Balozi wa Kenya nchini, Mutinda Mutiso (kushoto) akimkaribisha Mbunge Mteule wa Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo alipokwenda kumtembelea.
Balozi wa Kenya nchini, Mutinda Mutiso (kushoto) akifafanua jambo wakati alipotembelewa na Mbunge Mteule wa Afrika Mashariki, Shy-Rose Bhanji ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 07, 2012

    Nampenda huyu Mdada hivi ana elimu gani? Political science? nataka kujua tu,.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 07, 2012

    Dada yangu shy rose kweli hukukataa tamaa mpaka MUngu amekufanikisha kupata nafasi hii nimefurahi sana na nimejifunza sana kwako kwamba hatupaswi kukata tamaa. Nimekufaham u toka tunasoma shule ya selondari ya lake mwanza. Big up my sister. Jill mwanza

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 07, 2012

    Pose za kidipromatic,

    ReplyDelete
  4. Safi Sana! Hongera Da Shy-Rose!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 08, 2012

    Wewe
    Mon May 07, 06:03:00 PM 2012
    Sio "kidipromatic" ni Diplomatic.

    Ukiangalia body "Language" inaonekana mhe. Shy-Rose anamwogopa huyu balozi au hawezi tia neno. Funguka dada Shy-Rose anza kupata experience ya mambo haya. Good Luck!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 08, 2012

    CCM juu! Juu Zaidi.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 08, 2012

    mh, mara hii? Au walikuwa wanafahamiana kabla...

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 08, 2012

    Anonymous wa kwanza huyu dada ana degree kutoka kwa Bibi wa Ukerewe mkuu usifikiri ni maimuna.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...