Home
Unlabelled
Kutoka Maktaba: ankal akiwa vekesheni london mwaka 1990
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwa kweli tunatoka mbali
ReplyDeleteankal kumbe wewe kama vasco da gama msafiri wa zamani mtoni long time
ReplyDeleteAnkali na huyo ndio shemeji hee mtoto alikuwa na umri gani hapo ?
ReplyDeleteby Mchambawima majaliwa
Unaona ishara ya mji au nchi yenye shibe na amani?? Njiwa wengi mtaani!! Kinyume chake ni kunguru tu wamejazana!! Hongera Ankal kwa kumbukumbu!!
ReplyDeletekitu Trafalgar square si mchezo ankal salute kwako, mwaka 1990 du
ReplyDeleteANKAL MIMI NI MTANI WAKO LAKINI ULIKUWA BONGE LA MSHAMBA UTAFIKIRI UMEOKOTWA ITIGI?
ReplyDeleteLooh! wee mnyambala wee! H'afu enzi hizo ulikuwa na ka'Afro f'lani'flani hivi! Hongera sana, endelea kutuwekea "za enzi hizo"
ReplyDeleteAnkali pamba zako tu ndo zinaniacha hoi hapo. Duh ha ha ha ha
ReplyDeleteAnkal hili ndilo umbile linalohitajika hicho 'kitambi' chako ni matatizo makubwa jaribu kuingia kwenye mabonanza kama Kitambi Noma.
ReplyDeleteAngalieni Madogo mnakuwa wabishi kutoa Maoni humu,,,miaka hiyo 1990 Ankal akiwa anakwenda UK wengineo Mabosi Wadau humu Jamvini bado kipindi hicho 'mnafungwa nepi' kwa kuvalishwa Pampers !
ReplyDeleteWengine mnawekewa 'vinyonyeo vya geresha midomoni' ili msilie lie ovyo !
Wengineo miaka hiyo 1990 kamasi zinawavuja bado mpo Chekechea !
ReplyDelete