahodha wa timu ya Infomatic ya Chuo Cha SUA,Ally Tambala ambao ndio Mabigwa wa michezo ya Excel With Grand Malt 2012,iliyokuwa ikichezwa Chuoni hapo,ikiwa ni Bonanza la Ufunguzi rasmi wa Mashindano ya Excel With Grand Malt 2012 lililofanyika jioni ya leo kwenye viwanja vya SUA,Mazimbu mkoani Morogoro.Katikati ni Meneja wa Kinywaji Cha Grand Malt,Consolata Adam.
Mabigwa wa Mchezo wa Bonanza la Ufunguzi wa Mashindabo ya Excel With Grand Malt 2012,timu ya Infomatic ya Chuo Cha SUA wakishangia ushingi wao kwa pamoja na Meneja wa Kinywaji Cha Grand Malt,Consolata Adam (katikati) na Mwanamuziki Joe Makini.
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya,Joh-Makini akifanya vitu vyake wakati wa Bonanza la Ufunguzi wa Mashindabo ya Excel With Grand Malt 2012 lililofanyika jioni ya leo kwenye viwanja vya SUA,Mazimbu mkoani Morogoro.
Meneja wa Kinywaji Cha Grand Malt,Consolata Adam akizungumza na Wanafunzi wa Vyuo vya Mzumbe na SUA,jioni ya leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2012

    Sijafurahishwa na kitendo cha joe makini kutovaa t-shirt ya mdhamini. Kuweka begani wakati wa shoo, hii inaonyesha dhahiri kwamba ulipewa. Mdhamini anategemea sana matangazo. Jamani kuweni wabunifu kuvutia wadhamini, sio mnalalamika hampati wadhamini kwa vitendo hivyo, nani atajitokeza
    Jamani!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...