Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Afya,katika utekelezaji wa mpango wa kazi za Wizara hiyo huko Ikulu Mjini Zanzibar leo.Kushoto ni Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar,Maalim Seif Sharif Hamad.
Baadhi ya watendaji wa Idara mbali mbali za Wizara ya Afya,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza nao katika mpango wake wa kuzungumza na kila Wizara katika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 11, 2012

    Kuna haja ya kutahmaini, jee kuna mabadiliko katika utendaji wa Serikali baada ya Mikutano hii!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 11, 2012

    Wizara yako hii mheshimiwa ndio imeoza. Mgonjwa amepata ajali anawaambia madaktari msinifunge p.o.p nina sukari, wao wanakaidi matokeo yake donda linakua kubwa mpaka linaoza. Yuko Muhimbili ingawa na huko hali kadhalika lakini watu kidogo makini angalau penye udhia unapenyeza rupia. Eeh Chadema wenyewe wanaosema watapiga rushwa mpaka tone la mwisho sijui watapigaje vita hii ya manesi na wauguzi wengine kudai pesa ya chai baada ya kukuhudumia. Ukifikwa ndio unajua tatizo na huthubutu kusema.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...