Waziri wa Katiba na Sheria,Mh. Mathias Chikawe (katikati) akipokea taarifa ya makabidhiano leo kutoka kwa aliyekuwa Waziri katika Wizara hiyo,Mh. Celina Kombani (kulia) aliyehamishiwa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Anayeshuhudia ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria,Mh. Angela Kairuki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 09, 2012

    Sasa Jembe limerudi mahali pake...Tunaamini Mhe Chikawe atahakikisha changamoto zilizopo zinatatuliwa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...