Baadhi ya wadau wa mafunzo  yaliyohusu usimamizi wa sekta ya madini wakiwemo viongiozi wa vyama vya kisiasa , wachimbaji wadogo na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Morogoro wakifuatilia kwa makini mada iliyozungumzia majukumu na shughuli za Wakala wa Ukaguzi wa Madini nchini ( TMAA) iliyotolewa na  Mkurugenzi wa Fedha na Utawala wa Wakala huo, Bruno Mteta, ( hayupo pichani) Mkoani Morogoro. 
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Mh  Sarah Msafiri ( kulia ),ambaye pia ni  Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, akiongozana na baadhi ya watendaji wa Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania ( TMAA) baada ya kufungua mafunzo  yaliyohusu usimamizi wa sekta ya madini kwa wadau wa sekta hiyo wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa , wachimbaji wadogo na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Morogoro.
Picha na John Nditi wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...