Mdau Elietha Abrahamu Ayo  baada ya kumeremeta  na bi Eva Mrindiko wakiwa katika ibada maalum  iliyofanyika mapema leo  katika kanisa la FPCT Sombetini jijini Arusha 

Mchungaji kiongozi wa kanisa hilo bi  Elinansha Abrahamu akiwa na Askofu mkuu wa kanisa hilo Boniface Nko wakiwa wanafunga ndoa ya maharusi hao. 

Akifunga harusi hiyo askofu Boniface Nko amewataka wanandoa wote nchini kuhakikisha kuwa wanasimamia misingi ya ndoa kwa kuwa wengi hawasimamii misingi hiyo hali inahyopelekea ndoa hizo kuvunjika mapema.

Vile vile amewataka wanawake kuacha kudai haki kwa kupita kiasi kwani wanapotumia mabavu kudai haki ndio chanzo cha ndoa kufarakana. 
Picha na Mary Ayo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...