Tunapenda kuwafahamisha watu wote kuwa mafundisho ya neno la Mungu kutoka kwa mwalimu Christopher Mwakasege sasa yanarushwa online kila siku saa 10 na nusu usiku na kurudiwa jioni na saa 10 na nusu (saa za
Tanzania), katika link zifuatazo:

Kwa wenye PC tumia:

Kwa wenye Mac na Linux tumia:

Kumbuka ni kila siku saa 01:30GMT na kurudiwa 13:30GMT (Saa za Marekani ni 09:30 Eastern na kurudiwa 21:30 Eastern).

Mdau Kavishe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 02, 2012

    Mungu akubariki sana Kavishe kwa kuweka hii linki, nimesikiliza mafundisho yamenibariki mnooo. kweli ni mafundisho yanayojenga sana. Mungu ambariki Mwl. Mwakasege

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...