Warembo watakaoshiriki kinyang'anyiro cha kumsaka Redd's Miss IFM 2012 wakiwa kwenye pozi la picha jioni ya leo kwenye ukumbi wa Break Point,Posta jijini Dar es Salaam,ikiwa ni maandalizi ya Shindano hilo linalotarajia kufanyika Mei 12,2012 katika viwanja vya ufukwe wa Cine Club jijini Dar.
 Mwalimu wa Warembo hao wanaojiandaa na shindano la Redd's Miss IFM,Ester Willson (kushoto) akitoa somo kwa washiriki hao wakati wa mazoezi ya kujiandaa na shindano hilo.
Picha ya pamoja na Mwalimu wao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 09, 2012

    Yes, hii ndiyo "Institute of Female Management"

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...